Sasa km hadhira yao ni waumini ulitaka waseme kwa niaba ya kina nani? Sisi huku tunasema mmoja mmoja lkn ingetakiwa kuwa na sauti moja yenye nguvu ya kuwasilisha mawazo yetu ambayo ni bunge, bunge limeshindwa kufanya kazi yake Tec wameamua kuwasilisha Sauti ya pamoja kuhusu msimamo wao na waumini wao, shida iko wapi?Shida sio kutoa msimamo shida ni kushawishi waumini kupitia nafasi yao kama viongozi wadini wapinge jitihada za serikali katika uwekezaji unaofanyika bandarini hapo ndipo tatizo lilipo.
Nakubali na ni kweli waumini ndio hadhira yao ila tatizo sheria haziwaruhusu kufanya siasa au kuweka mrengo huo ktk maeneo hayo na pia zinakataza katiba za vyama vya kisiasa kuwa na mrengo huo ni hivyo tu ndugu yangu .Sasa km hadhira yao ni waumini ulitaka waseme kwa niaba ya kina nani? Sisi huku tunasema mmoja mmoja lkn ingetakiwa kuwa na sauti moja yenye nguvu ya kuwasilisha mawazo yetu ambayo ni bunge, bunge limeshindwa kufanya kazi yake Tec wameamua kuwasilisha Sauti ya pamoja kuhusu msimamo wao na waumini wao, shida iko wapi?
Siasa gani wamefanya hapo ndugu yng? kutoa maoni yao na kusema wanachosimamia khs uwekezaji wa bandari ni siasa? Au wangesimamia kuunga mkono uwekezaji ndio ingekuwa sio siasa?Nakubali na ni kweli waumini ndio hadhira yao ila tatizo sheria haziwaruhusu kufanya siasa au kuweka mrengo huo ktk maeneo hayo na pia zinakataza katiba za vyama vya kisiasa kuwa na mrengo huo ni hivyo tu ndugu yangu
WAJINGA NDIO WANA HOJA NYEPESI NYEPESI ZA KUSINGIZIA UDINIKWA NINI KUUPINGA MKATABA WA BANDARI INAITWA "UDINI" LAKINI KUUNGA MKONO SIO UDINI? MSIWE WAPUMBAVU.
Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli.
Wanasiasa moja ya mambo yanayowashushia heshima ni kigeugeu na unafiki wao. Wanasiasa wakisifiwa na viongozi wa dini hawasemi dini imeingizwa kwenye Siasa lakini wakikosolewe hapo utasikia Dini imeingizwa kwenye Siasa.
Wanasiasa wakitaka kuombewa na viongozi wa dini hiyo hawaiti dini imeingizwa kwenye Siasa. Wao wanataka tuu Sifa na utukufu Kutoka Kwa dini lakini wakikosolewa na kupondwa hapo wanaleta shida.
Tabia hiyo ya hovyo na kinafiki imekomaa Sana katika Nchi yetu. Na sasa tupo kwenye sakata la mkataba WA Bandari.
Viongozi wa dini waliosifia mkataba huu wao hawaambiwi kuwa ni UDINI. Lakini wanaoukosoa wanaambiwa ni udini. Hivi tutaacha lini huo upumbavu.
Kwa nini tusiangalie hoja ya msingi. Huo mkataba kama ni mbovu Kwa nini usibadilishwe? Kama kweli nia ni yakweli ya kutetea maslahi ya nchi. Kwa nini huo mkataba usiboreshwe vifungu vyenye utata?
Kujitetea kwa kujificha kwenye kichaka cha udini hakutabadili Jambo lolote.
Hekima na busara zitumike, kama kweli lengo ni kulinda maslahi ya Taifa letu na maslahi ya Watu wetu na rasilimali zetu. Mtu akipinga Jambo kama anahoja ya msingi lazima asikilizwe.
Kwanza hizo dini zenyewe tumeletewa. Pili, tupo watanzania wengi ambao hatuamini Kati hizo dini zenu za kigeni. Ingawaje tunawatambua na kuheshimu wanaoziamini. Sasa msitake kuzifanya hizo dini zenu zinaumuhimu kuliko taifa letu.
Mnapojadiliana ishu za taifa msijifanye mnajificha kwenye udini. Oooh! Yule Mkristo ndio maana anakosoa. Lakini akisifia huwezi sikia Jambo Hilo. Angalieni kinachokosolewa, je kina uhalali wa kukosolewa? Kama jibu ni ndio,basi fanyieni maboresho.
