Siyo DED Mkuu kwasasa ni RAS-DomNdugai ndiyo mwisho wake. Bahati mbaya hana wanaomhurumia kwa yaliyompata zaidi ya nyumba ndogo yake ambaye ni DED wa Bahi. Nyumba kubwa wamefurahia anguko lake sawa na wagogo wengine wa Kongwa
ukimsikiliza katika video huwezi ona ubaya wa alichoongea.
ni sawa nayeye tumhukumu kwanini jana kasema ni aibu kijana kukosa kazi,wakati anajua ajira hakuna.wakati kimsingi alikuwa anaamsha hali za vijana kutafuta.
sema kwa vile mambo yanakwenda kimchongo acha tuache tu.
Lissu ali opt kuwa mkimbiziMuulize Jiwe Alipoanzisha Ligi Na Mwamba Lissu Nini Kilimkuta March 17;
Kwani mzee wewe haufurahi ndugai kutimuliwa?
wala sioni sababu ya kunifurahisha.
naweza jifanya mjinga nifurahi ila nikikumbuka kafukuzwa kwa sababu gani najidharau.
Na asipochunga mdomo wake tunamtemmesha uRAS na huyo mkewe. Mijitu haina shukrani hii. DaaaadddddadekiiSiyo DED Mkuu kwasasa ni RAS-Dom
Vizuri
Wewe ungekuwa boss ungependa mfanyakazi wako akufokee hadharani?
nikiwa kama boss sitapenda,ila uboss wa rais kwa spika ndio sijauelewa bado.
Akibomoka tunambomoa ...
Yeye ni nani kwenye nchi hii
Pumbavu