Kwa nini kuupinga Mkataba wa Bandari inaitwa "udini" lakini kuunga mkono sio udini?

Aristotle believed man was a "political animal" because he is a social creature with the power of speech and moral reasoning: Hence it is evident that the state is a creation of nature, and that man is by nature a political animal. Hata uende wapi siasa ni kila kitu.
 

Kwa hiyo viongozi wa kisiasa wakipuyanga unataka viongozi wa dini wakae kimya?
 
Mkuu nadhani na kanisa kuna kitu wanapigania🤔
Tuendelee kula mtori nyama zipo chini
if that is true tuseme kuna conflict of interests between third parties? Au kule kiotani hawakujua huu waraka utatoka? Ila twende mbele turudi nyuma., tec huwa hawakurupuki kutoka na nyaraka . Anyway acha tule shingo .Vipapatio tutavikuta chini.
 

Siasa chanzo chake ni Dini.
 
Kuwa ccm ni laana tosha yaani hadi viongozi wao ni wa hovyo na hawatumii akili, yaani watu wengi tu wametoka mbele kuunga mkono hii hoja hawajaitwa wadini ili ukipinga tu ni udini, kingine cha kushangaza kiongozi anakwenda kufungua kanisa anasema tusichanganye dini na siasa wakati anaongelea mambo ya siasa akiwa kanisani akili zao ni za ajabu sana
 
Tunasema ni udini kwa sababu wapingaji wakubwa ni Wakristo, tena unajadiliwa Makanisani.
Na hata waliofungua kesi wote ni wagalatia, sio bahati mbaya. Hata Padri Slaa kaibuka sasa hv ni kwa sababu tu maslahinya kanisa lake yameguswa.

Tusidanganyanye zama hz, hapo issue ni UDINI TU
 

😀😀
 
Huo mkataba hakuna ambaye hautaki ishu inayotakiwa ni marekebisho tuu.
Sasa tatizo lipo wapi?
... ndio waulizwe CCM sasa! Badala yake wanakimbilia udini! Hawa watu ni hatari kuliko ukoma aliosema Mwl. Nyerere ambaye hadi speech zake za kizalendo zimeondolewa kwenye media za taifa.
 
Mapadri washatoa waraka huko. Nenda kanisani kuna majibu yako, humu utasubiri sana
 
Kwa hiyo viongozi wa kisiasa wakipuyanga unataka viongozi wa dini wakae kimya?
Wananafasi ya kutoa ushauri ila hawanafasi ya kuweka political presha kupitia majukwaa yao ya taasisi zao kwa kuwa wakifanya hivyo wanahatarisha umoja kwa kuwa dini zipo nyingi italeta mtafaruku heri ya Zambia wanadini ya taifa ila hapa kwetu hatuna .
Na pia jamani kama wao wanatufundisha uvumilivu basi na wao waanze kuyatenda wale wanayotufundisha ukitoa ushauri usiposikilizwa kuwa mvumilivu na sio kuleta ukaidi kwa kuwa unameans za kufanya hivyo.
 

Wakati JPM akandikiwa Waraka za kubinya Uhuru na Haki za kutoa Maoni haikuwa UDINI?

Wabadilishe vipengele vinavyolalamikiwa kisha watakaoendelea kupinga hao sasa watakuwa na matatizo
 

Unajua Amani inahatarishwa na nini? Au amani inashikiliwa na nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…