Kwa nini Dini inakataza watu kunywa Bia?

Kwa nini Dini inakataza watu kunywa Bia?

Shida mnajifanya mnazijua dini kuliko wakoloni wa kiarabu na kizungu waliozileta... Sasa tumia akili ya darasa 4 jiulize ktk hayo maandiko ni wapi uislam umekataza au kukemea pombe? ๐Ÿ’ฉ Sana sana imeshauri au imependekeza mtu ajiepushe na pombe ๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ
Tena afadhali wakristo maandiko yao wameandika kwa kutoa onyo kwamba "OLE WAKE...."
Siku nyingine usikurupuke kijana hizi dini zipo kwajil ya kuistarabisha dunia sio kwenda mbinguni au peponi kama unavyo dhani...
Kama kitu hauna elimu nacho usikurupuke kujibu , nimekupa aya nilitaraji ungeleta pendekezo tuichambur umeishia kutafsiri unavyojua wewe bila ya kuwa na elimu yoyote ile ya quran au lugha yenyewe ya kiarabu .

Na tukienda na logic yako inamaanisha basi hata kamari, na kuabudu masanamu havijakatazwa ila tumeshauriwa tujiepushe navyo sio? Meaning mtu anaweza kuabudu sanamu lake bila shida yoyote ile halafu hapo hapo huyo mtu ajiite muislamu hauoni unafungua mlango wa contradiction?

SIKU NYENGINE USIWE UNAKURUPUKIA HOJA AMBAZO HAUNA ELIMU NAZO .
 
Kama kitu hauna elimu nacho usikurupuke kujibu , nimekupa aya nilitaraji ungeleta pendekezo tuichambur umeishia kutafsiri unavyojua wewe bila ya kuwa na elimu yoyote ile ya quran au lugha yenyewe ya kiarabu .

Na tukienda na logic yako inamaanisha basi hata kamari, na kuabudu masanamu havijakatazwa ila tumeshauriwa tujiepushe navyo sio? Meaning mtu anaweza kuabudu sanamu lake bila shida yoyote ile halafu hapo hapo huyo mtu ajiite muislamu hauoni unafungua mlango wa contradiction?

SIKU NYENGINE USIWE UNAKURUPUKIA HOJA AMBAZO HAUNA ELIMU NAZO .
Ona ulivyo mweupe kichwani mwako...!!!
Yaani umesafishwa akili hadi una amini kujua kiarabu ni kujua kuran ๐Ÿ’ฉ๐Ÿ’ฉ๐Ÿ’ฉ hopeless kabisa...
Unadhan maandiko ya dini husika yanatafsiriwa kwa kujua lugha ya mkoloni wa kiarabu au kikristo..?!?!
Hiyo aya umeileta mwenyew halafu wew mwenyew unashindwa kuitetea huoni kwamba unajivua nguo mwenyew..?

Umekuja na hoja za kuabudu sanamu na kamali... Haya sasa ngoja nikuambie dini zote mbili zimekataza na kulaani Kamali na Kuabudu sanamu, zimetumia maneno ya KUKATAZA na KULAANI (sio kushauri au kupendekeza kama ilivyo ktk pombe ๐Ÿ˜‚)

Usilete ujuaji wakat huna unachojua... Eti elimu ya lugha ya Kiarabu ๐Ÿ’ฉ๐Ÿ’ฉ๐Ÿ’ฉ๐Ÿ’ฉ usijifungie gheto ukadhan dini unaijua sana kuliko shemej yako... Hizi dini zimeletwa watu waishi kwa hofu ya kesho...
 
Ona ulivyo mweupe kichwani mwako...!!!
Yaani umesafishwa akili hadi una amini kujua kiarabu ni kujua kuran ๐Ÿ’ฉ๐Ÿ’ฉ๐Ÿ’ฉ hopeless kabisa...
Unadhan maandiko ya dini husika yanatafsiriwa kwa kujua lugha ya mkoloni wa kiarabu au kikristo..?!?!
Hiyo aya umeileta mwenyew halafu wew mwenyew unashindwa kuitetea huoni kwamba unajivua nguo mwenyew..?

Umekuja na hoja za kuabudu sanamu na kamali... Haya sasa ngoja nikuambie dini zote mbili zimekataza na kulaani Kamali na Kuabudu sanamu, zimetumia maneno ya KUKATAZA na KULAANI (sio kushauri au kupendekeza kama ilivyo ktk pombe ๐Ÿ˜‚)

Usilete ujuaji wakat huna unachojua... Eti elimu ya lugha ya Kiarabu ๐Ÿ’ฉ๐Ÿ’ฉ๐Ÿ’ฉ๐Ÿ’ฉ usijifungie gheto ukadhan dini unaijua sana kuliko shemej yako... Hizi dini zimeletwa watu waishi kwa hofu ya kesho...
kwamba quran imebadilika na kuwa biblia sasa yeyote anayejiskia kutafsiri ataitafsiri kwa jinsi anavyojua yeye? Muda mwengine ficha ujinga wako maana ni aibu hata kusoma hayo maneno uliyoandika hapo juu.

