Kwa nini Rais hajakemea Ushoga badala yake anasema maadili?

Kwa nini Rais hajakemea Ushoga badala yake anasema maadili?

Kila wakati naangalia wabunge wanajadili nini. Kama kawaida wanamwaga sifa kwa rais. Hili la USHOGA wanatoa sifa za uongo. Rais hajakemea ushoga hata siku moja. Yawezekana ana lake kichwani lakini hajawahi.

Neno analotumia ni MAADILI ambalo halimaanishi USHOGA. Ninachotaka kufahamu, ni kwa nini rais wa nchi hawezi kusema wazi kwamba wa-TZ hatutaki ushoga? Kuna nini nyuma ya pazia? Hii inashilia nini juu ya tabia na imani ya rais?
Si sheria zipo tayari, na mtu akikutwa na hatia anafungwa miaka 30 sasa akemee kitu ambacho kinahitaji utekelezaji tu?

Then unaposema hapingi kwani ni lini Tanzania tumeambiwa tuwe mashoga ili yeye atakiwe kusema Yes or No?

Huyo JPM mwenyewe kipindi Makonda anakamata mashoga alimkana kabisa na wala hakuwahi unga mkono operesheni ile!! Maana sheria zipo wala sio suala la kusimama majukwaani ni wewe mtafute tu mkamate basi kelele za nini?
 
Hilo jibu limejibu swali la kwanza nlilokuuliza, ina maana kama hupendi ushoga mwanao kama ameamua kuwa huwezi mkataza, ahsante.


Mi nimezungumzia rais, iwe mfano kwa vijana. Na haitotokea US ikawa na rais shoga.

Sawa hupendi kuvuta sigara lakini bora wavuta sigara kwenye pakiti ya sigara kuna ONYO, lakini ushoga unapigiwa promo, mifano yako ni irrelevant.

Wavunjaji wa haki za binadamu ni hao EU na US. Huo ndio unafiki kwenda kuua vitoto vya kiarabu kikatili kisa tamaa za mafuta halafu ukija huku una preach haki za binadamu.

Kinachotokea duniani si kigeni, dunia ni ile ile tu, zamani wazungu n.k walikuja Africa kukamata watu kwa nguvu na kuua kisha kuwatumia shambani kama vibarua, leo hii wazungu wanavamia gulf states kwa nguvu au kuwalazimisha kuendana na sera zao. Huu ndio unafiki wenyewe.
Ushoga ni suala la faragha ya mtu binafsi, unajuaje US haijawa na rais shoga tayari?

US ina waziri Buttigieg shoga wa wazi, alikuwa meya wa mji mkubwa tu na mgombea urais.

Sigara ina onyo lakini kuna matangazo ya kununua sigara, watu wanaamua. Wakiamua wenyewe kuvuta sigara licha ya onyo wewe tatizo lako nini?

EU na US kuua watu kwa sababu ya mafuta ni topic tofauti ambayo haihusiani na mjadala huu, fungua uzi tuichambue kwa kina.

Watoto wenu wenyewe wanakuwa mashoga kwa raha zao, mmeshindwa kuwalea muwape maadili mnayoyataka wenyewe, badala ya kujilaumu mmeshindwa kulea watoto vizuri, bado mnamlaumu mzungu?
 
Ulifuatilia Makonda alivyopiga vita ushoga halafu Waziri wa Mambo ya Nje akakanusha zile kauli za Makonda na kusema ni zake binafsi si msimamo wa serikali?

Suala la ushoga ni suala la haki za binadamu na rais akikemea ushoga anajiweka katika hali mbaya sana, sana sana, hususan kimataifa.

Rais wa Burundi kakemea ushoga, huko nje amekuwa a laughing stock mpaka wa late night TV comedians. Huko Tanzania watu hawajali haki za binadamu.

