Kwa nini kuupinga Mkataba wa Bandari inaitwa "udini" lakini kuunga mkono sio udini?

Kwa nini kuupinga Mkataba wa Bandari inaitwa "udini" lakini kuunga mkono sio udini?

Jibu rahisi sana sio udini sababu unaunga mkono jambo la serikali, serikali ambayo Haina dini.

Kingine watu hawakatazwi kukosoa tatizo unakosoa kwa misingi gani ? Kwanini hufati utaratibu ? Kama kweli viongozi walipeleka mashauri yao kwa raisi, hao Wakatoliki (Vilaza) walitakiwa wasubiri na hivi ndio dini inataka. Kiherehere Chao Cha kusoma Waraka lengo lao ni nini ? Kuleta taharuki na wao kama nani kwenye nchi hii ?

Kingine kwanini walichanganya dini na siasa ? Yaani kwao wao wametumia dini kufanya siasa na harakati, hawana tofauti na Wanasiasa na Wanaharakati wengine.

Nafikiri unajadili kitu kikubwa ambacho bado huwezi kukifafanua
 
Umeuliza swali zuri sana

Majibu watetezi wanayo sema wanaona aibu kukupa majibu

Ova
 
Umeandika vizuri nami nasema hakuna na hakutakuwa na tatuzo la udini kwa taifa zaidi watu wachche tu kama kuku wanaopigana.
Tunafanya haya bila kujal duni zetu:
Tunaoana na kuzaa
Tunaishi nyumba moja.
Tunasoma shule moja
Tunasafiri kwenye chombo kimoja
Tunanunua na kuuza pamoja
Yaani miunganiko ni mingi kama mishipa na hivi anayeleta mtafuruku wa kidini anajiliwaza mwennyewe.
 
KWA NINI KUUPINGA MKATABA WA BANDARI INAITWA "UDINI" LAKINI KUUNGA MKONO SIO UDINI? MSIWE WAPUMBAVU.

Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli.

Wanasiasa moja ya mambo yanayowashushia heshima ni kigeugeu na unafiki wao. Wanasiasa wakisifiwa na viongozi wa dini hawasemi dini imeingizwa kwenye Siasa lakini wakikosolewe hapo utasikia Dini imeingizwa kwenye Siasa.

Wanasiasa wakitaka kuombewa na viongozi wa dini hiyo hawaiti dini imeingizwa kwenye Siasa. Wao wanataka tuu Sifa na utukufu Kutoka Kwa dini lakini wakikosolewa na kupondwa hapo wanaleta shida.

Tabia hiyo ya hovyo na kinafiki imekomaa Sana katika Nchi yetu. Na sasa tupo kwenye sakata la mkataba WA Bandari.

Viongozi wa dini waliosifia mkataba huu wao hawaambiwi kuwa ni UDINI. Lakini wanaoukosoa wanaambiwa ni udini. Hivi tutaacha lini huo upumbavu.

Kwa nini tusiangalie hoja ya msingi. Huo mkataba kama ni mbovu Kwa nini usibadilishwe? Kama kweli nia ni yakweli ya kutetea maslahi ya nchi. Kwa nini huo mkataba usiboreshwe vifungu vyenye utata?

Kujitetea kwa kujificha kwenye kichaka cha udini hakutabadili Jambo lolote.

Hekima na busara zitumike, kama kweli lengo ni kulinda maslahi ya Taifa letu na maslahi ya Watu wetu na rasilimali zetu. Mtu akipinga Jambo kama anahoja ya msingi lazima asikilizwe.

Kwanza hizo dini zenyewe tumeletewa. Pili, tupo watanzania wengi ambao hatuamini Kati hizo dini zenu za kigeni. Ingawaje tunawatambua na kuheshimu wanaoziamini. Sasa msitake kuzifanya hizo dini zenu zinaumuhimu kuliko taifa letu.

