Kwa nini Urusi haina maendeleo makubwa. Je, Margaret Thatcher yupo sahihi ?

Kwa nini Urusi haina maendeleo makubwa. Je, Margaret Thatcher yupo sahihi ?

Urusi hakupaswa awepo alipo.
Size ni Sababu kubwa mkuu.

Lets Take Example Moscow, Gdp per capita ni $32,000 ama St Petersburg gdp per capita ni $29,000, hio ni respectable figure hasa kwa Nchi kama Urusi ambayo Gharama za Maisha ni ndogo mno. In short mtu anayekuja Earn $32,000 Urusi kuimaliza hio hela ni ufanye tu Kufuru mwenyewe, Chuo kikubwa Urusi st Petersburg Ada unakuta $5000 kwa mwaka, unaweza kwenda hotel na $8 ukala ukashiba.

So Urusi ingekua ni part ya Ulaya tu basi tungekuwa tunaimba walivyo matajiri. Ila part nyengine za Nchi maeneo kama ya Far east ama Siberia ni mbali mno, just Imagine unatoka mkoa hadi mkoa ni kilomita 9000 yaani unaenda mwanza mara 9, unaunganishaje hapo kwa barabara na reli za kutosha?
 
Kitendo cha urusi kupata msaada kutoka korea kaskazini ili kupigana na ukraine,
kwa mtu yeyote mwenye akili atajua ukubwa wa pua siyo wingi wa makamasi.
Naungana na huyo mama kusema urusi ni maskini.
Kitendo cha Marekan kuomba saport kutoka UK,France n.k kupambana na Iraq 2003 kinaonyesha Marekan sio masikini.
 
Sio tu kuprint bali kunyonya Rasilimali za watu pia,
Utakut
Video fupi
View attachment 3177155

Je, pia ni sababu kwa nini nchi nyingine zenye rasilimali ni masikini wa kutupwa ?
Warusi wanaojua kibongo wako JF inaelekea propaganda za uongo tu, mrusi hata simu hatengenezi, hakuna kitu cha putin dukani , silaha tu nazo zimeonekana utumbo mtupu huko Ukrain hakuna cha hypersonic, Urusi mchovu sana rubo 1 ni sh 28 tu. Ni wezi wakubwa wa rasilmali kulinda amani Mali wamekabidhiwa mgodi wa dhahabu, nchi zote zenye Gold huko magharibi wapo. Yaani wakija hapa makao makuu wataweka geita. BOTSWANA wapo wanataka zile almasi
Basi wekeni oroza ya vitu mrusi anauza Bongo zaidi ya pombe na silaha. Hizo s400 huko syria zilizimwa au
 
Inawezekana, Russia ilipambana WW2 mwanzo mwisho, wakitumia fedha yao, na nguvu kazi yao, walipigana kiume na Hiller hadi wanaingia Germany wakitokea mashariki, huku magharibi wakiwa US, UK, France n.k....

Hivyo kuwa na heshima na shukuru kwa mchango wao.

UK yenyewe toka hio vita hadi leo hawajawahi recover, hio vita ilimnufaisha US.
Unachoongea sijui nini ? Kwani China hakuwa vitani hiyo ww11 tena yeye alikumbana tena na vita vya wenyewe kwa wenyewe toka hapo akatumbukia tena kwenye vita vya Korea leo hii China yupo wapi na Russia yupo wapi ?

Hizi excuses hazina maana kwa utitiri wq rasilimali alizonazo Russia
 
Kwani ww ulitaka Urusi iweje ambapo ww unapataka.
Alafu kabla ya kuongea ulisha wahi kufika Urusi?
Iwe zaidi ya hapo ilipo.

Unauliza swali la kijinga.
 
Size ni Sababu kubwa mkuu.

Lets Take Example Moscow, Gdp per capita ni $32,000 ama St Petersburg gdp per capita ni $29,000, hio ni respectable figure hasa kwa Nchi kama Urusi ambayo Gharama za Maisha ni ndogo mno. In short mtu anayekuja Earn $32,000 Urusi kuimaliza hio hela ni ufanye tu Kufuru mwenyewe, Chuo kikubwa Urusi st Petersburg Ada unakuta $5000 kwa mwaka, unaweza kwenda hotel na $8 ukala ukashiba.

So Urusi ingekua ni part ya Ulaya tu basi tungekuwa tunaimba walivyo matajiri. Ila part nyengine za Nchi maeneo kama ya Far east ama Siberia ni mbali mno, just Imagine unatoka mkoa hadi mkoa ni kilomita 9000 yaani unaenda mwanza mara 9, unaunganishaje hapo kwa barabara na reli za kutosha?
Kwa rasilimali walizonazo hakuna utetezi kwa kushindwa kujenga hizo barabara na reli.
 
Unachoongea sijui nini ? Kwani China hakuwa vitani hiyo ww11 tena yeye alikumbana tena na vita vya wenyewe kwa wenyewe toka hapo akatumbukia tena kwenye vita vya Korea leo hii China yupo wapi na Russia yupo wapi ?

Hizi excuses hazina maana kwa utitiri wq rasilimali alizonazo Russia
SIo excuses ndio uhalisia, hakuna nchi ilipoteza askari wengi kama Soviet/Russia, kwa namba tu ni askari milioni 10, jumlisha na wananchi waliofariki wanafika 24 M, hivi kama una akili timamu kwa hizo namba umeelewa ni hasara kiasi gani walipata....?
 