Hapo Tanzania watu hamuijui dunia mnaishi kama mko kijij8ni mmefungiwa, wengi hata Kiingereza hamjui hivyo hamuwezi kufuatilia international media.
Ko kujiona unajua kingerez ndo unajiona kwamba wew ni most brain thinker kwamba wew ndo una iQ kubwa wew ni wamaana na kujiona ni bora kuzid hao watanzania ambao lugha mama ni kiswahili acha matus na mambo ya kudhalilisha watanzania kwamba hawajui iyo english ambayo unajiona ndo kama dunia yako upuuzi tu
 
Ko kujiona unajua kingerez ndo unajiona kwamba wew ni most brain thinker kwamba wew ndo una iQ kubwa wew ni wamaana na kujiona ni bora kuzid hao watanzania ambao lugha mama ni kiswahili acha matus na mambo ya kudhalilisha watanzania kwamba hawajui iyo english ambayo unajiona ndo kama dunia yako upuuzi tu
Hakuna niliposema mimi bora, ila, ukikosa kujua Kiingereza unakosa kujua elimu kubwa sana ya dunia ambayo ipo katika Kiingereza na haijawekwa katika Kiswahili.

Hili halipingiki.
 
Ushoga ni suala la faragha ya mtu binafsi, unajuaje US haijawa na rais shoga tayari?

US ina waziri Buttigieg shoga wa wazi, alikuwa meya wa mji mkubwa tu na mgombea urais.

Sigara ina onyo lakini kuna matangazo ya kununua sigara, watu wanaamua. Wakiamua wenyewe kuvuta sigara licha ya onyo wewe tatizo lako nini?

EU na US kuua watu kwa sababu ya mafuta ni topic tofauti ambayo haihusiani na mjadala huu, fungua uzi tuichambue kwa kina.

Watoto wenu wenyewe wanakuwa mashoga kwa raha zao, mmeshindwa kuwalea muwape maadili mnayoyataka wenyewe, badala ya kujilaumu mmeshindwa kulea watoto vizuri, bado mnamlaumu mzungu?
Kuzungumzia issue ya EU na US ni pale wakiona rais kutoka Africa anaongea hadharani kukataa ushoga huwa wanachukia na kuweka vikwazo kwa kigezo cha haki za binadamu, baadae wanatoka Libya n.k kuua wananchi na kuharibu mali za watu pia kuleta machafuko, sasa hizo ndio haki za binadamu au unafiki?

Kwamba rais kutoka Africa akizungumza kukataza ushoga basi atakuwa adui tayari, lakini wao kwenda kufanya vurugu na mauaji kwingine ni sawa na wasiingiliwe.

Kiongozi yeyote kutoka Africa akipinga ushoga mi na support, dunia haina usawa, hao wenyewe wanaotegemewa ndio wa kwanza kukiuka haki za binadamu.
 
Kila wakati naangalia wabunge wanajadili nini. Kama kawaida wanamwaga sifa kwa rais. Hili la USHOGA wanatoa sifa za uongo. Rais hajakemea ushoga hata siku moja. Yawezekana ana lake kichwani lakini hajawahi.

Neno analotumia ni MAADILI ambalo halimaanishi USHOGA. Ninachotaka kufahamu, ni kwa nini rais wa nchi hawezi kusema wazi kwamba wa-TZ hatutaki ushoga? Kuna nini nyuma ya pazia? Hii inashilia nini juu ya tabia na imani ya rais?
Kwani kuna tofauti kati ya ushoga na usagaji?
 
Kuzungumzia issue ya EU na US ni pale wakiona rais kutoka Africa anaongea hadharani kukataa ushoga huwa wanachukia na kuweka vikwazo kwa kigezo cha haki za binadamu, baadae wanatoka Libya n.k kuua wananchi na kuharibu mali za watu pia kuleta machafuko, sasa hizo ndio haki za binadamu au unafiki?

Kwamba rais kutoka Africa akizungumza kukataza ushoga basi atakuwa adui tayari, lakini wao kwenda kufanya vurugu na mauaji kwingine ni sawa na wasiingiliwe.