Uwe Mkristo au muislam, uwe wakabila gani, uwe Mtibeli kama Mimi au mpagani. Kwetu haina maana yoyote Ile. Tunachotaka ni kulinda maslahi ya nchi yetu na sio genge Fulani la Watu. Ni lazima tuangalie kizazi chetu kilichopo na kinachokuja.
Dini yako, au Cheo chako au mamlaka yako haina maana yoyote kwetu ikiwa unataka kuliingiza taifa katika hasara na ubinafsi wa hovyo.
Acheni upumbavu! Mtu akitoa hoja isikilizwe hoja yake na sio ni wadini gani. Kama mkataba haufai, urekebishwe. Hiyo ndio hoja. Mambo ya sijui Amani, sijui mgawanyiko, hayo yote yataletwa na watu wabinafsi na wasiotaka kusikiliza wengine.
Mgawanyiko ni muhimu ikiwa tunatofautiana. Hiyo iwekwe wazi. Kama Watu hawataki wawe wamoja, kujaribu kuwaunganisha Watu wasiofanana ndio ukosefu wa Amani, mitafaruku, unyanyasaji na ukatili. Hatuwezi lazimisha umoja wa kinyonyaji, umoja wa wengine wanafaidi wengine wanasota, huo umoja haupogo labda kinafiki.
Nisikilizeni, umoja unaletwa Kwa kuangalia wengi wanasema nini, lakini pia Kwa kuzingatia maslahi ya taifa na kizazi kijacho.
Upendo, Haki, Ukweli na Akili hiyo ndio namna ya kuwaweka Watu pamoja. Utibeli.
Acha nipumzike sasa.
Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
🌳Beli kwenye ubora wakoKWA NINI KUUPINGA MKATABA WA BANDARI INAITWA "UDINI" LAKINI KUUNGA MKONO SIO UDINI? MSIWE WAPUMBAVU.
Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli.
Wanasiasa moja ya mambo yanayowashushia heshima ni kigeugeu na unafiki wao. Wanasiasa wakisifiwa na viongozi wa dini hawasemi dini imeingizwa kwenye Siasa lakini wakikosolewe hapo utasikia Dini imeingizwa kwenye Siasa.
Wanasiasa wakitaka kuombewa na viongozi wa dini hiyo hawaiti dini imeingizwa kwenye Siasa. Wao wanataka tuu Sifa na utukufu Kutoka Kwa dini lakini wakikosolewa na kupondwa hapo wanaleta shida.
Tabia hiyo ya hovyo na kinafiki imekomaa Sana katika Nchi yetu. Na sasa tupo kwenye sakata la mkataba WA Bandari.
Viongozi wa dini waliosifia mkataba huu wao hawaambiwi kuwa ni UDINI. Lakini wanaoukosoa wanaambiwa ni udini. Hivi tutaacha lini huo upumbavu.
Kwa nini tusiangalie hoja ya msingi. Huo mkataba kama ni mbovu Kwa nini usibadilishwe? Kama kweli nia ni yakweli ya kutetea maslahi ya nchi. Kwa nini huo mkataba usiboreshwe vifungu vyenye utata?
Kujitetea kwa kujificha kwenye kichaka cha udini hakutabadili Jambo lolote.
Hekima na busara zitumike, kama kweli lengo ni kulinda maslahi ya Taifa letu na maslahi ya Watu wetu na rasilimali zetu. Mtu akipinga Jambo kama anahoja ya msingi lazima asikilizwe.
Kwanza hizo dini zenyewe tumeletewa. Pili, tupo watanzania wengi ambao hatuamini Kati hizo dini zenu za kigeni. Ingawaje tunawatambua na kuheshimu wanaoziamini. Sasa msitake kuzifanya hizo dini zenu zinaumuhimu kuliko taifa letu.
Mnapojadiliana ishu za taifa msijifanye mnajificha kwenye udini. Oooh! Yule Mkristo ndio maana anakosoa. Lakini akisifia huwezi sikia Jambo Hilo. Angalieni kinachokosolewa, je kina uhalali wa kukosolewa? Kama jibu ni ndio,basi fanyieni maboresho.
Uwe Mkristo au muislam, uwe wakabila gani, uwe Mtibeli kama Mimi au mpagani. Kwetu haina maana yoyote Ile. Tunachotaka ni kulinda maslahi ya nchi yetu na sio genge Fulani la Watu. Ni lazima tuangalie kizazi chetu kilichopo na kinachokuja.
