Kwa nini Rais hajakemea Ushoga badala yake anasema maadili?

Kwa nini Rais hajakemea Ushoga badala yake anasema maadili?

Nakwambia hivi, kama huipendi Amerika toka hata hapa, huu mtandao wa JF unaoutumia servers zake ziko Amerika.

Internet yenyewe imeanzishwa Amerika.

Acha unafiki wa "Baniani mbaya, kiatu chake dawa".
Boss! Nakufahamu miaka mingi hapa JF. Ulikuwa mtu wa hoja. Leo hii ni wewe unayeishia kutetea Ushoga wa Us na mifano ya kupendwa kwenye komedi za US? Ni wewe au mjukuu wako kishajua kushika keyboard.

Kama ni wewe basi nikubali tu kwamba senility imekufuata mapema.
 
Boss! Nakufahamu miaka mingi hapa JF. Ulikuwa mtu wa hoja. Leo hii ni wewe unayeishia kutetea Ushoga wa Us na mifano ya kupendwa kwenye komedi za US? Ni wewe au mjukuu wako kishajua kushika keyboard.

Kama ni wewe basi nikubali tu kwamba senility imekufuata mapema.

Kwanza kabisa mimi sihitaji validation yako, sihitaji popularity. Ningekuwa nahitaji validation ya mtu nisingeandika hoja nyingi ambazo watu hawazipendi.

Naomba tujadili hoja, usinijadili mimi kama mtu binafsi. Ukinijadili mimi kama mtu binafsi hiyo ni logical fallacy, inaitwa ad hominem attack.

Ni ishara ya kushindwa kujadili hoja.

Ushoga ni sehemu ya haki za binadamu za watu kujiamulia maisha yao wenyewe. Serikali yako ya Tanzania yenyewe imekubali kuwa pole Makonda alivyoshambulia haki za mashoga, tena wakati wa utawala wa Magufuli.

Makonda alikurupuka kuwaandama mashoga, mtu anayeijua dunia, Waziri wa Mambo ya Nje Dr. Augustine Mahiga akamkana, akasema hayo yalikuwa maneno yake binafsi, si msimamo wa serikali.

Magufuli mwamba wa kupambana na mabeberu akakubali kwamba ile ilikuwa kauli binafsi ya Makonda.

Hapo Tanzania watu wengi hamjui maana ya uhuru wa mtu binafsi, kitu ambacho ni uhuru wa kikatiba.

Halafu mnadai katiba mpya.

Yani uhuru wa katiba hii mliyo nayo mnauvunja, halafu mnataka katiba mpya yenye uhuru zaidi.

Wengi hamuelewi uhuru ni nini. Wengi hamuelewi haki za kikatiba ni nini.

Hamuelewi haki za kuruhusu ushoga ndiyo haki zilezile za kuruhusu vyama vya upinzani. Minority rights.

Hamuelewi kuwa jinsi wewe mtu usiye shoga ulivyo na haki ya kutopangiwa kuwa shoga ndivyo shoga ana haki ya kutopangiwa kutokuwa shoga.

Yani ni hivi, ukimuandama shoga kwa ushoga unaruhusu siku mashoga wakiwa wengi wakulazimishe wewe usiyependa kuwa shoga uwe shoga.

Utafurahia kuishi katika dunia ya mashoga wanaokulazimisha uwe shoga wakati wewe hutaki kuwa shoga?
 
Kwanza kabisa mimi sihitaji validation yako, sihitaji popularity. Ningekuwa nahitaji validation ya mtu nisingeandika hoja nyingi ambazo watu hawazipendi.

Naomba tujadili hoja, usinijadili mimi kama mtu binafsi. Ukinijadili mimi kama mtu binafsi hiyo ni logical fallacy, inaitwa ad hominem attack.

Ni ishara ya kushindwa kujadili hoja.

