Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ebu itaje hiyo dini inayokataza watu kunywa bia.Nawasilisha!?
Dini inakataza lakini watu milioni 12 Tanzania wanakunywa Bia Sana au Kidogo ili wasilewe!?
Mie ni mjinga nataka kujua kitu toka JF
Kuna mimi nakunywa bia yenye kilevi 0.0%. V/V.Bia haina Kilevi... Wapigwe tuuuuu wamesema wasinywe Kilevi wanakunywa wapigwe tuuu😎😋
Huu uzi unahusu maisha ya hapa duniani.Mbona kwenye pepo la Allah kuna mito ya wanzuki na ulanzi na ngedule na gongo na kila aina ya pombe waislamu waitakayo
Hakuna dini inayokataza bia, itaje.Dini gani inakataza... Sio zote ukumbuke
Mitume wengi tu wamekunywa mpaka yesu kanywa pombe...kunywa pombe ni sawa na kula chakula ...kama chakula kinavyoweza kuwa haramu pale unapofikia daraja ya ulafi...pia pombe inapofikia daraja ya ulevi basi pombe inakuwa haramu ....ulevi ulafi ni nini? .... ni kitendo cha akili ya mtu kutawaliwa na pombe au chakula...inatakiwa akili ndiyo itawale unywaji na ulaji.Nawasilisha!?
Dini inakataza lakini watu milioni 12 Tanzania wanakunywa Bia Sana au Kidogo ili wasilewe!?
Mie ni mjinga nataka kujua kitu toka JF