Mnapojadiliana ishu za taifa msijifanye mnajificha kwenye udini. Oooh! Yule Mkristo ndio maana anakosoa. Lakini akisifia huwezi sikia Jambo Hilo. Angalieni kinachokosolewa, je kina uhalali wa kukosolewa? Kama jibu ni ndio,basi fanyieni maboresho.

Uwe Mkristo au muislam, uwe wakabila gani, uwe Mtibeli kama Mimi au mpagani. Kwetu haina maana yoyote Ile. Tunachotaka ni kulinda maslahi ya nchi yetu na sio genge Fulani la Watu. Ni lazima tuangalie kizazi chetu kilichopo na kinachokuja.

Dini yako, au Cheo chako au mamlaka yako haina maana yoyote kwetu ikiwa unataka kuliingiza taifa katika hasara na ubinafsi wa hovyo.

Acheni upumbavu! Mtu akitoa hoja isikilizwe hoja yake na sio ni wadini gani. Kama mkataba haufai, urekebishwe. Hiyo ndio hoja. Mambo ya sijui Amani, sijui mgawanyiko, hayo yote yataletwa na watu wabinafsi na wasiotaka kusikiliza wengine.

Mgawanyiko ni muhimu ikiwa tunatofautiana. Hiyo iwekwe wazi. Kama Watu hawataki wawe wamoja, kujaribu kuwaunganisha Watu wasiofanana ndio ukosefu wa Amani, mitafaruku, unyanyasaji na ukatili. Hatuwezi lazimisha umoja wa kinyonyaji, umoja wa wengine wanafaidi wengine wanasota, huo umoja haupogo labda kinafiki.

Nisikilizeni, umoja unaletwa Kwa kuangalia wengi wanasema nini, lakini pia Kwa kuzingatia maslahi ya taifa na kizazi kijacho.

Upendo, Haki, Ukweli na Akili hiyo ndio namna ya kuwaweka Watu pamoja. Utibeli.

Acha nipumzike sasa.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Baadhi ya watu hawana huo uwezo. Hivi unajua kuna watu hawawezi kwenda zaidi level ya "tabula rasa"?
 
Kukemea ufisadi wa CCM ni udini!!!!!!!! Ukisifia ufisadi wa CCM siyo udini!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Amkeni watanganyika!!! Amkeniiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii,wezi haooooooooooooooooooooooooooooo, shetani amevaaaaaa bukta ameingia msambweni!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Hehehe
 
Kwa Rais Mstaafu @jmkikwete na mnaosema Baraza La Maaskofu wana chuki za kidini. Naombeni mnieleweshe:

[emoji3578]Baraza hili la maakofu (TEC) mwaka 2018 lilipotoa waraka wa Pasaka wa kupinga mauaji na utekaji wa watu uliofanywa na Serikali ya Jiwe walikua na vhuki ya Kidini na 'Mkatoliki' Mwenzao Magufuli?

[emoji3578]Mmesahau Askofu Severine Niwemuguzi alinyang’anywa Passport na kuambiwa sio raia kwa sababu ya kupinga uonevu wa
Jiwe, alikua na chuki na Mkatoliki mwenzake?

[emoji3578]Wakati wa COVID Baraza La Maaskofu lilipotoa waraka wa kumpinga Magufuli kuwa COVID haipo na kutaka serikali iruhusu watu wapewe chanjo, walikua na chuki za kidini na Magufuli Mkristo mwenzao?

[emoji3578]Walivyo kemea madudu ya uchaguzi wa 2020 walikuwa na chuki za kidini na Magufuli Mkristo mwenzao?

[emoji3578]Kama kila wakati kukiwa na mjadala wa kitaifa wanatoa Waraka, na hamkuwai kuona shida, kwanini mnataka sasa wasitoe?