Ushoga ni sehemu ya haki za binadamu za watu kujiamulia maisha yao wenyewe. Serikali yako ya Tanzania yenyewe imekubali kuwa pole Makonda alivyoshambulia haki za mashoga, tena wakati wa utawala wa Magufuli.

Makonda alikurupuka kuwaandama mashoga, mtu anayeijua dunia, Waziri wa Mambo ya Nje Dr. Augustine Mahiga akamkana, akasema hayo yalikuwa maneno yake binafsi, si msimamo wa serikali.

Magufuli mwamba wa kupambana na mabeberu akakubali kwamba ile ilikuwa kauli binafsi ya Makonda.

Hapo Tanzania watu wengi hamjui maana ya uhuru wa mtu binafsi, kitu ambacho ni uhuru wa kikatiba.

Halafu mnadai katiba mpya.

Yani uhuru wa katiba hii mliyo nayo mnauvunja, halafu mnataka katiba mpya yenye uhuru zaidi.

Wengi hamuelewi uhuru ni nini. Wengi hamuelewi haki za kikatiba ni nini.

Hamuelewi haki za kuruhusu ushoga ndiyo haki zilezile za kuruhusu vyama vya upinzani. Minority rights.

Hamuelewi kuwa jinsi wewe mtu usiye shoga ulivyo na haki ya kutopangiwa kuwa shoga ndivyo shoga ana haki ya kutopangiwa kutokuwa shoga.

Yani ni hivi, ukimuandama shoga kwa ushoga unaruhusu siku mashoga wakiwa wengi wakulazimishe wewe usiyependa kuwa shoga uwe shoga.

Utafurahia kuishi katika dunia ya mashoga wanaokulazimisha uwe shoga wakati wewe hutaki kuwa shoga?
Kwenye familia yenu yupo shoga?
 
Kila wakati naangalia wabunge wanajadili nini. Kama kawaida wanamwaga sifa kwa rais. Hili la USHOGA wanatoa sifa za uongo. Rais hajakemea ushoga hata siku moja. Yawezekana ana lake kichwani lakini hajawahi.

Neno analotumia ni MAADILI ambalo halimaanishi USHOGA. Ninachotaka kufahamu, ni kwa nini rais wa nchi hawezi kusema wazi kwamba wa-TZ hatutaki ushoga? Kuna nini nyuma ya pazia? Hii inashilia nini juu ya tabia na imani ya rais?
Kwani akikemea ndiyo unayeyuka? Heri kufundisha maadili kuliko kukemea ushoga. Ulitaka kumrekebisha mtu mwonyeshe mambo mbadala ya yale anayoifanya (mfunze maadili). Kukemea tu hakusaidii kitu. Lazima mtu apate pa kushika/kuegemea na hapo ndipo anapoweza kubadilika.
 
Kwanza kabisa mimi sihitaji validation yako, sihitaji popularity. Ningekuwa nahitaji validation ya mtu nisingeandika hoja nyingi ambazo watu hawazipendi.

Naomba tujadili hoja, usinijadili mimi kama mtu binafsi. Ukinijadili mimi kama mtu binafsi hiyo ni logical fallacy, inaitwa ad hominem attack.

Ni ishara ya kushindwa kujadili hoja.

Ushoga ni sehemu ya haki za binadamu za watu kujiamulia maisha yao wenyewe. Serikali yako ya Tanzania yenyewe imekubali kuwa pole Makonda alivyoshambulia haki za mashoga, tena wakati wa utawala wa Magufuli.

Makonda alikurupuka kuwaandama mashoga, mtu anayeijua dunia, Waziri wa Mambo ya Nje Dr. Augustine Mahiga akamkana, akasema hayo yalikuwa maneno yake binafsi, si msimamo wa serikali.

Magufuli mwamba wa kupambana na mabeberu akakubali kwamba ile ilikuwa kauli binafsi ya Makonda.

Hapo Tanzania watu wengi hamjui maana ya uhuru wa mtu binafsi, kitu ambacho ni uhuru wa kikatiba.

Halafu mnadai katiba mpya.

