Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siyo makosa yao mkuu hata Viongozi wetu kila waki lala na kuamka wanawaza jinsi ya kuomba pesa wazungu.Mwanamke wa kitanzania kila akiamka anawaza jinsi ya kumuomba mtu pesa yani 90% ya mawazo yake ni kuwaza kuomba pesa
Wewe njia zako ni zipi naomba ututajie tupate darasa.mi binafsi kuomba omba ela siwezi, nasema huyo mdada uliyemtolea nje pengine alikua anakupima, kila mtu ana njia zake za kumfanyia mtu wake investigations kwenye suala la uchumi
SureSiyo makosa yao mkuu hata Viongozi wetu kila waki lala na kuamka wanawaza jinsi ya kuomba pesa wazungu.
Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
Hapo nilivoombwa hela, wewe ulitaka nifanyeje scolastikaDuh,kwa staili hii mtu wa kuoa unampataje,alafu mnasema eti kuolewa ni bahati
Sawa tu yeye ndo amekosea kujirahisishaHapo nilivoombwa hela, wewe ulitaka nifanyeje scolastika