Kwa ninavyomfahamu Ndugai, ipo siku atalipa kisasi

Sawa.

Asante kwa Taarifa.
 
Mgogo wangu yule huwaga hana uvumilivu kabisa na nililonalo hakika ipo siku atabomoka tu.

Muda utaongea.
Halipizi Wala halipi kisasi. Kwa taarifa Sasa hivi Ndugai Ni hatari kwa usalama wa taifa hivyo hata akinywa ARV Kuna mtu anaandika, hata akinywa beer Kuna mtu anazihesabu, hata akienda kwa waganga ajue mmoja Kati ya hao waganga wake Ni mtu wa system.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…