Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi ninazungumzia reality ila wewe unasema kuwa ni utetezi.Umesikiliza kilicho zungumzwa ?
Hakuna excuse yoyote ya kuitetea Urusi na utitiri wa rasilimali ilizonazo
Walipaswa wawe wapi?Wapi nimesema Urusi masikini ?
Nachosema Rasilimali alizonazo Russia hakupaswa kuwa pale alipo.
Huu ni ukweli ukiwa na akili timamu utakili kuna jambo halipo sawa ndani ya Russia
Labda kapata kibali toka JF mada zote tu check na yeye kwanza ndio tulete hapa.Ni kweli Tanzania ni masikini wa kutupwa sijawahi kupinga hilo.
Hata maelezo ya hiyo video fupi yamegusia mfano wa nchi kama Tanzania na hali yake pamoja ya utitiri wa rasilimali iliyo nayo.
Kwani hutaki Urusi kujadiliwa ?
Hakuna mahali nimesema Russia masikini.
Hivi unasoma kweli nacho andika ?
Nani hawamtaki Urusi ?
Usinge andika ulicho andika.
Top 10 largest countries in the world 2024China,Marekani ni nchi ndogo ?
Inawezekana, Russia ilipambana WW2 mwanzo mwisho, wakitumia fedha yao, na nguvu kazi yao, walipigana kiume na Hiller hadi wanaingia Germany wakitokea mashariki, huku magharibi wakiwa US, UK, France n.k....Namba 1.
Nchi zote hizo 3 Usa/China/Urusi hazina Maendeleo sawa Nchi nzima, ni watu wachache wenye uchumi mkubwa ambao wanabeba nchi nzima, for this Case Usa na China wana matajiri wakubwa wengi kuliko Urusi.Marekani, China na Urusi hazipo kwenye uzani na Urusi kimaendeleo makubwa ya kiuchumi.
Maendeleo gani unayo zungumzia
Vipi West walipoungana kuja kumpiga Gaddafi ina maana ni masikini na wao..Kitendo cha urusi kupata msaada kutoka korea kaskazini ili kupigana na ukraine,
kwa mtu yeyote mwenye akili atajua ukubwa wa pua siyo wingi wa makamasi.
Naungana na huyo mama kusema urusi ni maskini.
Usinge andika ulicho andika.
Hapo la kumjibu ni moja tu, kwa sababu Russia sio mwizi anaye print dollar na kulazimisha nchi zenye mafuta kutumia dollar katika mauzo, US ina print dollar kama magazeti au vitabu....Nchi zote hizo 3 Usa/China/Urusi hazina Maendeleo sawa Nchi nzima, ni watu wachache wenye uchumi mkubwa ambao wanabeba nchi nzima, for this Case Usa na China wana matajiri wakubwa wengi kuliko Urusi.
China miji yake ya Baharini ina Gdp sawa na Nchi za ulaya madon wote Wakubwa wapo huko ila ukiingia Ndani kuna miji kama Africa tu kiuchumi, wanajitahidi kupeleka huko Maendeleo ila still nchi kubwa sana.
Usa Asilimia 50 ya population wanamiliki just 2.6% ya utajiri wa Usa. Tupige hesabu kidogo Gdp ya Usa ni dola Trilioni 27, asilimia 2.6 ni kama dola Bilioni 700, nusu ya watu Marekani ni Milioni 167 ukigawanya hapo roughly unapata dola 4200, So ukichukua Nusu ya Usa ya wasio nacho watu millioni 167 na kuwaleta Africa watakuwa hata hawapo Top 10 ya Nchi zenye kipato kikubwa cha mtu mmoja mmoja Africa.
Same kwa Urusi Moscow ni Bonge la mji sawa na Miji mingine ya Urusi Magharibi, ila Mashariki ni majanga in short Eneo lote la Urusi ambalo lipo Asia maendeleo ni madogo na Contribution yake pia ni ndogo sana kiuchumi.
Compare hizo Nchi 3 na nchi yoyote Ulaya iliyoendelea utofauti ni Mbingu na Ardhi.
We uko magomeni mwembechai huko halafu unaleta hekaya za abunuasi eti urusi haina maendeleo wakati hata kigali hapo Rwanda haujafika shame on youVideo fupi
View attachment 3177155
Je, pia ni sababu kwa nini nchi nyingine zenye rasilimali ni masikini wa kutupwa ?
Kwani ww ulitaka Urusi iweje ambapo ww unapataka.Umesikiliza kilicho zungumzwa ?
Hakuna excuse yoyote ya kuitetea Urusi na utitiri wa rasilimali ilizonazo