Suzy Elias
JF-Expert Member
- Nov 9, 2021
- 1,067
- 6,200
Sasa tu megee kama uu mmoja wa c20-1. Au ni mwana familia wake?Mgogo wangu yule huwaga hana uvumilivu kabisa na nililonalo hakika ipo siku atabomoka tu.
Muda utaongea.
Kwa ujinga wa Wabunge wa huenda na wewe ukiwamo walipitishia sheria ya kutoshitakiwa kwa SpikaZile nyumba zake za Dodoma alizojenga eneo la SGR bado tunaziona, na Mali zake nyingi alizotuma majina feki, na matibabu yake India, akianza tu tunachokoza kimojawapo
Mgogo wangu yule huwaga hana uvumilivu kabisa na nililonalo hakika ipo siku atabomoka tu.
Muda utaongea.
Halipizi Wala halipi kisasi. Kwa taarifa Sasa hivi Ndugai Ni hatari kwa usalama wa taifa hivyo hata akinywa ARV Kuna mtu anaandika, hata akinywa beer Kuna mtu anazihesabu, hata akienda kwa waganga ajue mmoja Kati ya hao waganga wake Ni mtu wa system.Mgogo wangu yule huwaga hana uvumilivu kabisa na nililonalo hakika ipo siku atabomoka tu.
Muda utaongea.
Kama muda utakuwa upande wake..Mgogo wangu yule huwaga hana uvumilivu kabisa na nililonalo hakika ipo siku atabomoka tu.
Muda utaongea.
Kimbinyiko?Nimeambiwa zile za India alinunua mabasi ya mikoani yani lazima kiumane
Nasikia hivyoKimbinyiko?
Huijui sisiemu aka majambazi. Jobu analijua hilo fika ndio maana kaamua kusanda.Mgogo wangu yule huwaga hana uvumilivu kabisa na nililonalo hakika ipo siku atabomoka tu.
Muda utaongea.