Kuna kipindi kisasi ni kitamu mno, msubiri aliyekuumiza asahau then katikati ya furaha yake unamlipua na kuharibu hali ya hewa.Mgogo wangu yule huwaga hana uvumilivu kabisa na nililonalo hakika ipo siku atabomoka tu.
Muda utaongea.
taasisi ya urais ni pamoja na huyo spika wa bunge.
au mkisikia urais ni taasisi mnadhani ni yale majengo pale magogoni[emoji16][emoji16]
Sio rahisi kwa taasisi ya Uraisi itaback fire vibaya sanaMgogo wangu yule huwaga hana uvumilivu kabisa na nililonalo hakika ipo siku atabomoka tu.
Muda utaongea.
Huwezi shindana na amiri jeshi mkuu as an individual a big NO
Wala haihitaji kumshitaki, dawa yake ni kumpiga muflis tu! Kama ana akili ni bora apumzike tu ale mafao yake kwa amani kuliko kuanza tena kuchokoza mamboKwa ujinga wa Wabunge wa huenda na wewe ukiwamo walipitishia sheria ya kutoshitakiwa kwa Spika
Atasubiri sanandugai ni spika wa bunge mstaafu.
ni hazina ya taifa sio hatari kama unavyodhania.usishangae kesho akapewa chaka kubwa tu.
Keshakwisha yule yakhee samaki ana nguvu tu ndani ya majiMgogo wangu yule huwaga hana uvumilivu kabisa na nililonalo hakika ipo siku atabomoka tu.
Muda utaongea.
Hana ubavu huo kashindwa akiwa spika sembuse akiwa viti maalumu!!! Unacheza nini!!!Mgogo wangu yule huwaga hana uvumilivu kabisa na nililonalo hakika ipo siku atabomoka tu.
Muda utaongea.
Du nimekusoma,ile tuhuma ni mbaya sana ikipata wa kuipiga penati.
Si ndo maana Samia kamtia kitasa Cha mbavu ndugai.
Kukopa tunakopa wote alafu unataka kujitoa uonekane mwema.
Wewe uliona wapi?
Tunaotakiwa kulalamika rais analipa Sana ni sisi.
Yeye ana access kubwa ya kukutana na Samia akamueleza sio kumvua nguo hadharani.
Atamlipa nani kisasi,kwanza hiyo nafasi ataipata wapi?Mgogo wangu yule huwaga hana uvumilivu kabisa na nililonalo hakika ipo siku atabomoka tu.
Muda utaongea.
infact ndugai hajalalamika,mama kakurupuka au vijana wa uvccm wamemfanyia mambo ya kihuni.
kama hataki kushauriwa itamfia nchi.
Simu ya Samia anayo angempigia angemwambia.
Au angeongea hata bungeni
Hicho kisasi atalipa kwa wajinga sio kwa Rais,hana hiyo jeuri.Mgogo wangu yule huwaga hana uvumilivu kabisa na nililonalo hakika ipo siku atabomoka tu.
Muda utaongea.
Mkuu kwa hiyo tutegemee kusikia siku moja Mama kapigwa mpini wa jembe hadi kuzimiaMgogo wangu yule huwaga hana uvumilivu kabisa na nililonalo hakika ipo siku atabomoka tu.
Muda utaongea.
Keshapigwa tanchi kila upande labda akakilipie jelaMgogo wangu yule huwaga hana uvumilivu kabisa na nililonalo hakika ipo siku atabomoka tu.
Muda utaongea.
Nimecheka kijinga Sana ,nchi inawapumbavu sanaAkibomoka tunambomoa ...
Yeye ni nani kwenye nchi hii
Pumbavu