Kwa nilichokishuhudia hapa Lodge Ubungo wanaume Tafuteni sana hela

Kwamba mwanaume mfupi hana haki ya kula pisi Kali mpaka awe na hela πŸ’
 
SI KWELI, labda huyo ni mganga wa jadi, hawa jamaa wanalamba sampuli yoyote unayoijua na wanalipwa consultation fee πŸ˜€
 
Acha umbea
 
Kama hio ndio destination yako; mbona unaweza kuipata hata bila pesa za kumwaga ? Kwanini ungojee mpaka upate nyingi wakati unaweza kupata leo hata bila pesa ukapata (yaani ukawa gigolo); cha maana wewe tambua kipenda roho chako alafu fight kukipata (lakini kumbuka maisha sio destination ni journey)

 
Kwenda huko kuna shida mkuu, hiyo ni sehemu ya kufikia wageni na huyo anaweza kuwa ni mmewe
Ni Wachache mno Tena wakupekua sana mpaka upige na chafya πŸ˜† mimi nimeshuhudia mume wa mtu dereva wa gari ya wachina Nissan Extrail fully tinted amevaa kanzu na ukimwona huwez kujiuliza mara Moja kama sio ustadh akishusha kabint ka secondary kalikojistiri πŸ˜… kabla ya kuingia kwenye karakana kuwa chukua mabos zake waliokuwa wakimsubiri kumbe alikuwa kafika mda amepaki akiongea nk na hako kaustadhat. Kalipovuka barabara zoke akenda ndio kaingiza gari kuchukia maboss Nilichoka. Hii unaizungumziaje?
 
Mimi nshatoka huko zamani siku hizi naangalia vitu vya msingi uzuri haulipi bili.
Lakini bili sii unalipa mwenyewe superwoman, mapenzi yanatakiwa uwe na mtu handsome bwana yaani roho inafurahi kumona sio unageghedwa na janaume baya kisa lina hela🀣🀣🀣🀣🀣
 
Nikafikiri unatushauri tutafute pesa tununue Scavator kumbe Uchi.
 
Hizi kauli za Kila ukiona kitu kinzur cjui tafuta pesa, zinafanya vijana wengi wanatatuliwa Malinda Kwa tamaa.
Ni wajinga wajinga tu wageni wa mji watasema hiyo kauli.
Nimekula mbususu mpk sgr treni haitoshi labda ya kigoma.
Ukisema hela, hata senti sijatumia.
Labda ya kula kiepe, na kukodi chumba na analipa mwenyewe.
Sa unatafuta hela gani
 
Pia usisahau USAID wamesitisha huduma
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Kama sie tunavyo enjoy kugegeda mbususu za wanawake wazuri kama wale wa ule uzi wakonpendwa...basi na nyie mnaenjoy mkigegedwa na tdh. Sema sasa njaa zenu ndio zinawafanya mgegedwe hadi na sura mbaya kama mzabzab 🀣🀣🀣🀣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…