Kwa nini Dini inakataza watu kunywa Bia?

Kwa nini Dini inakataza watu kunywa Bia?

Muda wa kufunga bar na kufungua Yard ya kuuza magari toka nchi moja ya Malkia - Gari za mjapani zina changamoto sana.

Truck
truck.png
 
Muda wa kufunga bar na kufungua Yard ya kuuza magari toka nchi moja ya Malkia - Gari za mjapani zina changamoto sana

Car
car.png
 
Mbona haijakataza hata proud to be nao ni ruksa sema suuu nije na ayaa
 

Attachments

  • Screenshot_20241209-020253_Google.png
    Screenshot_20241209-020253_Google.png
    192.8 KB · Views: 2
Mbona haijakataza hata proud to be nao ni ruksa sema suuu nije na ayaa
Kweli umasikini tuliosoma Sio Bora Tanzania mpya tunajitahidi kwa nguvu kutengeneza Umasikini mpya. Kwa nguvu ya Ajabu...
IMG20241208071620.jpg
 
Kweli umasikini tuliosoma Sio Bora Tanzania mpya tunajitahidi kwa nguvu kutengeneza Umasikini mpya. Kwa nguvu ya Ajabu... Sijui nitakujuaje kama mwanamke nikuoe kama mwanaume tuanzishe pambano la ngumi

IMG20241208071850.jpg
 
Kweli umasikini tuliosoma Sio Bora Tanzania mpya tunajitahidi kwa nguvu kutengeneza Umasikini mpya. Kwa nguvu ya Ajabu... Sijui nitakujuaje kama mwanamke (bira kuzingatia sifa) nikuoe kama mwanaume tuanzishe pambano la ngumi
IMG20241208071724.jpg
 
Kweli umasikini tuliosoma Sio Bora Tanzania mpya tunajitahidi kwa nguvu kutengeneza Umasikini mpya. Kwa nguvu ya Ajabu... Sijui nitakujuaje kama mwanamke (bira kuzingatia sifa) nikuoe kama mwanaume tuanzishe pambano la ngumi
IMG20241208071648.jpg
 
Kweli umasikini tuliosoma Sio Bora Tanzania mpya tunajitahidi kwa nguvu kutengeneza Umasikini mpya. Kwa nguvu ya Ajabu... Sijui nitakujuaje kama mwanamke (bira kuzingatia sifa) nikuoe kama mwanaume tuanzishe pambano la ngumi
IMG20241208071751.jpg
 
Sayansi gani we mshamba aisee usinikere hapa aiseee.

Pombe kwa nchi zetu za kimaskini tunamatumizi mbaya na ukweli sio nzuri.

Unaweza itumia wewe ki usahihi ila zaidi ya asilimia 90 hakuna ustarabu nazo.

Pombe ndo chanzo cha ajali nyingi za magari binafsi hata ya abiria na mizigo

Pombe ni chanzo za wengi kupata magonjwa ya ngono kwasababu walevi hujinywea hali inayopeleka kutojitambua kwenye maamuzi sahihi.

Pombe ni chanzo cha ndugu wengi kupoteza future zao kwa kuwa walevi chakari ( teja wa pombe)

Pombe ni chanzo cha upotezaji wa maadaili mengi( Ukikuta familia baba ni mlevi ni nadra kusimamia familia yake, kwanza atarudi usiku ma matusi au kelele na muda mwingi hayuko nyumbani.)

Na sijui ni nini iko nyuma ya uhamasishaji utumiaji wa pombe yaani ukisema kwenye Jamii hutumii pombe unaonekana mshamba jambo ambalo kila binadam ana uchaguzi wake.

Siongelei pombe kidini ila naitizama ki mantiki ambayo ukweli upo bado wa Tanzania hatuna ustarabu na Pombe..

Jee unadhani watu wanakunywa kistarabu na kuzingatia mlo?,
 
Kwenye nyumba yako ulimtumia fundi gani kuweka tiles.. Maana duuu bora kwenda kunywa bia hela yote "Wakaweke wenyewe Tiles"

download (1).jpg
 
Nawasilisha!?

Dini inakataza lakini watu milioni 12 Tanzania wanakunywa Bia Sana au Kidogo ili wasilewe!?

