Baba Rhobi
JF-Expert Member
- Nov 4, 2020
- 1,611
- 2,881
Mkuu samahani kama nimekwelewa vibaya, ina maana kitu pekee wakenya wako juu ya Tanzania, ni kingereza tu sio.Ujatembea KE wewe nenda Eldoret au Nairobi alaf waambie ni MTZ uone maneno ya shombo tulienda kipindi flani pale Nakumat Garille Supermarket Nairobi tukasema sisi ni from TZ aisee jamaa wakaanza kutushambulia "How come waTZ wanabonga kinge vzuri hivi?Nyie sio wa TZ wa TZ hawajui kinge"
Kwani hata uchumi wa tz si umeshikiliwa na wa asia?Nchi nyingi zilizotuzidi kusini mwa jangwa la sahara uchumi wake umeshikiliwa na whites tofauti kabisa na Tz
Wapo mbele kwa mambo mengi tu kwa Uchumi wametuzidi..Miundombinu wametuacha mbali sana tunaifananisha nairobi na Dsm ila Nairobi iko mbali mnoo...Kisumu na Mwanza kisumu imetuacha mbali sanaa..Arusha na Eldoret haziwezi kufanana...Mombasa wametuachaMkuu samahani kama nimekwelewa vibaya, ina maana kitu pekee wakenya wako juu ya Tanzania, ni kingereza tu sio.
Nasema kwenye upande wa maendeleo, uchumi wao kuwa mdogo kuliko Tanzania mostly ni kutokana na kwamba na zenyewe ni nchi ndogo au zina idadi ndogo ya watu.Botswana ni ya 23 kwa uchumi mkubwa Afrika na Namibia ni nchi ya 27 wakati Tanzania ipo nafasi ya 10.
Unaonekana tu ni MJINGA WA KUTUPWA huna shule na ujatoka hata uko kijijini kwenu ShinyangaAcha kutudanganya wewe.nimetembea east africa nzima na baadhi ya nchi za magharibi nimeona kuwa Tanzania ndiyo nchi ya hovyo kabisa.mifano mingi tunaiona hapa tanzania kila sehemu miundombinu ni ya hovyo sana afadhali na burundi kabisa
Nairobi hata mjini hali mbaya tu. Majority wamepanga kwenye majengo ya matajiri wachache... hali ni ngumu mno Nairobi. Watu wanashindia mikate. Mkenya ukimnunulia pilau anashangaa mno.Naona umechanganya madesa ungesema ukitoa North sio west.. hao west hamna lolote masikini kuliko hata Tz sana sana mijini ingawa napo umaskini ni balaa. Kiukweli kwa Africa kusini mwa jangwa la Sahara Tz tuna nafuu sana, hata hao Kenya mnaowaogopa ni hapo Nairobi lakini ukitoka nje kidogo tu, kuna umaskini wa kufa mtu kuliko Tz. Kutembea ni shule tosha, Allah amenijalia nimetembea nchi nyingi naelewa umaskini uliopo Africa. Narudia tena kwa Africa kusini mwa jangwa la Sahara kwa hali nzuri kidogo bongo ipo kwenye top 5.
Trip ijayo ntaenda South Sudan nikusanye habari nzuri tuu nje ya Vita alaf nikuletee utakubali kwenda??
Rwanda ni kweli kabisa, wanajibrand tu ila kiukweli bado wako nyuma sana. Hapo kigali penyewe wanapopasifia ni ka sehemu kadogo tu hata Kariakoo kubwa. Nenda toka huko vijijini pamechoka sana watu maskini wa kutupa. Tusibeze bongo, tupo vizuri sana wakuu.West Africa ni mijini tu, vijijini na miji ya nje pako hoi. Mie naona kwa East Afrika tukiangalia kwa ujumla wake vijijini na mijini. Bongo ni namba 1 kwa hali nzuri. Ni mawazo yangu hayo.Rwanda inatumia nguvu kujibrand internationally ila bado sana. Warwanda wengi waliopo ughaibuni hawataki kabisa kupasikia kwao.
Umepaonaje mkuu?Nimeenda google ungalia bangui kuko vipi
Sawa tumekusikiaAcha kutudanganya wewe.nimetembea east africa nzima na baadhi ya nchi za magharibi nimeona kuwa Tanzania ndiyo nchi ya hovyo kabisa.mifano mingi tunaiona hapa tanzania kila sehemu miundombinu ni ya hovyo sana afadhali na burundi kabisa
Huo uchumi wa kwenye makaratasi. Kiuhalisia Ethiopia watu wana shida isiyoelezeka.Usisahau Ethiopia ni nchi ya nane kwa Uchumi Mkubwa barani Afrika ikiwa na Pato la Taifa la dola bilioni
72.5 kwa mwaka. Inaizidi hadi Kenya.
Pako flani hivi kama mpanda maeneo ya mjiniUmepaonaje mkuu?
Unyelile.Eeee lina lyako bhole gete lya Kirundi,, zunyaga doho ole Nundi ila wakolela kobhasukuma
duhhh haya bwanaMasikini hapewi Cheo kanisani ataishia kuimba kwaya tu
Acha uongo,Unapajua Kin wewe ?Kinshasa Pako juu kuliko Bongo.DRC ya mayele ni masikini Sana hapa.Tz mayele yupo new york
Nyie watu kutoka Kibera Nchi yenu hua inauma sana, sijui mnapataga faida gani kuwadisi wabongo, sasa wabongo wasipo piga hela S-Sudan we una umia wapi sasa.Mimi nimekua hapo Sudan Kusini, nimepiga shughuli zangu freshi, japo wana changamoto za vita vita ila fursa ni nyingi mno maana uchumi wao ndio unaamka amka na wanahitaji sana ujuzi kutoka kwa majirani.
Kuna mabaya mengi niliyashuhuia ila hapa umuhimu wa kuja kuyaandika humu maana ni nchi inayofahamika kwa mapungufu, ila mazuri pia yapo mengi.
Wakenya, Waganda na raia wa Ethiopia wanapiga hela sana pale, ila wabongo kazi ni kulalamika tu na kutafuta mapungufu kwenye nchi za watu.