Kwa ninavyomfahamu Ndugai, ipo siku atalipa kisasi

Kwa ninavyomfahamu Ndugai, ipo siku atalipa kisasi

Mgogo wangu yule huwaga hana uvumilivu kabisa na nililonalo hakika ipo siku atabomoka tu.

Muda utaongea.
Halipizi Wala halipi kisasi. Kwa taarifa Sasa hivi Ndugai Ni hatari kwa usalama wa taifa hivyo hata akinywa ARV Kuna mtu anaandika, hata akinywa beer Kuna mtu anazihesabu, hata akienda kwa waganga ajue mmoja Kati ya hao waganga wake Ni mtu wa system.
 
Back
Top Bottom