Kwa nini Dini inakataza watu kunywa Bia?

Kwa nini Dini inakataza watu kunywa Bia?

Dini gani hiyo imekataza?
Kwenye biblia Yesu mwenyewe alitengeneza mapipa ya divai..watu wanywe, waburudike...nani huyo kakataza tena??
 
Wakikuambia Bia Mbaya na Ukanywa utapata madhara Gani!?

Nataka kujenga tu!? Sina maana Hiyo

Maana Kazi ya Mlevi kapewa Shehe/Mlokole
Kinachokatazwa ni kulewa, kulewa ni kutumia kilevi kupita kiasi na kilevi kinaweza kupatikana kwenye chakula bila mlaji kukusudia, mfano baadhi ya dawa na matunda.
 
Kinachokatazwa ni kulewa, kulewa ni kutumia kilevi kupita kiasi na kilevi kinaweza kupatikana kwenye chakula bila mlaji kukusudia, mfano baadhi ya dawa na matunda.
Kinachokatazwa ni kunywa pombe nyingi kupita kiasi huwezi kunywa bila kulewa
 
Nawasilisha!?

Dini inakataza lakini watu milioni 12 Tanzania wanakunywa Bia Sana au Kidogo ili wasilewe!?

Mie ni mjinga nataka kujua kitu toka JF
FB_IMG_1733717479529.jpg
 
Nawasilisha!?

Dini inakataza lakini watu milioni 12 Tanzania wanakunywa Bia Sana au Kidogo ili wasilewe!?

Mie ni mjinga nataka kujua kitu toka JF
Mimi sinywi bia ila simzuii mtu kunywa kwa kuwa hakuna andiko lolote kwenye Biblia linakataza kunywa pombe.
 
Nawasilisha!?

Dini inakataza lakini watu milioni 12 Tanzania wanakunywa Bia Sana au Kidogo ili wasilewe!?

Mie ni mjinga nataka kujua kitu toka JF
Wanataka watu wasitumie pesa ili watoe sadaka balda ya kuzitumia kwenye kanywaji.
 
Kinachokatazwa ni kulewa, kulewa ni kutumia kilevi kupita kiasi na kilevi kinaweza kupatikana kwenye chakula bila mlaji kukusudia, mfano baadhi ya dawa na matunda.
Pombe ni haramu, tuache kujifariji eti dawa mara chakula. Nendeni vilabuni muone watu wanavyoteseka na pombe. Kuna watu very genius, lakini pombe imewachakaza hakuna mfano. Kuna familia zilianza vyema mara ghafla Mr Pombe kaharibu kila kitu. Tumezika watu wa maana sana sababu tu pombe. Pombe ukiianza inaleta usugu na ugumu kuiacha.
 
Pombe ni haramu, tuache kujifariji eti dawa mara chakula. Nendeni vilabuni muone watu wanavyoteseka na pombe. Kuna watu very genius, lakini pombe imewachakaza hakuna mfano. Kuna familia zilianza vyema mara ghafla Mr Pombe kaharibu kila kitu. Tumezika watu wa maana sana sababu tu pombe. Pombe ukiianza inaleta usugu na ugumu kuiacha.
Chukua pombe yako kiasi uinywe nyumbani kwako kiasi, hilo linakubalika.
 
Pombe kwa nchi zetu za kimaskini tunamatumizi mbaya na ukweli sio nzuri.

Unaweza itumia wewe ki usahihi ila zaidi ya asilimia 90 hakuna ustarabu nazo.

Pombe ndo chanzo cha ajali nyingi za magari binafsi hata ya abiria na mizigo

Pombe ni chanzo za wengi kupata magonjwa ya ngono kwasababu walevi hujinywea hali inayopeleka kutojitambua kwenye maamuzi sahihi.