Kiongozi yeyote kutoka Africa akipinga ushoga mi na support, dunia haina usawa, hao wenyewe wanaotegemewa ndio wa kwanza kukiuka haki za binadamu.
Ushoga kama haki ya binadamu si suala la EU na US, ni haki ya binadamu kama vile haki ya uhuru wa kuabudu.

Na hao watu wa EU na US wakivunja haki za binadamu sehemu nyingine una haki ya kuwasema bila kudogosha hoja ya haki za mashoga.

Kufanya hivyo ni logical fallacy ya logical non sequitur.
 
Ushoga kama haki ya binadamu si suala la EU na US, ni haki ya binadamu kama vile haki ya uhuru wa kuabudu.

Na hao watu wa EU na US wakivunja haki za binadamu sehemu nyingine una haki ya kuwasema bila kudogosha hoja ya haki za mashoga.

Kufanya hivyo ni logical fallacy ya logical non sequitur.
Kama ni haki ya kila mwanadamu nimekuuliza tu vizuri unaanza kukwepa swali.
We unachukulia ushoga ni haki ya binadamu kama ilivyo uhuru wa kuabudu, Je mwanao kijana wa kiume akiamua kuwa shoga utapendezwa? Kama hutopendezwa kwa nini?
 
Kama ni haki ya kila mwanadamu nimekuuliza tu vizuri unaanza kukwepa swali.
We unachukulia ushoga ni haki ya binadamu kama ilivyo uhuru wa kuabudu, Je mwanao kijana wa kiume akiamua kuwa shoga utapendezwa? Kama hutopendezwa kwa nini?
Nikipendezwa au nisipopendezwa mimi jibu langu lina umuhimu gani katika suala la haki za binadamu za dunia nzima?

Kama kuvuta sigara ni haki ya mtu, ikiwa mimi sitaki mwanangu avute sigara, mimi kutotaka mwanangu avute sigara kunaathiri vipi haki hiyo ya watu kuvuta sigara?
 
Nikipendezwa au nisipopendezwa mimi jibu langu lina umuhimu gani katika suala la haki za binadamu za dunia nzima?

Kama kuvuta sigara ni haki ya mtu, ikiwa mimi sitaki mwanangu avute sigara, mimi kutotaka mwanangu avute sigara kunaathiri vipi haki hiyo ya watu kuvuta sigara?
Kuvuta sigara ni kuharibu afya, kuwa shoga ni kujiondolea utu, kujidhalilisha na kudhalilisha ndugu zako na pia ni hatari kwa afya yako.
Hivyo ushoga na uvutaji wa sigara unaona kabisa ni uharibifu, ni vitu vinafanana kwa sababu havijengi bali kuharibu. Japo naona umejibu kisisasa kwamba hutokubali udhalilike kama baba.

Kingine nimekuuliza si kwa nia ya kutumia kauli yako kuhalalisha ama kukataza ushoga, bali nimeuliza kufahamu maoni yako.

Mwanao akikuambia anataka kujiendeleza na career flani nzuri yenye manufaa utampongeza na km support kwa sababu ni jambo la kujenga, mwanao akitaka kuwa shoga utamkataza kwa sababu si suala la kujenga.

Naona tumeelewana.
 
Kila wakati naangalia wabunge wanajadili nini. Kama kawaida wanamwaga sifa kwa rais. Hili la USHOGA wanatoa sifa za uongo. Rais hajakemea ushoga hata siku moja. Yawezekana ana lake kichwani lakini hajawahi.

Neno analotumia ni MAADILI ambalo halimaanishi USHOGA. Ninachotaka kufahamu, ni kwa nini rais wa nchi hawezi kusema wazi kwamba wa-TZ hatutaki ushoga? Kuna nini nyuma ya pazia? Hii inashilia nini juu ya tabia na imani ya rais?
Tambuwa kuwa ushoga ni sub set ya maadili mabaya?
 
