Kwa nini kuupinga Mkataba wa Bandari inaitwa "udini" lakini kuunga mkono sio udini?


Naomba hawa wakujibu nawakubali na Kuwaamini sanaa wana Upeo Mkubwa sanaa
Cc
big show FaizaFoxy john roberts na Mwingine Ninemsahau[emoji12]
 
Umenena vyema kabisa

Inasikitisha sana kukwepa hoja kuweka habari ya udini kwa kuangalia ni dini gani anaongea.

Nchi imekuwa ya hovyo mpaka inatia kichefuchefu
 
Kipindi cha mkapa alipotaka kuuza shirika la ndege TEC walimuita na kumuonya mwisho akaacha angekuwa ni wadini nyingine ingezuka hoja ya udini
 
waislamu wachache sana wanatumia akili zao

ila wengi wao taka taka kabisa
 
Wasituhamishe kwenye mada, ishu kubwa hapa ni kuupitia upya mkataba.
 
Hayawezi kuisha hadi mkataba wa bandari ufutwe au urekebishwe.

Kwenye waraka wa TEC kuna
kipengele kimezungumzia dini?
 
Sijui lini hawa wapumbavu watapungua nchi hii!
badala ya kujadili hoja ya msingi wanaleta upumbavu wa kiasi cha kutisha!
Natamani Tz ingetengwa sehemu mbili; werevu nchi yao na wapumbavu nchi yao!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…