Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu, kwanza kabisa, Musa alivyokufa inadaiwa alizikwa na Mungu kama nimekosea unirekebishe... Ila Eliya inasemekana hakufa mara ya kwanza mara ya pili Yohana alikuja kwa roho ya eliya..Mkuu hebu eleza kwa uzuri pale ambapo Petro alipomuona Musa na elia mpaka akamwambia Bwana na tujenge vibanda vitatu. Ikiwa waliokufa hawana uhusiano kabisa na walio hai je ni kwanini tena hawa walionekana. Nafikiri waweza eleza vizuri ili tuweze kuelewa nahisi lina uhusiano kidogo na mada hii. Please!!!!!!!!!!!!!!!
Mkuu Imani zote zilizo asi katoliki zimekuwa zikifanya blunder worldwide.. kuanzia kuruhusu divorce, utoaji mimba, mauaji ya huruma, u-gay na mambo mengine.. limebaki kanisa katoliki palepale..tena huwa halina tabia ya kujadili madhehebu mengine yoyote ama dini nyingine zozote katika mafundisho yao.. kama wafanyavyo evangelical christians ambao hawaachi kupondea katoliki na kujivuna lakini hatma zao sikuzote imekuwa aibu.... jaribu kufikiri tofauti.Hiyo ni biblia ya wakatoliki na ukatoliki si ukristo ni uislamu unaoamini katika mungu mke kabla ya version ya pili ya uislamu amabayo vatican walimpa muhamad ili kuwatoa waarabu kwa kristo yesu.
Hiyo ni biblia ya wakatoliki na ukatoliki si ukristo ni uislamu unaoamini katika mungu mke kabla ya version ya pili ya uislamu amabayo vatican walimpa muhamad ili kuwatoa waarabu kwa kristo yesu.
Hiyo ni biblia ya wakatoliki na ukatoliki si ukristo ni uislamu unaoamini katika mungu mke kabla ya version ya pili ya uislamu amabayo vatican walimpa muhamad ili kuwatoa waarabu kwa kristo yesu.
ha ha ha!!!
Mkuu, kwanza kabisa, Musa alivyokufa inadaiwa alizikwa na Mungu kama nimekosea unirekebishe... Ila Eliya inasemekana hakufa mara ya kwanza mara ya pili Yohana alikuja kwa roho ya eliya..
Pia bibilia haionyeshi lengo la wao kuja ama kuonekana kama linahusiana moja kwa moja na kutoa ujumbe kwa watu.
Nachoweza kusema, Sehemu kubwa bibilia ilikuwa haijadhihirisha kama kweli wafu waliokufa kwa ajili ya bwana, wapo mahali wanaishi pengine hapa (Mathayo17:1-13) palitosha kuthibitisha hilo kwa kuwaona Musa na Eliya, kupitia Petro, Yakobo na Yohane ukizingaita kwa mila za wayahudi ushahidi wa watu wa tatu ni kweli. kumbuka stori za wasadukayo na mafarisayo (matendo ya mitume 23:5, Mathayo 16:6, Mathayo 22:23, Marko 12:18-27), .
Vilevile Yesu kupitia mfano wa Lazaro: alisema Kuna Musa na MAnabii.. Ujumbe wa Yesu namna ufalme wa mbinguni unavyofanana, ni kwamba huwezi kutumia MAli ya Dunia kununua Uzima wa Milele kama ambavyotajiri hakuweza, pia hawezi mtu kutoka kuzimu akaja kukufundisha ukaamini injili, ikiwa huamini waliopo huwezi amini hata akitoka mtu kule akaja.
Pia tunapenda kuamini kuwa wafu wanaweza kurudi kwa lengo kuu ni ili tuwatumainie wao katika maisha yetu. Bibilia imesema amelaaniwa mtu yule amtegemeaye mwanadamu kuwa kinga yake, na huku moyoni amemwacha Mungu.
Kwa lugha nyingine wa kumtumaini sio mfu bali aliye hai ambaye amefufuka katika wafu(Yesu Kristo). KWani wafu hawana kumbukumbu yoyote tena...
Pia hapa kuna hili swala la "Bikira maria Mwombezi wetu" na stori ya watoto wa fatma: fransisca yasinta na lucia.. Binafsi napata shida kulitetea. Kwani MAria alionja mauti.
naweza tu kusema jambo moja: Mithali 16:25 Iko njia ionekanayo kuwa sawa machoni pa mtu; Lakini mwisho wake ni njia za mauti.