Yani uhuru wa katiba hii mliyo nayo mnauvunja, halafu mnataka katiba mpya yenye uhuru zaidi.

Wengi hamuelewi uhuru ni nini. Wengi hamuelewi haki za kikatiba ni nini.

Hamuelewi haki za kuruhusu ushoga ndiyo haki zilezile za kuruhusu vyama vya upinzani. Minority rights.

Hamuelewi kuwa jinsi wewe mtu usiye shoga ulivyo na haki ya kutopangiwa kuwa shoga ndivyo shoga ana haki ya kutopangiwa kutokuwa shoga.

Yani ni hivi, ukimuandama shoga kwa ushoga unaruhusu siku mashoga wakiwa wengi wakulazimishe wewe usiyependa kuwa shoga uwe shoga.

Utafurahia kuishi katika dunia ya mashoga wanaokulazimisha uwe shoga wakati wewe hutaki kuwa shoga?
Wewe tayari ni bonge ya shoga! Eti ni sehemu ya haki za binadamu nani kasema? Wapi ilishatangazwa kimataifa kwamba ni haki za Binadamu. Hiyo ndo ungesema ni fallacy! Ukishasukumwa na maisha kumbe baadaye unakubali ushonga?

Boss! Dunia hii hakuna mijadala ya hoja bila wahusika. Hiyo huna sababu ya kumfundisha mtu. Ndo sababu mabaya yote hujadiliwa kwa jina la shetani, na mema yote kwa jina la Mungu. Ukileta hoja mfu kama hizo za ushonga tunajua ni wewe Kiranga na ushoga wako.
 
Wewe tayari ni bonge ya shoga! Eti ni sehemu ya haki za binadamu nani kasema? Wapi ilishatangazwa kimataifa kwamba ni haki za Binadamu. Hiyo ndo ungesema ni fallacy! Ukishasukumwa na maisha kumbe baadaye unakubali ushonga?

Boss! Dunia hii hakuna mijadala ya hoja bila wahusika. Hiyo huna sababu ya kumfundisha mtu. Ndo sababu mabaya yote hujadiliwa kwa jina la shetani, na mema yote kwa jina la Mungu. Ukileta hoja mfu kama hizo za ushonga tunajua ni wewe Kiranga na ushoga wako.

Ukianza kunishambulia mimi binafsi badala ya kujadili hoja unajionesha huna hoja, unafanya ad hominem fallacy.

Ushoga ni sehemu ya self determination ambayo ni haki ya kikatiba na binadamu.

Mtu akiamua kuwa shoga hiyo ni haki yake, kaaamua mwenyewe, jambo lake, maisha yake, wewe kinachokuuma ni kipi hapo?

Serikali yako inaelewa hilo ndiyo maana hujamsikia Samia akikemea ushoga. Ndiyo maana Makonda alivyoandama mashoga, Waziri wa Mambo ya Nje Dr. Mahiga alimruka na kusema huo ni msimamo wake Makonda binafsi, si msimamo wa serikali.

Majibu yako haya ni ya mtu ambaye hijui dunia.

Mtu ambaye hajui haki hiyo hiyo inayowapa uhuru mashoga kuwa mashoga ndiyo inayompa uhuru yeye kukataa ushoga kwenye maisha yake.

Kimsingi ukiwaandama mashoga, unajiondolea haki ya kutokuwa shoga. Siku tukiwa na mashoga wengi unawapa nguvu wakulazimishe na wewe uwe shoga.

Huelewi minority rights ni nini.

Huna uwezo wa kuelewa abstract thinking, huna uwezo w akuelewa logical thinking.
 
Kila wakati naangalia wabunge wanajadili nini. Kama kawaida wanamwaga sifa kwa rais. Hili la USHOGA wanatoa sifa za uongo. Rais hajakemea ushoga hata siku moja. Yawezekana ana lake kichwani lakini hajawahi.