[emoji3578]Kwahiyo wakitoa kwa Mkristo mwenzao sio chuki? Wakitoa sasa kwa Muislam ndio wana chuki?
Point kubwa sn hii mkuu. Naomba imfikie yeyote anayeweza kuijengea hoja vzr eg Tundu Lissu awaulize kina JK. Wanashindwa kujibu hoja wanajificha nyuma ya udini
 
Ndio haya mambo yaishe sasa viongozi wa dini wabakie kwenye field zao ni hatari wao kuingia kwenye siasa na nyakati zinaonyesha hivyo kwa sasa tunahitaji serikali imara leo kesho na keshokutwa sisi na viongozi wa dini na waumini na waamini yetu ni kwenye sanduku la kura na kutoa maoni yetu tu ila sio kuiendesha serikali kwa rimoti na kupush agenda zenye maslahi na taasisi zetu.
Wametoa msimamo wao kuhusu uwekezaji wa bandari, wameishikia vp remote serikali hapo? Serikali ndio inaogopa kivuli chake ynyw inatafuta wa kufa nae
 
KWA NINI KUUPINGA MKATABA WA BANDARI INAITWA "UDINI" LAKINI KUUNGA MKONO SIO UDINI? MSIWE WAPUMBAVU.

Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli.

Wanasiasa moja ya mambo yanayowashushia heshima ni kigeugeu na unafiki wao. Wanasiasa wakisifiwa na viongozi wa dini hawasemi dini imeingizwa kwenye Siasa lakini wakikosolewe hapo utasikia Dini imeingizwa kwenye Siasa.

Wanasiasa wakitaka kuombewa na viongozi wa dini hiyo hawaiti dini imeingizwa kwenye Siasa. Wao wanataka tuu Sifa na utukufu Kutoka Kwa dini lakini wakikosolewa na kupondwa hapo wanaleta shida.

Tabia hiyo ya hovyo na kinafiki imekomaa Sana katika Nchi yetu. Na sasa tupo kwenye sakata la mkataba WA Bandari.

Viongozi wa dini waliosifia mkataba huu wao hawaambiwi kuwa ni UDINI. Lakini wanaoukosoa wanaambiwa ni udini. Hivi tutaacha lini huo upumbavu.

Kwa nini tusiangalie hoja ya msingi. Huo mkataba kama ni mbovu Kwa nini usibadilishwe? Kama kweli nia ni yakweli ya kutetea maslahi ya nchi. Kwa nini huo mkataba usiboreshwe vifungu vyenye utata?

Kujitetea kwa kujificha kwenye kichaka cha udini hakutabadili Jambo lolote.

Hekima na busara zitumike, kama kweli lengo ni kulinda maslahi ya Taifa letu na maslahi ya Watu wetu na rasilimali zetu. Mtu akipinga Jambo kama anahoja ya msingi lazima asikilizwe.

Kwanza hizo dini zenyewe tumeletewa. Pili, tupo watanzania wengi ambao hatuamini Kati hizo dini zenu za kigeni. Ingawaje tunawatambua na kuheshimu wanaoziamini. Sasa msitake kuzifanya hizo dini zenu zinaumuhimu kuliko taifa letu.

Mnapojadiliana ishu za taifa msijifanye mnajificha kwenye udini. Oooh! Yule Mkristo ndio maana anakosoa. Lakini akisifia huwezi sikia Jambo Hilo. Angalieni kinachokosolewa, je kina uhalali wa kukosolewa? Kama jibu ni ndio,basi fanyieni maboresho.

Uwe Mkristo au muislam, uwe wakabila gani, uwe Mtibeli kama Mimi au mpagani. Kwetu haina maana yoyote Ile. Tunachotaka ni kulinda maslahi ya nchi yetu na sio genge Fulani la Watu. Ni lazima tuangalie kizazi chetu kilichopo na kinachokuja.

Dini yako, au Cheo chako au mamlaka yako haina maana yoyote kwetu ikiwa unataka kuliingiza taifa katika hasara na ubinafsi wa hovyo.