Dini yako, au Cheo chako au mamlaka yako haina maana yoyote kwetu ikiwa unataka kuliingiza taifa katika hasara na ubinafsi wa hovyo.
Acheni upumbavu! Mtu akitoa hoja isikilizwe hoja yake na sio ni wadini gani. Kama mkataba haufai, urekebishwe. Hiyo ndio hoja. Mambo ya sijui Amani, sijui mgawanyiko, hayo yote yataletwa na watu wabinafsi na wasiotaka kusikiliza wengine.
Mgawanyiko ni muhimu ikiwa tunatofautiana. Hiyo iwekwe wazi. Kama Watu hawataki wawe wamoja, kujaribu kuwaunganisha Watu wasiofanana ndio ukosefu wa Amani, mitafaruku, unyanyasaji na ukatili. Hatuwezi lazimisha umoja wa kinyonyaji, umoja wa wengine wanafaidi wengine wanasota, huo umoja haupogo labda kinafiki.
Nisikilizeni, umoja unaletwa Kwa kuangalia wengi wanasema nini, lakini pia Kwa kuzingatia maslahi ya taifa na kizazi kijacho.
Upendo, Haki, Ukweli na Akili hiyo ndio namna ya kuwaweka Watu pamoja. Utibeli.
Acha nipumzike sasa.
Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Kwani ilikuaje wakristo wakapewa mpunga kwenye taasisi zao ila taasisi kama hizo za kiislamu zikose? Na ikawaje maraisi wote wa akiislamu waliopita walishindwa kurekebisha hilo?Hebu tutafakari katika hii vuta ni kuvute:
👉Hawa jamaa na wenyewe ni majangili tu hebu tafakari tunachangiaga ujenzi wa hospitals, shule na vyuo vya kanisa ila gharama zao za ada zipo juu na sio rafiki kwa muumini wa hali ya chini kamwe huwezi tibiwa.
👉Na katika hili la bandari jamaa siwana ingizaga vitu nchini kupitia bandari na hawakatwagi kodi wala ushuru wowote na kuna baadhi viongozi wajanja wajanja wa kanisa wanatumia mwanya huu kupiga dili kibao kwa mgongo wa kanisa.
🙏
Ni Sheria ipi inazuia watu wa dini kukosoa wanasiasa wezi na mafisadi?Nakubali na ni kweli waumini ndio hadhira yao ila tatizo sheria haziwaruhusu kufanya siasa au kuweka mrengo huo ktk maeneo hayo na pia zinakataza katiba za vyama vya kisiasa kuwa na mrengo huo ni hivyo tu ndugu yangu .
Hayo yalifanyika awamu ya pili, rais akiwa Mwinyi, muislamu. Ukifuatilia utajua sababu.Kwani ilikuaje wakristo wakapewa mpunga kwenye taasisi zao ila taasisi kama hizo za kiislamu zikose? Na ikawaje maraisi wote wa akiislamu waliopita walishindwa kurekebisha hilo?
Sasa wavaa kobazi wanalalamika nn hapoHayo yalifanyika awamu ya pili, rais akiwa Mwinyi, muislamu. Ukifuatilia utajua sababu.
Je, kuna hospitali gani ya Kiislamu ipo sawa na BUGANDO au KCMC zenye hadhi ya hospitali ya rufaa ya kanda?
🌳Beli kwenye ubora wako
Naunga mkono hoja
Kwa hoja yako ni kwamba bandari imeuzwa kwa DP world, hivo serikali iliyikua ikitoa misamaha wa kodi katika taasisi za dini (uslamu na ukristo) sasa kwakua mamlaka hayo yatakua kwa dp World ni dhahiri hatujui ataamua nini kama misamaha itakuwepo ama la???Hebu tutafakari katika hii vuta ni kuvute:
👉Hawa jamaa na wenyewe ni majangili tu hebu tafakari tunachangiaga ujenzi wa hospitals, shule na vyuo vya kanisa ila gharama zao za ada zipo juu na sio rafiki kwa muumini wa hali ya chini kamwe huwezi tibiwa.
👉Na katika hili la bandari jamaa siwana ingizaga vitu nchini kupitia bandari na hawakatwagi kodi wala ushuru wowote na kuna baadhi viongozi wajanja wajanja wa kanisa wanatumia mwanya huu kupiga dili kibao kwa mgongo wa kanisa.
🙏