Basi sawa nakupenda mankaMimi sio mlokole mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi sawa nakupenda mankaMimi sio mlokole mkuu
achana na mimiBasi sawa nakupenda manka
Dah I feel sorryachana na mimi
hao wazungu wanaofanya maandamano kabisa ya kusupport hayo mambo leo wamegeuka waarabu?Mambo ya kiarabu hayo! Tutawaudhi. Hata hivyo nakwenda kusoma ujumbe wa Mange Kimambi!
Hivi hamwoni kama huku kuutaja taja ushoga ni kuuingiza kwenye akili za watu? Kwanini tusisitize Rais atamke nyongeza ya mishahara na siyo haya mambo ya ushoga?Kila wakati naangalia wabunge wanajadili nini. Kama kawaida wanamwaga sifa kwa rais. Hili la USHOGA wanatoa sifa za uongo. Rais hajakemea ushoga hata siku moja. Yawezekana ana lake kichwani lakini hajawahi.
Neno analotumia ni MAADILI ambalo halimaanishi USHOGA. Ninachotaka kufahamu, ni kwa nini rais wa nchi hawezi kusema wazi kwamba wa-TZ hatutaki ushoga? Kuna nini nyuma ya pazia? Hii inashilia nini juu ya tabia na imani ya rais?
Je JPM aliwahi kukemea ushoga, na hao wengine je?Kila wakati naangalia wabunge wanajadili nini. Kama kawaida wanamwaga sifa kwa rais. Hili la USHOGA wanatoa sifa za uongo. Rais hajakemea ushoga hata siku moja. Yawezekana ana lake kichwani lakini hajawahi.
Neno analotumia ni MAADILI ambalo halimaanishi USHOGA. Ninachotaka kufahamu, ni kwa nini rais wa nchi hawezi kusema wazi kwamba wa-TZ hatutaki ushoga? Kuna nini nyuma ya pazia? Hii inashilia nini juu ya tabia na imani ya rais?
JPM alisema wazi kabisa na kutoa mfano kwamba nguruwe hakosei shemu ya kuweka!!!Je JPM aliwahi kukemea ushoga, na hao wengine je?
Na je hao mashoga kwani wao hawalipi kodi za nchi hii, wao siyo raia wa nchi hii?
Kila mtu ameamua aendelee na maisha yake, yeye kama Rais ni wa wote na anachukua kodi za wote hapa nchini.
Ukisikia kukwama ndohuko nchi imekwamaHata wasomi!
Pale UD wanapewa na chama cha mashoga kuendesha kitengo cha mambo ya tabia nchi. Waulize pale geography