chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 16,859
- 28,112
- Thread starter
- #21
Kwa hiyo Makonda ni ng'ombe?shida kubwa ni kwamba wanaomtuhumu ni watu wazima ambao bado wanaoishi majumbani kwa wazazi wao, na ndio maana hawataki kujitokeza hadharani na vielelezo kumshitaki mahakamani....
wahenga walisema...
nanukuu....
"kelele za chura hazimzuii ng"ombe kunywa maji"