Humuoni Bernad Morrison anavyo pagawa?Nafikiri Bongo inakimbiza nchi nyingi za Afrika ukiacha nchi kama South Africa, Kenya, Namibia, Botswana, Nigeria kwa huu ukanda wa kusini mwa Sahara. Kuna kipindi nilienda Accra Ghana, aisee nikajiuliza hawa watu wakija bongo wanaweza kupaona ulaya.
DRC ya mayele ni masikini Sana hapa.Tz mayele yupo new yorkDRC kwa kina Mayele
Wewe mhutu? Mbona umeumia? Ila Burundi ni poor country!! Let's share experienceWabongo bana, kila mkikaribishwa kwenye nchi za watu mnakusanya mabaya tu.
Na ndio maana Waafrika tuna kasoro kubwa sana, badala utumie nguvu zote hizi kuainisha au kuorodhesha fursa ambazo wenzako wanaweza wakaja Burundi kuzichangamkia, wewe muda wote umetafuta mabaya tu.
Hapa katimiza ndoto, akirudi kwao anapokelewa kama shujaa katoka ughaibuniDRC ya mayele ni masikini Sana hapa.Tz mayele yupo new york
Trip ijayo ntaenda South Sudan nikusanye habari nzuri tuu nje ya Vita alaf nikuletee utakubali kwenda??Wabongo bana, kila mkikaribishwa kwenye nchi za watu mnakusanya mabaya tu.
Na ndio maana Waafrika tuna kasoro kubwa sana, badala utumie nguvu zote hizi kuainisha au kuorodhesha fursa ambazo wenzako wanaweza wakaja Burundi kuzichangamkia, wewe muda wote umetafuta mabaya tu.
Dutch and FlemishBurundi ilikua koloni la German East Africa pamoja na Tanzania na Rwanda, baada ya Ujerumani kushindwa vita vya 1, vya dunia, Burundi na la Rwanda zikaenda kwa Belgium iliokua ikitawala Kongo, kumbuka hao Wabelgiji wanaongea Kifaransa, kwahiyo ni sawa kusema Kongo, Rwanda na Burundi wametawaliwa na Ufaransa. N.B, Nchi ya Ubelgiji nusu ya Nchi wanaongea Kifaransa na nusu nyingine ni Kidachi.
They share each and every cultureToa facts
Juzi nilisoma mahali psychlopia nikaona among ten great lakes with fresh water three are in Tanzania, Yan Victoria,Tanganyika na Nyasa!! Nilikosa Raha kabisa mpaka pilau la idi sikulifaidi!!Kweli kabisa unalinganisha Burundi na Tanzania. Kweli,is this a mind we need we Tanzanians? Yaani mimi huwa nalia kwa kuona baraka tulizojaliwa nazo watanzania. Madini ya kutosha,mistu,mbuga za wanyama,maziwa,mito,bahari,makabila mengi, human population kubwa,Amani na umoja. Hatuna ukabila bongo.
Vitu hivi vyoote kwa serikali ya kizalendo kama nchi za Asia yaan hususani Singapore, South Korea, China,India , Indonesia na kadhalika basi bongo angalau tungeifikia Indonesia au South Korea. Leo unalinganisha Tanzania na kijiwe cha kahawa[emoji15].
Linganisha basi hata na Qatar, Qatar kubwa,linganisha basi hat n Israel aaah Israel wanapewa na wadhungu. Basi linganisha na Hong Kong, ash hawa Wana technology. Basi linganisha na Kenya tuuu hapa Jirani.
Burundi......aaah bro umeniangusha chin pungulu nikaanguka tangara[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Daah kuna nchi watu wanapata tabu jamani.Unasema kweli, nilishawahi kufika. Wanakula Chenille wanachanganya na majani wanayaita Coco. Ila hata Congo,Congo Zaïre wanakula hao wadudu.Bangui ni maskini jamani acha kabisa.Yaani kule watu kila familia vijana wanapambana kwenda Ufaransa ili watoke kimaisha na wasaidie familia zao Nyumbani. Tanzania tumebarikiwa kwa kweli. Yaani Airport yao sasa acha tu,barabara zao sasa ni balaa tupu.Halafu Rais wao anatawala nchi kidogo tu,maeneo mengine yameshikiliwa na waasi. Sema sasa hivi Wagner (Warusi) wanamlinda na wamesaidia hajapinduliwa.
