Kwa nini Dini inakataza watu kunywa Bia?

Kwa nini Dini inakataza watu kunywa Bia?

Hakuna dini inayokataza bia, itaje.
Dini ya Kiislam

Enyi walioamini! Hakika pombe na kamari na masanamu na kutazamia kwa mishale ya kupigia ramli, ni najisi na chukizo kutokana na kazi ya shaytwaan. Basi jiepusheni navyo mpate kufaulu. Al-Maaidah (5:90-91)]
 
sigara,shisha,mirungi,bangi na madawa mengine ya kulevya hayajakatazwa na dini pia,wala katika maandiko ya vitabu vya dini havijakataza.

Wenye imani ya dini wanaongozwa na amani au sauti ya ROho ya Mungu iliyo ndani ya mioyo yao inayowapa kujua dhambi /haramu na halali.
(amani ya Mungu ndani mwao inaamua juu ya jema na baya mioyoni mwao)
Hivyo wanatenda kama walivyokusudia mioyoni mwao sio kwa lazima wala kwa huzuni.

Mungu anawajua walio wake nao waisikia sauti ya Mungu iliyo ndani yao na kuifuata/kuitii.
 
Mitume wengi tu wamekunywa mpaka yesu kanywa pombe...kunywa pombe ni sawa na kula chakula ...kama chakula kinavyoweza kuwa haramu pale unapofikia daraja ya ulafi...pia pombe inapofikia daraja ya ulevi basi pombe inakuwa haramu ....ulevi ulafi ni nini? .... ni kitendo cha akili ya mtu kutawaliwa na pombe au chakula...inatakiwa akili ndiyo itawale unywaji na ulaji.
Umeijengea Hoja vizuri sana matokeo ya Chakula ulafi. Na pombe Ulevi ndio dhambi. 🤣🤣 Yule unamuitaga Nani nani bushir mitano tena🤣🤣
 
Nawasilisha!?

Dini inakataza lakini watu milioni 12 Tanzania wanakunywa Bia Sana au Kidogo ili wasilewe!?

Mie ni mjinga nataka kujua kitu toka JF
Wakati dini zinavumbuliwa hakukuwa na bia. Bia zimekuja miaka siyo zaidi ya 300 iliyopita kwa hiyo dini haijui bia. We kumywa bia acha uoga
 
Pombe ni kinywaji kinacholevya na zinagawanyika katika aina mbili ambazo ni bia(iliyotokana na kuchachuliwa nafaka) na pia divai ama mvinyo(iliyotokana na matunda).Pombe nyingine ni zao la kutonesha bia ama divai. Mhubiri 9:7,inakutaka unywe divai kwa kuchangamka kwa kuwa Bwana amekwishazikubali kazi zako.Uamuzi wa dini ama dhehebu si wa kutoka katika Injili bali ni maoni ya Mtume Paulo alipoamua kuwa mnadhiri wa Mungu.Mnadhiri wa Mungu alifungwa na masharti ya kutokunywa pombe,kutonyoa nywele na kutoshuhudia maiti.Endapo mnadhiri akishuhudia maiti kuna tambiko maalum atalifanya ili kuirudia nadhiri yake.Hata wewe wawezafunga nadhiri na je,kama si mnadhiri ipendeze kuhubiri kuwa kunywa pombe ni dhambi?
 
Vilevi Huwa vina addiction mkuu,mtu akiwa addicted na pombe,sigara,tumbaku,bangi au madawa ya kulevya hupelekea mtu huyo kufanya maovu mengi ,
Kama
Kuua
Wizi
Ubakaji
Kulawiti
Kukosa uaminifu
Kushindwa kufanya kazi

Kuvunjika kwa familia
Kwa hiyo dini lengo kubwa ni kuwafanya watu waache maasi
 
Pombe ni kinywaji kinacholevya na zinagawanyika katika aina mbili ambazo ni bia(iliyotokana na kuchachuliwa nafaka) na pia divai ama mvinyo(iliyotokana na matunda).Pombe nyingine ni zao la kutonesha bia ama divai. Mhubiri 9:7,inakutaka unywe divai kwa kuchangamka kwa kuwa Bwana amekwishazikubali kazi zako.Uamuzi wa dini ama dhehebu si wa kutoka katika Injili bali ni maoni ya Mtume Paulo alipoamua kuwa mnadhiri wa Mungu.Mnadhiri wa Mungu alifungwa na masharti ya kutokunywa pombe,kutonyoa nywele na kutoshuhudia maiti.Endapo mnadhiri akishuhudia maiti kuna tambiko maalum atalifanya ili kuirudia nadhiri yake.Hata wewe wawezafunga nadhiri na je,kama si mnadhiri ipendeze kuhubiri kuwa kunywa pombe ni dhambi?
Kwenye hilo Neno hapo! Halikisha imethibitishwa na daktari🙈
 
Muda wa kufunga bar na kufungua Yard ya kuuza magari toka nchi moja ya Malkia - Gari za mjapani zina changamoto sana

Coupe
coupe.png
 
Muda wa kufunga bar na kufungua Yard ya kuuza magari toka nchi moja ya Malkia - Gari za mjapani zina changamoto sana

MiniVan

minivan.png
 
Muda wa kufunga bar na kufungua Yard ya kuuza magari toka nchi moja ya Malkia - Gari za mjapani zina changamoto sana.

Suv
suv.png
 
Back
Top Bottom