Acheni upumbavu! Mtu akitoa hoja isikilizwe hoja yake na sio ni wadini gani. Kama mkataba haufai, urekebishwe. Hiyo ndio hoja. Mambo ya sijui Amani, sijui mgawanyiko, hayo yote yataletwa na watu wabinafsi na wasiotaka kusikiliza wengine.

Mgawanyiko ni muhimu ikiwa tunatofautiana. Hiyo iwekwe wazi. Kama Watu hawataki wawe wamoja, kujaribu kuwaunganisha Watu wasiofanana ndio ukosefu wa Amani, mitafaruku, unyanyasaji na ukatili. Hatuwezi lazimisha umoja wa kinyonyaji, umoja wa wengine wanafaidi wengine wanasota, huo umoja haupogo labda kinafiki.

Nisikilizeni, umoja unaletwa Kwa kuangalia wengi wanasema nini, lakini pia Kwa kuzingatia maslahi ya taifa na kizazi kijacho.

Upendo, Haki, Ukweli na Akili hiyo ndio namna ya kuwaweka Watu pamoja. Utibeli.

Acha nipumzike sasa.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi

Kwa sasa Dar es salaam[/QUOTE



Kwasababu TEC wametoa waraka na kuusoma madhabahuni kutushawishi sisi waumini tupinge jitihada za serikali katika uwekezaji unaofanyika bandarini.
TEC imeingiza Udini kwenye siasa ya Uchumi wa Taifa letu, hili ni kosa la maksudi wamefanya TEC.
 
Kwasababu TEC wametoa waraka na kuusoma madhabahuni kutushawishi sisi waumini tupinge jitihada za serikali katika uwekezaji unaofanyika bandarini.
TEC imeingiza Udini kwenye siasa ya Uchumi wa Taifa letu, hili ni kosa la maksudi wamefanya TEC.
 
Kwasababu TEC wametoa waraka na kuusoma madhabahuni kutushawishi sisi waumini tupinge jitihada za serikali katika uwekezaji unaofanyika bandarini.
TEC imeingiza Udini kwenye siasa ya Uchumi wa Taifa letu, hili ni kosa la maksudi wamefanya TEC.
One of the penalties for refusing to participate in politics is that you end up being governed by your inferiors.
 
Hiyo ndiyo falsafa ya CCM kutumia jukwaa la kueneza propaganda kupitia imani zetu ndogo. Kama tusingekuwa na dhambi tungeweza kwa ujadiri kukemea hizi tabia. Lakini Kama alivyotoa mfano Yesu "ambaye hajawahi kutenda dhambi awe Ni wa Kwanza kutupa jiwe" hili linatugusa na zaidi linawagusa baadhi ya maaskofu wengi wale wanaotulangua kwa maji na udongo eti kwa jina upako.
 
Wametoa msimamo wao kuhusu uwekezaji wa bandari, wameishikia vp remote serikali hapo? Serikali ndio inaogopa kivuli chake ynyw inatafuta wa kufa nae
Shida sio kutoa msimamo shida ni kushawishi waumini kupitia nafasi yao kama viongozi wadini wapinge jitihada za serikali katika uwekezaji unaofanyika bandarini hapo ndipo tatizo lilipo.
 
Wajinga hao hawamsumbui mtu.

Wanataka wakiiba rasilimali za taifa wasikemewe, ili waendelee kuiba tu, wakiambiwa ukweli wanaanza kumtazama anayewakemea kwa jicho la huyu ni nani anatokea wapi..

Huu utapeli wao wa kutochanganya dini na siasa umepitwa na wakati, pia ni kinyume cha Katiba kuhusu uhuru wa kutoa maoni, hivyo wote wanaopenda kutumia huo msemo wa kutochanganya dini na siasa waache udikteta wao.
Jamaa inaonekana Roho yako imeunganishwa moj kwa moja na Mijadala ya Dp World maan kila Post ya Dp World ikipostiwa ni lazima utie timu kutoa Moja na Mbili,

Safi sana Kamanda Tupo pamoja.
 
Back
Top Bottom