Hawezi kukemea na hatoweza, akiweza basi atawezwa na wanao muweza
 
Kila wakati naangalia wabunge wanajadili nini. Kama kawaida wanamwaga sifa kwa rais. Hili la USHOGA wanatoa sifa za uongo. Rais hajakemea ushoga hata siku moja. Yawezekana ana lake kichwani lakini hajawahi.

Neno analotumia ni MAADILI ambalo halimaanishi USHOGA. Ninachotaka kufahamu, ni kwa nini rais wa nchi hawezi kusema wazi kwamba wa-TZ hatutaki ushoga? Kuna nini nyuma ya pazia? Hii inashilia nini juu ya tabia na imani ya rais?
HAAAAA KISAGIO CHA TAIFA MNAKIWEKA MTU KATI🤪🤪
 
Kila wakati naangalia wabunge wanajadili nini. Kama kawaida wanamwaga sifa kwa rais. Hili la USHOGA wanatoa sifa za uongo. Rais hajakemea ushoga hata siku moja. Yawezekana ana lake kichwani lakini hajawahi.

Neno analotumia ni MAADILI ambalo halimaanishi USHOGA. Ninachotaka kufahamu, ni kwa nini rais wa nchi hawezi kusema wazi kwamba wa-TZ hatutaki ushoga? Kuna nini nyuma ya pazia? Hii inashilia nini juu ya tabia na imani ya rais?
Rais ni muislamu na kila mtu anafahamu msimamo wa waislamu kuhusu ushoga.
 
Kwa nini unashindwa kujadili hoja bila kui personalize kwangu?

Unajuaje nina mtoto?

Na nikiwa na mtoto ambaye sipendi awe shoga ina maana gani? Ina maana nilazimishe dunia nzima ya watu wanaopenda ushoga wasipende ushoga?

Kwani nikiwa na mwanangu halafu sipendi awe polisi hilo lina maana nipige vita watu wote wa dunia nzima wasiwe polisi?

Kwa nini watu hamuelewi haki za watu kuwa na uhuru binafsi wa kuamua maisha yao?

Wewe ambaye hupendi ushoga ukilazimishwa upende ushoga utafurahi?
Umeshindwa kujibu alichouliza huyo
 
Hapana, si hivyo.

Huyo rais amesema anataka mashoga wapigwe mawe, kauli za kurudi zama za medieval.



Hao watu wa magharibi wameelewa suala la haki ya kibinadamu ya uhuru wa mtu binafsi.

Ukishaondokankwenye mfumo wa utawala wa sheria, huo ndio mwanzo wa kumzushia mpinzani wako shoga na kumpiga mawe auawe tu. Hii habari itakuumiza hata wewe unayejifanya hupendi mashoga.

Huko Afrika mnapelekwapelekwa kupangiwa maisha kijamiijamii tu, hamuelewi wala kuthamini uhuru wa mtu binafsi kujipangia maisha yake mwenyewe.

Na inawezekana kabisa usinielewe kama samaki anayeishi baharini asivyoweza kuelewa hali ya jangwani Sahara katikati.
Dogo itakuwa unaliwa kwasababu hata unachokiandika ni utumbo tupu
 
Umeshindwa kujibu alichouliza huyo
Si suala la kushindwa kujibu.

Ameshindwa kujadili hoja kidhahania ana i personalize kwangu.

I may simply have a rule to not talk about my family in the hypothetical in these matters, and that's my boundary, just respect tgat.

Lakini oengine hamjui boundary ni nini, na hivyo hatuwezi kuelewana.

Hata mimi nisingezaliwa, mjadala huu ungekuwepo na ungekuwa na umuhimu huo huo, sasa kwa nini maoni yangu binafsi yawe na umuhimu sana hapa?

Mimi sitoi maoni yangu binafsi tu, naongelea hoja zenye logical consistency.

Unaelewa tofauti?
 
Back
Top Bottom