Kwa nini Urusi haina maendeleo makubwa. Je, Margaret Thatcher yupo sahihi ?

Kwa nini Urusi haina maendeleo makubwa. Je, Margaret Thatcher yupo sahihi ?

Video fupi
View attachment 3177155

Je, pia ni sababu kwa nini nchi nyingine zenye rasilimali ni masikini wa kutupwa ?

Alipokuwa anasema maneno haya , hakuna mrusi alikuwa akilala nje wala kuwa na madeni benki , wala kulala na njaa. Leo West waulize hali ilivyo na bei za huduma muhimu.Wala usije ukaumwa , umejinyea, kutibu meno ndio haisemeki , ni tofauti na huko Urusi au nchi za Eastern
 
Nchi Yako na Urusi ipi tajiri?
Hujawahi hata kufika huko Urusi unaleta habari za kusikia?
Taifa lako maskini mmekalia kusifu wanasiasa unaijadili Urusi! Serious?
Mjibu kwanza kuhusu Urusi. Hayo ya taifa lako yaletee sridi.
 
Alipokuwa anasema maneno haya , hakuna mrusi alikuwa akilala nje wala kuwa na madeni benki , wala kulala na njaa. Leo West waulize hali ilivyo na bei za huduma muhimu.Wala usije ukaumwa , umejinyea, kutibu meno ndio haisemeki , ni tofauti na huko Urusi au nchi za Eastern
Yelstin unamfahamu ?
 
Nchi imerusha satellite 1958 kabla hata ya US unasema ni masikini, hawa wazungu ukisikiliza maneno yao ni waongo mno.

Wao na utajiri walionao wanachangishana EU na US yote kumsaidia Ukraine apambane na Russia.
 
kwa tunavyoamininishwa na vyombo vya habari vyao
Hahiitaji vyombo vyao vya habari kujua katika mataifa makubwa kiuchumi kwa sasa duniani top Urusi hayupo pamoja na rundo la Rasilimali iliyo nazo.
 
Nchi imerusha satellite 1958 kabla hata ya US unasema ni masikini, hawa wazungu ukisikiliza maneno yao ni waongo mno.

Wao na utajiri walionao wanachangishana EU na US yote kumsaidia Ukraine apambane na Russia.
Wapi nimesema Urusi masikini ?

Nachosema Rasilimali alizonazo Russia hakupaswa kuwa pale alipo.

Huu ni ukweli ukiwa na akili timamu utakili kuna jambo halipo sawa ndani ya Russia
 
Hahiitaji vyombo vyao vya habari kujua katika mataifa makubwa kiuchumi kwa sasa duniani top Urusi hayupo pamoja na rundo la Rasilimali iliyo nazo.

Si hawamtaki tu , urusi ni nchi yenye minerals zote unazozijuwa wewe kwenye Chemistry pamoja na mafuta na gesi ,na viwanda , utasema ni masikini ??
 
Wapi nimesema Urusi masikini ?

Nachosema Rasilimali alizonazo Russia hakupaswa kuwa pale alipo.

Huu ni ukweli ukiwa na akili timamu utakili kuna jambo halipo sawa ndani ya Russia

ulitaka awepo wapi kwenye G20 ? au awape raia wake mahitaji yao ??
 
We mbumbumbu kweli.
Urusi inayotengeneza Hypersonic missiles, wafikiri zinatoka store ya babu yako?
Wewe kabisa hujasoma elimu dunia uko kwenye elimu nyingine ya kufikirika. Hivi kutengeneza makombora hayo ya kasi kubwa ndio maendeleo..!!!

Hivyo unataka kutuambia kwamba nchi kama Sweden, Norway, Laxembourg, Belgium au Japan zisizotengeneza hayo makombora wananchi wao wana hali ngumu kuliko wa Russia..

Mnafanya kosa kubwa sana kupuuzia elimu dunia na moja ya madhara yake ndio hii, the reasoning capacity is completely muzzled.
 
Si hawamtaki tu , urusi ni nchi yenye minerals zote unazozijuwa wewe kwenye Chemistry pamoja na mafuta na gesi ,na viwanda , utasema ni masikini ??
Hakuna mahali nimesema Russia masikini.

Hivi unasoma kweli nacho andika ?

Nani hawamtaki Urusi ?
 
Back
Top Bottom