Utakua huna akili ukidhani uchumi unaletwa na ardhi peke ake. Sis hatuna viwanda, vipo but sio vya kutosha so uchumi wetu unatokana na matumizi mazuri ya ardhi etu kwa sana nikimaanisha uzalishaji wa mazao na hayo madin japo sio kwa wingi, hatuna njaa hapa Tz, mazao ya chakula na biashara Tz tupo top ten africa. therefore tunatendea haki ardhi etu japo sio katka kiwango cha kuridhisha but we are stil improving.
Usidanganye watu kuwa Kenya haina madini kenya ipo na Gold, Copper, ilmenite and tantalum na mnadhalisha kwa wingi tu, pia Nyie mnajifanya mna viwanda, en stil mnakufa njaa. Kama ardhi enu ni jangwa it means eneo la jangwa mnaliacha,hamdeal nalo which is good. focus enu ipo pale padg tu(na mmefeli), while in Tz tuna eneo kubwa la kudeal with na popln kubwa en we are duing fine coz njaa was never our problem, so ardhi ndogo yenye mining, tourism, agricultural industries ni advantage na sio disadvantage coz popln enu ni ndgo vlevle. But coz nyie ni failed state mmeshindwa ata na ethiopia.
Sent using
Jamii Forums mobile app