Kwani njia za Mungu si njia zetu na mawazo yetu si mawazo ya Mungu. KAma vile mbingu zilivyo juu sana ndivyo mawazo yake yalivyo dhidi ya mawazo yetu. Ila njia ya Munhu ni Njia ya Yesu kwani Yesu ni njia...warumi 10:13
Ni heri ukichagua hard way usije ukapunguza NENO nawe ukajapunguziwa sehemu katika ule mti wa UZima.
matendo 11:4 Wala hakuna wokovu katika mwingine awaye yote, kwa maana hapana jina jingine chini ya mbingu walilopewa wanadamu litupasalo sisi kuokolewa kwalo.
mtumaini Mungu peke yake, kama ilivyoandikwa kifo ni mara moja na baada ya kifo ni hukumu (waebrania 9:25).......until further notice...
Unaijua Historia ya Biblia....Unajua kwann vitabu 73 na wengine 66....Fiatilia page tumetoa somo zuri...
Ndugu G'taxi kunamakosa nimeona katika maandishi yako, mwanzo nilidhani ni typing error lakini naona yanajirudia rudia, kwa kukusaidia tu hebu jaribu kujifunza matumizi sahihi ya R na L, hii ni kwa manufaa yako. kwaheri
Ndugu G'taxi kunamakosa nimeona katika maandishi yako, mwanzo nilidhani ni typing error lakini naona yanajirudia rudia, kwa kukusaidia tu hebu jaribu kujifunza matumizi sahihi ya R na L, hii ni kwa manufaa yako. kwaheri
Haya tena. Muhammad anasema uongo bila ya aibu. Hebu tumsome.Unaijua Historia ya Biblia....Unajua kwann vitabu 73 na wengine 66....Fiatilia page tumetoa somo zuri...

safi mkuu, tena anatakiwa ajue yupo kwenye laana kwakuishi ndani ya sheria... na founder hellen white alikuwa freemanon by origin..Nahisi wewe ni masalia halisi...Masikini hujui hata historia ya Biblia..Hujui kuwa Vitabu vilipunguzwa na Martin Luther...Daah....Ila wafuasi wa mama Hellena ni tabu ingine katika dunia..
Linasema hivi:Kuhusu Maria, soma Kumbukumbu 18:11-12.
MBWA WA MANZESE hebu njoo utuambie juu ya hili...Daaaahsafi mkuu, tena anatakiwa ajue yupo kwenye laana kwakuishi ndani ya sheria... na founder hellen white alikuwa freemanon by origin..
Seventh-day Adventist Cult Exposed
Truth about Seventh Day Adventist Church
![]()
Hivi nyinyi muambiweje mjue kuwa vitabu hivyo viliondolewa na Martin Luther...? Na baada ya kuviondoa aliviwekka kama Index mpaka alipokuja kuviondoa moja kwa moja...
Kwataarifa yako hakuondoa vitabu hivyo tuu pia alitaka kuondoa kitabu cha Yakobo na Ufunuo...Tumshukuru Mungu Reformer mwenzake Calvin alimkataza...
Ngoja nikuulize...Hivi kama angefanikiwa kuviondoa vitabu vya Yakobo na Ufunuo na leo mngekuja kulalalma...?
Nimekua najiuliza ni kwa nini mala nyingi hasa mwisho wa mwaka utasikia watu wengi wanakimbia majumbani mwao hasa vijijini na lengo ni kwenda kuwaombea ndugu walioishatangulia kwa maana ya kufa.
Wanaenda mbali na kupeleka maombi yao juu ya maisha yanayowazunguka kwa hao waliokufa,ni kweli kuna maana yoyote au kuna ulazima wa kufanya hili?kama ni kweli MUNGU tunaemuabudu na kuamini kua yupo na ndiyo alietuumba anapata nafasi ipi iwapo tutafikia kupeleka shida zetu kwa wafu?
Linasema hivi:
Kumbu 18:11 wala mtu alogaye kwa kupiga mafundo, wala mtu apandishaye pepo, wala mchawi, wala mtu awaombaye wafu.12 Kwa maana mtu atendaye hayo ni chukizo kwa Bwana; kisha ni kwa sababu ya hayo Bwana, Mungu wako, anawafukuza mbele yako.
asante
Tatizo Biblia yenyewe haiko 'consistent' na inajipinga katika baadhi ya mambo na hivyo kuleta utata katika mambo hayo. Jambo moja linaweza kuonyeshwa kuwa linakubaliwa katika kitabu au mstari mmoja wa Biblia hali jambo hilo hilo linakataliwa katika kitabu au mstari mwingine wa Biblia. Kwa hiyo siyo vema kushikilia mstari mmoja wa Biblia au kusikiliza mchungaji mmoja anayesimamia baadhi tu ya mistari, bali ni muhimu kuangalia na kutathmini Biblia yote kwa undani kuhusu jambo unalotaka kulielewa lakini vilevile kuangalia muktadha (context) wa uandishi wa kitabu husika au mstari husika wa biblia.