Hivi unajua sayansi ya lugha ya kiarabu(ุนู„ู… ุงู„ู„ุบุฉ ุงู„ุนุฑุจูŠุฉ) unajua ni moja ya kozi unazochukua ukienda kusomea dini ya kiislamu? Unajua hata wanawachuoni wakubwa kabisa wa kiislamu ambao wamezaliwa na kukulia katika nchi za kiarabu huwa wanasoma hilo somo tena miaka mingi tu?

Eti dini zote , mzee ukiongelea uislamu utenge na dini zote na uongee kwa dalili , kwamba wapi kwenye quran imetumika neno kushauri? Ni kauli gani imetumika kwenye hilo neno kushauri? Weka aya specific in arabic tuijadili hapa nipo nakusubiri.
 
kwamba quran imebadilika na kuwa biblia sasa yeyote anayejiskia kutafsiri ataitafsiri kwa jinsi anavyojua yeye? Muda mwengine ficha ujinga wako maana ni aibu hata kusoma hayo maneno uliyoandika hapo juu.

Hivi unajua sayansi ya lugha ya kiarabu(ุนู„ู… ุงู„ู„ุบุฉ ุงู„ุนุฑุจูŠุฉ) unajua ni moja ya kozi unazochukua ukienda kusomea dini ya kiislamu? Unajua hata wanawachuoni wakubwa kabisa wa kiislamu ambao wamezaliwa na kukulia katika nchi za kiarabu huwa wanasoma hilo somo tena miaka mingi tu?

Eti dini zote , mzee ukiongelea uislamu utenge na dini zote na uongee kwa dalili , kwamba wapi kwenye quran imetumika neno kushauri? Ni kauli gani imetumika kwenye hilo neno kushauri? Weka aya specific in arabic tuijadili hapa nipo nakusubiri.
Nilidhan utakuwa muislam unayeijua dini ila kadri unavyoandika nakuona hopeless useless ๐Ÿ’ฉ๐Ÿ’ฉ๐Ÿ’ฉ
Huna unachojua kijana zaidi kujiita muislam, nakushangaa unavyolazimisha lugha ya kiarabu kuwa uislam... Nyie ndio mkienda uarabuni mnarudi Tz mkilalamika waarabu wana roho mbaya ila hamsemi roho mbaya mmefanywa nini uarabuni...
Usichanganye dini na mapenz yako au hisia zako kwa mtu/watu...
 
Nilidhan utakuwa muislam unayeijua dini ila kadri unavyoandika nakuona hopeless useless ๐Ÿ’ฉ๐Ÿ’ฉ๐Ÿ’ฉ
Huna unachojua kijana zaidi kujiita muislam, nakushangaa unavyolazimisha lugha ya kiarabu kuwa uislam... Nyie ndio mkienda uarabuni mnarudi Tz mkilalamika waarabu wana roho mbaya ila hamsemi roho mbaya mmefanywa nini uarabuni...
Usichanganye dini na mapenz yako au hisia zako kwa mtu/watu...
Hakuna sehemu nimesema lugha ya kiarabh ni uislamu kama ipo onesha nilichokiongelea ni kwamba hauwezi kamwe kuitenganisha quran na kiarabu kamwe maana ndiyo lugha iliyoteremshiwa .


hivyo ili kuielewa quran vizuri ni vyema pia ukajua na lugha asili iliyoteremka nayo and offcourse nilitaraji utaweka dalili ila hakuna kitu unachojua zaidi ya kuleta maneno matupu anyways nakupa aya hizi hapa nenda katafakari kisha urudi ukiwa na hoja iliyosimama si maneno matupu.

1.surat

Yusuf 12:2

ุฅูู†ู‘ูŽุงู“ ุฃูŽู†ุฒูŽู„ู’ู†ูŽูฐู‡ู ู‚ูุฑู’ุกูŽูฐู†ู‹ุง ุนูŽุฑูŽุจููŠู‘ู‹ุง ู„ู‘ูŽุนูŽู„ู‘ูŽูƒูู…ู’ ุชูŽุนู’ู‚ูู„ููˆู†ูŽ

Swahili - Ali Muhsin Al-Barwani

Hakika Sisi tumeiteremsha Qur'ani kwa Kiarabu ili mpate kuzingatia.

English - Tafsir Ibn Kathir (Abridged)

2. Surat

Az-Zukhruf 43:3

ุฅูู†ู‘ูŽุง ุฌูŽุนูŽู„ู’ู†ูŽูฐู‡ู ู‚ูุฑู’ุกูŽูฐู†ู‹ุง ุนูŽุฑูŽุจููŠู‘ู‹ุง ู„ู‘ูŽุนูŽู„ู‘ูŽูƒูู…ู’ ุชูŽุนู’ู‚ูู„ููˆู†ูŽ

Swahili - Ali Muhsin Al-Barwani

Hakika Sisi tumeifanya Qur'ani kwa Kiarabu ili mfahamu.

English - Tafsir Ibn Kathir (Abridged)

3. Surat

Ash-Shu'ara' 26:195

ุจูู„ูุณูŽุงู†ู ุนูŽุฑูŽุจูู‰ู‘ู ู…ู‘ูุจููŠู†ู

Swahili - Ali Muhsin Al-Barwani

Kwa ulimi wa Kiarabu ulio wazi.

English - Tafsir Ibn Kathir (Abridged)
 
Back
Top Bottom