Pombe ni chanzo cha ndugu wengi kupoteza future zao kwa kuwa walevi chakari ( teja wa pombe)

Pombe ni chanzo cha upotezaji wa maadaili mengi( Ukikuta familia baba ni mlevi ni nadra kusimamia familia yake, kwanza atarudi usiku ma matusi au kelele na muda mwingi hayuko nyumbani.)

Na sijui ni nini iko nyuma ya uhamasishaji utumiaji wa pombe yaani ukisema kwenye Jamii hutumii pombe unaonekana mshamba jambo ambalo kila binadam ana uchaguzi wake.

Siongelei pombe kidini ila naitizama ki mantiki ambayo ukweli upo bado wa Tanzania hatuna ustarabu na Pombe..

Jee unadhani watu wanakunywa kistarabu na kuzingatia mlo?,
Kweli ni chanzo cha mambo mengi sana!! Tatizo ni dini kuweka tatizo kwenye ulevi
 
Pombe kwa nchi zetu za kimaskini tunamatumizi mbaya na ukweli sio nzuri.

Unaweza itumia wewe ki usahihi ila zaidi ya asilimia 90 hakuna ustarabu nazo.

Pombe ndo chanzo cha ajali nyingi za magari binafsi hata ya abiria na mizigo

Pombe ni chanzo za wengi kupata magonjwa ya ngono kwasababu walevi hujinywea hali inayopeleka kutojitambua kwenye maamuzi sahihi.

Pombe ni chanzo cha ndugu wengi kupoteza future zao kwa kuwa walevi chakari ( teja wa pombe)

Pombe ni chanzo cha upotezaji wa maadaili mengi( Ukikuta familia baba ni mlevi ni nadra kusimamia familia yake, kwanza atarudi usiku ma matusi au kelele na muda mwingi hayuko nyumbani.)

Na sijui ni nini iko nyuma ya uhamasishaji utumiaji wa pombe yaani ukisema kwenye Jamii hutumii pombe unaonekana mshamba jambo ambalo kila binadam ana uchaguzi wake.

Siongelei pombe kidini ila naitizama ki mantiki ambayo ukweli upo bado wa Tanzania hatuna ustarabu na Pombe..

Jee unadhani watu wanakunywa kistarabu na kuzingatia mlo?,
Huwezi kula gambe na huna maokoto , wanywaji wengi wanajiweza kiuchumi.

Tofauti na waraibu wa vilevi vingine kama ngada na bangi ambavyo hupatikana kwa bei rahisi rahisi.
 
Al-Ma'idah 5:90

يَٰٓأَيُّهَا ٱلَّذِينَ ءَامَنُوٓا۟ إِنَّمَا ٱلْخَمْرُ وَٱلْمَيْسِرُ وَٱلْأَنصَابُ وَٱلْأَزْلَٰمُ رِجْسٌ مِّنْ عَمَلِ ٱلشَّيْطَٰنِ فَٱجْتَنِبُوهُ لَعَلَّكُمْ تُفْلِحُونَ

Swahili - Ali Muhsin Al-Barwani

Enyi mlio amini! Bila ya shaka ulevi, na kamari, na kuabudu masanamu, na kupiga ramli, ni uchafu katika kazi ya Shet'ani. Basi jiepusheni navyo, ili mpate kufanikiwa.


Kila siku nasema hapa ukiwa unaleta hoja yoyota kuhusu uislamu uwe unaweka na dalili si unakurupuka tu .
Shida mnajifanya mnazijua dini kuliko wakoloni wa kiarabu na kizungu waliozileta... Sasa tumia akili ya darasa 4 jiulize ktk hayo maandiko ni wapi uislam umekataza au kukemea pombe? 💩 Sana sana imeshauri au imependekeza mtu ajiepushe na pombe 😂🤣
Tena afadhali wakristo maandiko yao wameandika kwa kutoa onyo kwamba "OLE WAKE...."
Siku nyingine usikurupuke kijana hizi dini zipo kwajil ya kuistarabisha dunia sio kwenda mbinguni au peponi kama unavyo dhani...
 
Back
Top Bottom