Kuwepo kwa Biblia mbili au tuseme tatu, yaani moja yenye vitabu 66 ambayo inakubaliwa na kutumiwa na makanisa ya kiprotestanti na ya kipentekoste na ile yenye vitabu 73 inayokubaliwa na kutumiwa na katoliki ni tatizo mojawapo la msingi. Lakini vile vile biblia ya ziada iliyoandikwa kutokana na vitabu vilivyokusanywa na kuandikwa kutokana na maandiko mbalimbali ya wafuasi wa Yesu ambayo yaliachwa nje ya biblia za mwanzo inayotumiwa na kanisa la Yesu la watakatifu wa baadae (The Church of Jesus Christ of Later Saints) ni tatizo jingine. Ndani ya biblia yenyewe kuna mambo yenye utata mfano kuhusu kama kunywa pombe ni dhambi au la - sehemu moja ya biblia inaruhusu kunywa pombe (divai/mvinyo) hata yesu anatengeneza divai kwa muujiza; sehemu nyingine inakataza watu kunywa pombe. Vile vile biblia hiyo hiyo inaruhusu watu kuoa wake wengi huku sehemu nyingine inataka mtu kuoa mke mmoja n.k.
Jambo jingine lenye utata zaidi pia ni hoja ya kwamba baraza moja lililoandika biblia ya vitabu 66 lilivuviwa na Roho Mtakatifu, je kuna uhakika na ushahidi gani kuwa baraza jingine ambalo liliandika biblia ya vitabu 73 nalo halikuvuviwa na Roho Mtakatifu na hata hilo baraza jingine lililoandika biblia ya nyongeza ya Church of Jesus Christ of Later Saints kwamba nalo halikuvuviwa na huyo huyo Roho Mtakatifu?
Vile vile kuna utata kuhusu uzito wa dhambi kana kwamba dhambi zote zina uzito sawa au zina uzito tofauti. Mfano katika biblia tunaona ikiandikwa kuwa kuna dhambi za mauti na dhambi nyinginezo (Kitabu cha waraka wa Yakobo/Yohana). Lakini watumishi wengine huzungumzia kuwa dhambi zote ni sawa. Hivyo kuleta maswali mengi kuhusu hukumu anayostahili mtu mfano aliyeua binadamu mwenzake na aliyeiba kwa mfano sindano au kuku, je wapewe hukumu na adhabu sawa? Tunaona hata katika torati adhabu zinaendana na uzito wa kosa/dhambi. Ndipo falsafa ya hell(Jehanamu), purgatory (toharani), na paradise (Heaven) [Mbinguni] inakuja. Na kwa kuzingatia kuwa Mungu ni mtakatifu na mwenye haki lazima aonekane kutenda haki kuliko mwanadamu ambaye ni mwenye dhambi. N.K.
naomba na mimi kuchangia japo kwa kifupi.
Mwanzo wa historia ya waisraeli marehemu walifikiriwa kuwa wamefungiwa katika shimo lenye giza nene, wamesahaulika, na hawezi kumsifu mungu...rejea zab. 6. 6:5; 30:9-10 pia zab 88:10-12)
baadaye iliingia imani kuwa roho za wenye haki zimo mikononi mwa mungu rejea (hek 3:1-7) na kwamba wafu watfufuka na baadhi yao watapata utukufu na wengine aibu rejea (dan: 12:2)
waliokufa wakiteteea imani yao waliamini mungu atawafufua wapate uzima wa milele rejea (2mak 7:9)
katika hatua hiyo ulijitokeza umuhimu wa kuwaombea wafu ili mungu aondoe zambi zao....mungu ni mkuu na anaweza yote tunaamini hivyo.. Rejea kitabu cha 2mak 12:38-46)
sasa msingi huu haupo katika vitabu ambavyo havijapokelewa na makanisa ya kiprotestanti ndiyo sababu ya mvutano kati yao na kanisa katoliki..
Ahsanta..