mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Huyo huyo unayemtaja kwenye hafla zake/zao mashoga wanatia timu...kuanzia wanamuziki,wabunifu wa mavaz nkkuishi na fedheha au aibu ni Tatizo la kiutimamu.
Tuungane Pamoja na Rais Dr.Samia Suluhu Hassan kukemea utovu wa kimaadili kuanzia kwenye familia zetu 🐒
Vita vya ushoga tz ni unafki tu
Ova