Mie ni mjinga nataka kujua kitu toka JF
Biblia inaeleza madhara na matokeo ya pombe. Nuhu alilewa akavua nguo,, akamlaani mjukuu wake Canani mwanzo 9:20-25. Belshazzar alilewa akautumia vyombo vitakatifu, akafa usiku huo huo. Daniel 5:1-5. Agano jipya Biblia inasemwa walevi hawataingia mbinguni 1wakorintho 6:9. Nenda Hospital ya Mirembe uone wagonjwa wa akili waliopelekwa kutokana na ulevi. Pombe mbali na Kodi kubwa inayoingia serikalini, imeleta hasara kubwa kwa ajali, talaka, vifo, uchumi na watoto wasio na makazi, na wanawake waliotelekezwa.
 
Kwenye nyumba yako ulimtumia fundi gani kuweka tiles.. Maana duuu bora kwenda kunywa bia hela yote "Wakaweke wenyewe Tiles"

download.jpg
 
Pombe kwa nchi zetu za kimaskini tunamatumizi mbaya na ukweli sio nzuri.

Unaweza itumia wewe ki usahihi ila zaidi ya asilimia 90 hakuna ustarabu nazo.

Pombe ndo chanzo cha ajali nyingi za magari binafsi hata ya abiria na mizigo

Pombe ni chanzo za wengi kupata magonjwa ya ngono kwasababu walevi hujinywea hali inayopeleka kutojitambua kwenye maamuzi sahihi.

Pombe ni chanzo cha ndugu wengi kupoteza future zao kwa kuwa walevi chakari ( teja wa pombe)

Pombe ni chanzo cha upotezaji wa maadaili mengi( Ukikuta familia baba ni mlevi ni nadra kusimamia familia yake, kwanza atarudi usiku ma matusi au kelele na muda mwingi hayuko nyumbani.)

Na sijui ni nini iko nyuma ya uhamasishaji utumiaji wa pombe yaani ukisema kwenye Jamii hutumii pombe unaonekana mshamba jambo ambalo kila binadam ana uchaguzi wake.

Siongelei pombe kidini ila naitizama ki mantiki ambayo ukweli upo bado wa Tanzania hatuna ustarabu na Pombe..

Jee unadhani watu wanakunywa kistarabu na kuzingatia mlo?,
Hata serikali ingepiga marufuku pombe watu wanywe kwa kujificha. Liwe kosa tu kama wizi, uvutaji bàngi, dawa zà kulevya na mambo kama hayo.
Pombe ina madhara sana ikifikia hatua ya ulevi.
 
Hata serikali ingepiga marufuku pombe watu wanywe kwa kujificha. Liwe kosa tu kama wizi, uvutaji bàngi, dawa zà kulevya na mambo kama hayo.
Pombe ina madhara sana ikifikia hatua ya ulevi.
Hii hapa!

kama wizi, uvutaji bàngi, dawa zà kulevya na mambo kama hayo - Ukinywa bia kubali kubambikiwa kesi
 
Hakuna popote ktk Biblia ya wakristo wa Quran ya waislam zimekataza pombe... Ila ni hisia na maoni na mawazo au fikra za watu wanalazimisha dini zimekataza pombe...
Dini kama ya Kikristo imeeleza side effects za kilevi na kutoa tahadhari ila haijakataza...
Naomba maandiko atakaye nibishia
Yanakuja! Yalikuwepo Youtube saizi yapo kwenye Vitabu vitakafujo
 
Hakuna popote ktk Biblia ya wakristo wa Quran ya waislam zimekataza pombe... Ila ni hisia na maoni na mawazo au fikra za watu wanalazimisha dini zimekataza pombe...
Dini kama ya Kikristo imeeleza side effects za kilevi na kutoa tahadhari ila haijakataza...
Naomba maandiko atakaye nibishia

Al-Ma'idah 5:90

يَٰٓأَيُّهَا ٱلَّذِينَ ءَامَنُوٓا۟ إِنَّمَا ٱلْخَمْرُ وَٱلْمَيْسِرُ وَٱلْأَنصَابُ وَٱلْأَزْلَٰمُ رِجْسٌ مِّنْ عَمَلِ ٱلشَّيْطَٰنِ فَٱجْتَنِبُوهُ لَعَلَّكُمْ تُفْلِحُونَ

Swahili - Ali Muhsin Al-Barwani

Enyi mlio amini! Bila ya shaka ulevi, na kamari, na kuabudu masanamu, na kupiga ramli, ni uchafu katika kazi ya Shet'ani. Basi jiepusheni navyo, ili mpate kufanikiwa.


Kila siku nasema hapa ukiwa unaleta hoja yoyota kuhusu uislamu uwe unaweka na dalili si unakurupuka tu .
 
Back
Top Bottom