Kwa niliyoyaona Burundi, itoshe kusema Tanzania ni nchi tajiri sana

Mkuu samahani kama nimekwelewa vibaya, ina maana kitu pekee wakenya wako juu ya Tanzania, ni kingereza tu sio.
 
Mkuu samahani kama nimekwelewa vibaya, ina maana kitu pekee wakenya wako juu ya Tanzania, ni kingereza tu sio.
Wapo mbele kwa mambo mengi tu kwa Uchumi wametuzidi..Miundombinu wametuacha mbali sana tunaifananisha nairobi na Dsm ila Nairobi iko mbali mnoo...Kisumu na Mwanza kisumu imetuacha mbali sanaa..Arusha na Eldoret haziwezi kufanana...Mombasa wametuacha
 
Botswana ni ya 23 kwa uchumi mkubwa Afrika na Namibia ni nchi ya 27 wakati Tanzania ipo nafasi ya 10.
Nasema kwenye upande wa maendeleo, uchumi wao kuwa mdogo kuliko Tanzania mostly ni kutokana na kwamba na zenyewe ni nchi ndogo au zina idadi ndogo ya watu.
 
Acha kutudanganya wewe.nimetembea east africa nzima na baadhi ya nchi za magharibi nimeona kuwa Tanzania ndiyo nchi ya hovyo kabisa.mifano mingi tunaiona hapa tanzania kila sehemu miundombinu ni ya hovyo sana afadhali na burundi kabisa
Unaonekana tu ni MJINGA WA KUTUPWA huna shule na ujatoka hata uko kijijini kwenu Shinyanga
 
Nairobi hata mjini hali mbaya tu. Majority wamepanga kwenye majengo ya matajiri wachache... hali ni ngumu mno Nairobi. Watu wanashindia mikate. Mkenya ukimnunulia pilau anashangaa mno.
 
Trip ijayo ntaenda South Sudan nikusanye habari nzuri tuu nje ya Vita alaf nikuletee utakubali kwenda??

Mimi nimekua hapo Sudan Kusini, nimepiga shughuli zangu freshi, japo wana changamoto za vita vita ila fursa ni nyingi mno maana uchumi wao ndio unaamka amka na wanahitaji sana ujuzi kutoka kwa majirani.
Kuna mabaya mengi niliyashuhuia ila hapa umuhimu wa kuja kuyaandika humu maana ni nchi inayofahamika kwa mapungufu, ila mazuri pia yapo mengi.

Wakenya, Waganda na raia wa Ethiopia wanapiga hela sana pale, ila wabongo kazi ni kulalamika tu na kutafuta mapungufu kwenye nchi za watu.
 
Rwanda inatumia nguvu kujibrand internationally ila bado sana. Warwanda wengi waliopo ughaibuni hawataki kabisa kupasikia kwao.
Rwanda ni kweli kabisa, wanajibrand tu ila kiukweli bado wako nyuma sana. Hapo kigali penyewe wanapopasifia ni ka sehemu kadogo tu hata Kariakoo kubwa. Nenda toka huko vijijini pamechoka sana watu maskini wa kutupa. Tusibeze bongo, tupo vizuri sana wakuu.West Africa ni mijini tu, vijijini na miji ya nje pako hoi. Mie naona kwa East Afrika tukiangalia kwa ujumla wake vijijini na mijini. Bongo ni namba 1 kwa hali nzuri. Ni mawazo yangu hayo.
 
Acha kutudanganya wewe.nimetembea east africa nzima na baadhi ya nchi za magharibi nimeona kuwa Tanzania ndiyo nchi ya hovyo kabisa.mifano mingi tunaiona hapa tanzania kila sehemu miundombinu ni ya hovyo sana afadhali na burundi kabisa
Sawa tumekusikia
 
Nyie watu kutoka Kibera Nchi yenu hua inauma sana, sijui mnapataga faida gani kuwadisi wabongo, sasa wabongo wasipo piga hela S-Sudan we una umia wapi sasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…