Kwa nini Rais hajakemea Ushoga badala yake anasema maadili?

Kwa nini Rais hajakemea Ushoga badala yake anasema maadili?

Kila wakati naangalia wabunge wanajadili nini. Kama kawaida wanamwaga sifa kwa rais. Hili la USHOGA wanatoa sifa za uongo. Rais hajakemea ushoga hata siku moja. Yawezekana ana lake kichwani lakini hajawahi.

Neno analotumia ni MAADILI ambalo halimaanishi USHOGA. Ninachotaka kufahamu, ni kwa nini rais wa nchi hawezi kusema wazi kwamba wa-TZ hatutaki ushoga? Kuna nini nyuma ya pazia? Hii inashilia nini juu ya tabia na imani ya rais?
Hivi hamwoni kama huku kuutaja taja ushoga ni kuuingiza kwenye akili za watu? Kwanini tusisitize Rais atamke nyongeza ya mishahara na siyo haya mambo ya ushoga?

Naona kama vile tunalazimisha sana ushoga kuteka mijadala ya jamii yetu kana kwamba shida yetu ni ushoga tu, au ndiyo mkakati wa hao waeneza ushoga?

Ova
 
Kila wakati naangalia wabunge wanajadili nini. Kama kawaida wanamwaga sifa kwa rais. Hili la USHOGA wanatoa sifa za uongo. Rais hajakemea ushoga hata siku moja. Yawezekana ana lake kichwani lakini hajawahi.

Neno analotumia ni MAADILI ambalo halimaanishi USHOGA. Ninachotaka kufahamu, ni kwa nini rais wa nchi hawezi kusema wazi kwamba wa-TZ hatutaki ushoga? Kuna nini nyuma ya pazia? Hii inashilia nini juu ya tabia na imani ya rais?
Je JPM aliwahi kukemea ushoga, na hao wengine je?

Na je hao mashoga kwani wao hawalipi kodi za nchi hii, wao siyo raia wa nchi hii?

Kila mtu ameamua aendelee na maisha yake, yeye kama Rais ni wa wote na anachukua kodi za wote hapa nchini.
 
Je JPM aliwahi kukemea ushoga, na hao wengine je?

Na je hao mashoga kwani wao hawalipi kodi za nchi hii, wao siyo raia wa nchi hii?

Kila mtu ameamua aendelee na maisha yake, yeye kama Rais ni wa wote na anachukua kodi za wote hapa nchini.
JPM alisema wazi kabisa na kutoa mfano kwamba nguruwe hakosei shemu ya kuweka!!!
 
Back
Top Bottom