Ongezea malawi, naagaliaga Tv station zao yaani hata maagizo yao yanaonyesha hapo Kuna umasikini iliotukuka..Asante Kwa taarifa,sijafika Burundi Wala Sina mpango wa kwenda huko.
Nilikuwa naamini Burundi ni kuchafu Sasa umenikazia maarifa .
By the way Africa Kuna nchi masikini sana ukifika tashangaa
1) central Africa
2)Togo
3) Mozambique ( hasa northern party)
4) Burkina Faso Kwa kina Aziz ki
5)Chad
6) DRC
7) Madagascar
8) Mali
9) Niger
10) Eritrea
11)congo Brazzaville
12) sudani kusini
13)Ethiopia ( usione Wana midege,ni malofa haswa)
14) Benin
15)Liberia
...........
Kuna Jiji linaitwa Kinshasa huko sio pa kitoto barabara zake bongo hakuna popoteDRC ya mayele ni masikini Sana hapa.Tz mayele yupo new york
We shusha nondo watu tujifunze maisha wanayoishi wenzetu.Mkimaliza niambieni nije kuwajuza ya Visiwa vya Comoros…
😂😂😂 Utafikiri Namtumbo.[emoji2][emoji2]ukiingia google kucheck picha za Bangui Central Africa utacheka, mji wa ovyo udongo mwekundu tupu majengo yamechakaa mbaya
Sio kweli...nimebadili 100k Tsh mpakani nikapewa 230k na point google vizuri
Kama mtu anashinda kwa wahaya unategemea asidate?Humuoni Bernad Morrison anavyo pagawa?
Ila Kinshasa pako vizuri kuliko Dar. Barabara na majengo yako safiDRC ya mayele ni masikini Sana hapa.Tz mayele yupo new york
Mkuu naona umeongea kwa hisia sanaKweli kabisa unalinganisha Burundi na Tanzania. Kweli,is this a mind we need we Tanzanians? Yaani mimi huwa nalia kwa kuona baraka tulizojaliwa nazo watanzania. Madini ya kutosha,mistu,mbuga za wanyama,maziwa,mito,bahari,makabila mengi, human population kubwa,Amani na umoja. Hatuna ukabila bongo.
Vitu hivi vyoote kwa serikali ya kizalendo kama nchi za Asia yaan hususani Singapore, South Korea, China,India , Indonesia na kadhalika basi bongo angalau tungeifikia Indonesia au South Korea. Leo unalinganisha Tanzania na kijiwe cha kahawa[emoji15].
Linganisha basi hata na Qatar, Qatar kubwa,linganisha basi hat n Israel aaah Israel wanapewa na wadhungu. Basi linganisha na Hong Kong, ash hawa Wana technology. Basi linganisha na Kenya tuuu hapa Jirani.
Burundi......aaah bro umeniangusha chin pungulu nikaanguka tangara[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Naona umechanganya madesa ungesema ukitoa North sio west.. hao west hamna lolote masikini kuliko hata Tz sana sana mijini ingawa napo umaskini ni balaa. Kiukweli kwa Africa kusini mwa jangwa la Sahara Tz tuna nafuu sana, hata hao Kenya mnaowaogopa ni hapo Nairobi lakini ukitoka nje kidogo tu, kuna umaskini wa kufa mtu kuliko Tz. Kutembea ni shule tosha, Allah amenijalia nimetembea nchi nyingi naelewa umaskini uliopo Africa. Narudia tena kwa Africa kusini mwa jangwa la Sahara kwa hali nzuri kidogo bongo ipo kwenye top 5.Kwa nachojua nchi za Africa ukitoa za west kido lakini huku East and centre Africa umasikini ni Mkubwa yaani hakuna wa kumcheka mwenzie hata hapa Tanzania umasikini ni Mkubwa Sana na unatisha as the same Kenya , Uganda, Burundi . Sudan nk msumbiji nk
Yaani Africa hasa watu weusi Maisha yetu hayana nafuu kwa wengi wetu , ndo maana huwezi. Kumjua Mtu mwenye Kazi au jobless hapa TANZANIA umasikini ni Mkubwa Sana . Tena Sana Uganda nimekaa nimejionea Maisha yao kenya Tz Sudan so msiseme Burundi mkasahau kuwa umasikini ni tatizo la nchi zetu zote