Mwamba 777
JF-Expert Member
- Nov 23, 2020
- 2,055
- 3,535
ndugai alipize kisasi amekuwa magufuli?Mgogo wangu yule huwaga hana uvumilivu kabisa na nililonalo hakika ipo siku atabomoka tu.
Muda utaongea.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ndugai alipize kisasi amekuwa magufuli?Mgogo wangu yule huwaga hana uvumilivu kabisa na nililonalo hakika ipo siku atabomoka tu.
Muda utaongea.
Tayari atakuwa ameshamwaga mboga.Akibomoka tunambomoa ...
Yeye ni nani kwenye nchi hii
Pumbavu
MLIPA KINGA hamna cha KUMFANYAKisasi atakilipia wapi! Kwanza tunataka atueleze alitibiwa kitu gani chakutumia bilioni za Kodi zetu
Akapambane na hali yakeMLIPA KINGA hamna cha KUMFANYA
Ataishia majongoMgogo wangu yule huwaga hana uvumilivu kabisa na nililonalo hakika ipo siku atabomoka tu.
Muda utaongea.
Zile nyumba zake za Dodoma alizojenga eneo la SGR bado tunaziona, na Mali zake nyingi alizotuma majina feki, na matibabu yake India, akianza tu tunachokoza kimojawapo
Mbona Lisu alipambana na amiri jeshi mkuu jiweHuwezi shindana na amiri jeshi mkuu as an individual a big NO
Du nimekusoma,ile tuhuma ni mbaya sana ikipata wa kuipiga penati.Pia, wakati anampiga fimbo mgombea mwenzake hakuwa na Kinga ya kutoshtakiwa, mashahidi wapo,jalada lipo, mwendesha mashtaka yupo, mahakama ipo, na gereza la isanga lipo
Kwa hiyo kuna eneo la SGR?
Huwezi shindana na amiri jeshi mkuu as an individual a big NO
Halipizi Wala halipi kisasi. Kwa taarifa Sasa hivi Ndugai Ni hatari kwa usalama wa taifa hivyo hata akinywa ARV Kuna mtu anaandika, hata akinywa beer Kuna mtu anazihesabu, hata akienda kwa waganga ajue mmoja Kati ya hao waganga wake Ni mtu wa system.
Naskia watu wamechkua mkeka wake wa kifisadi wakamwambia mzee tuachie hui mkeka au unajienguaa saa ngap...hahahaMgogo wangu yule huwaga hana uvumilivu kabisa na nililonalo hakika ipo siku atabomoka tu.
Muda utaongea.
Acha mchezo na taasisi ya RAIS.
Huyo hagusuki hata miaka bilioni mbele.hapo imekula kwa ndugai labda akamroge na wazanzibar wapo vizuri kwenye hyo sekta[emoji16][emoji16]
Hakuna watu wachafu kama ndugai anaazia wapiMgogo wangu yule huwaga hana uvumilivu kabisa na nililonalo hakika ipo siku atabomoka tu.
Muda utaongea.