SIo excuses ndio uhalisia, hakuna nchi ilipoteza askari wengi kama Soviet/Russia, kwa namba tu ni askari milioni 10, jumlisha na wananchi waliofariki wanafika 24 M, hivi kama una akili timamu kwa hizo namba umeelewa ni hasara kiasi gani walipata....?
Acha kuleta siasa as if muathirika mkubwa wa WW11 ni Russia pekee.

Nimekuelezea China ilipata hasara kiasia gani kuanzia hiyo WWII unayo tumia kumtetea Russia mpaka Civil war kuja Korean war haya ni matukio yaliyo fuatana ni lina isha hili lina fuata jengine unajua ni experience gani ya ajabu uchina alikutana nayo kwa japan hata hao nazi hawafiki hata nusu.

Hiyo ni miaka zaidi ya 20 China ipo vitani leo China ipo wapi Russia ipo wapi pamoja na utitiri wa rasilimali iliyonayo kuna kitu hakipo sawa ndani ya Russia
 
Acha kuleta siasa as if muathirika mkubwa wa WW11 ni Russia pekee.

Nimekuelezea China ilipata hasara kiasia gani kuanzia hiyo WWII unayo tumia kumtetea Russia mpaka Civil war kuja Korean haya ni matukio yaliyo fuatana ni lina isha hili lina fuata jengine unayo experience gani ya ajabu uchina alikutana nayo wakati wa ajabu si ajabu hata hao nazi hawafikii hata nusu

Hiyo ni miaka zaidi ya 20 China ipo vitani leo China ipo wapi Russia ipo wapi pamoja na utitiri wa rasilimali iliyonayo kuna kitu hakipo sawa ndani ya Russia
Elewa niliposema Russia ilijitoa vitani kuliko nchi yeyote Europe...

China wakati huo ni kichekesho hawana mbele ama nyuma...

Elewa walipoteza rasilimali nyingi na nguvu kazi, baada ya hapo wakaanza kuijenga nchi yao kurudi ilipokuwa huku wakiijenga na Germany mashariki ambayo waliitawala...

Huyo China alipambana na Japan....

Germany hawakuivamia China, Russia walipambana Germany face to face....

Acha kuandika pumba...
 
Utakut

Warusi wanaojua kibongo wako JF inaelekea propaganda za uongo tu, mrusi hata simu hatengenezi, hakuna kitu cha putin dukani , silaha tu nazo zimeonekana utumbo mtupu huko Ukrain hakuna cha hypersonic, Urusi mchovu sana rubo 1 ni sh 28 tu. Ni wezi wakubwa wa rasilmali kulinda amani Mali wamekabidhiwa mgodi wa dhahabu, nchi zote zenye Gold huko magharibi wapo. Yaani wakija hapa makao makuu wataweka geita. BOTSWANA wapo wanataka zile almasi
Basi wekeni oroza ya vitu mrusi anauza Bongo zaidi ya pombe na silaha. Hizo s400 huko syria zilizimwa au
Boss sababu mtu mmoja anauza Simu haimaanishi Dunia nzima wauze simu hivi baadhi ya vitu ambavyo Ana Export

1. Mbolea, Mbolea za Urusi zinajulikana Dunia nzima na Nchi zinazolima sana Including Usa wanazitumia.

2. Mafuta na Gesi, sina haja ya kuelezea yanajulikana

3. Nuclear reactors na Boilers, Urusi ni katika Nchi zenye tech ya hali ya juu ya nuclear, Sizungumzii tu Nuclear kama silaha za kuua watu bali matumizi ya Nyuklia kama Source ya Energy na vitu vingine productive.

4. Wana Madini mbalimbali mpaka Almasi

5. Injini zao za Ndege ni one of the best, probably more advanced kuliko Usa, kwa miaka Mingi Usa alikua akitegemea Engine za Mrusi kwenda Anga za mbali.

Kuna mambo mengi sana, Leo hii taifa kama Japan linaondoka kwenye Consumer Electronics haimaanishi Japan hana Technology ila kuna level ukifika unaweza uzia makampuni makubwa ukala hela kimya kimya na makampuni akawa ndio face ya Tech yako.
 
Kwa rasilimali walizonazo hakuna utetezi kwa kushindwa kujenga hizo barabara na reli.
Kwa logic hii basi Marekani nayo ni 3rd world country, maana nayo pia haina, sehemu kibao kama Congo watu wana tegemea Ndege.

Hakuna tija kiuchumi kutumia matrilioni ya hela ku connect vijiji ili uingize 50,000
 
kuo
Video fupi
View attachment 3177155

Je, pia ni sababu kwa nini nchi nyingine zenye rasilimali ni masikini wa kutupwa ?
Mbowe hayupo chadema kuhakikisha chadema inapata ushindi wa kiuongozi katika nchi, NO, mbowe yupo chadema kuhakikisha ruzuku inapatikana na maisha yanaendelea na chawa wake wanapata riziki zao kwa wakati (chawa yeriko analifahamu hili
 
kuo
Mbowe hayupo chadema kuhakikisha chadema inapata ushindi wa kiuongozi katika nchi, NO, mbowe yupo chadema kuhakikisha ruzuku inapatikana na maisha yanaendelea na chawa wake wanapata riziki zao kwa wakati (chawa yeriko analifahamu hili
Chama kina Muhasibu, kina Kamati ya fedha na Mipango.

Hizo hisia zenu sio. Mtuhumu mengine lakini sio swala la fedha.

Chama kina Signatories kwenye account na matumizi.
 
Back
Top Bottom