Neno analotumia ni MAADILI ambalo halimaanishi USHOGA. Ninachotaka kufahamu, ni kwa nini rais wa nchi hawezi kusema wazi kwamba wa-TZ hatutaki ushoga? Kuna nini nyuma ya pazia? Hii inashilia nini juu ya tabia na imani ya rais?
SHILOLE NA BATULI UFAGIO NA BRASH
 
Kila wakati naangalia wabunge wanajadili nini. Kama kawaida wanamwaga sifa kwa rais. Hili la USHOGA wanatoa sifa za uongo. Rais hajakemea ushoga hata siku moja. Yawezekana ana lake kichwani lakini hajawahi.

Neno analotumia ni MAADILI ambalo halimaanishi USHOGA. Ninachotaka kufahamu, ni kwa nini rais wa nchi hawezi kusema wazi kwamba wa-TZ hatutaki ushoga? Kuna nini nyuma ya pazia? Hii inashilia nini juu ya tabia na imani ya rais?
Kwani wewe hujua ushoga upo Tanzania na wala haujaletwa na wageni?hujui kuwa Tanzania kuna mashoga kwa maelfu kila sehemu?
 
Ngoja wenyewe waliokwisha saini mikataba ya ushoga kama sehemu ya kusaidiwa kuingia madarakani wapate tuone utakavyoinua pua, ukiambiwa hizi ni siku za mwisho mwanangu uwage unaelewa. hii inaruhusiwa kwa maana ilitabiliwa kuwepo zamani hizi mwenye sikio na asikie.
 
Kila wakati naangalia wabunge wanajadili nini. Kama kawaida wanamwaga sifa kwa rais. Hili la USHOGA wanatoa sifa za uongo. Rais hajakemea ushoga hata siku moja. Yawezekana ana lake kichwani lakini hajawahi.

Neno analotumia ni MAADILI ambalo halimaanishi USHOGA. Ninachotaka kufahamu, ni kwa nini rais wa nchi hawezi kusema wazi kwamba wa-TZ hatutaki ushoga? Kuna nini nyuma ya pazia? Hii inashilia nini juu ya tabia na imani ya rais?
Thubutu angeenda Korea ya "MCHAMBA WIMA"🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Kila wakati naangalia wabunge wanajadili nini. Kama kawaida wanamwaga sifa kwa rais. Hili la USHOGA wanatoa sifa za uongo. Rais hajakemea ushoga hata siku moja. Yawezekana ana lake kichwani lakini hajawahi.

Neno analotumia ni MAADILI ambalo halimaanishi USHOGA. Ninachotaka kufahamu, ni kwa nini rais wa nchi hawezi kusema wazi kwamba wa-TZ hatutaki ushoga? Kuna nini nyuma ya pazia? Hii inashilia nini juu ya tabia na imani ya rais?
Kiongozi wa wakristo duniani kasema wakristo sasa ruksa ndoa za jinsia moja zifungwe makanisani, sasa Rais unataka akemee halafu wakristo waanze kumtukana rais kwamba anawaingilia mambo yao?! Rais kashawajua hao mabwana wana hila sana,kwaiyo kaacha waphillane kwa raha zao
 
Kiuhalisia Rais hataweza kulinda watu wote wasiwe na tabia hiyo .cha msingi watu kujilinda wenyewe dhidi ya hio tabia potofu
 
Kila wakati naangalia wabunge wanajadili nini. Kama kawaida wanamwaga sifa kwa rais. Hili la USHOGA wanatoa sifa za uongo. Rais hajakemea ushoga hata siku moja. Yawezekana ana lake kichwani lakini hajawahi.

Neno analotumia ni MAADILI ambalo halimaanishi USHOGA. Ninachotaka kufahamu, ni kwa nini rais wa nchi hawezi kusema wazi kwamba wa-TZ hatutaki ushoga? Kuna nini nyuma ya pazia? Hii inashilia nini juu ya tabia na imani ya rais?
Maadili ya kidini Haswa japo wachache ni wapagani
 
Back
Top Bottom