Hivi sisi waafrica nani aliyeturoga kiasi ambacho hata viongozi hawajui ofisini wanafanya nini ilimradi tu siku ziende.
Hebu angalia kauki ya juzi ya pm eti wenye digrii waende VETA. Kwa nchi ambaso ziko serious angefurushwa uwaziri mkuu palepale au kujiudhuru mwnyewe.
Waziri mkuu unayesimamoa serikali unasema kwamba elimu tanzania kwamba haifai tena ni bora mbumbumbu tu kuliko degree na bado uko ofisini kweli.
Watu wanakeaha wanasoma ili kuhangaikia kupata div one halafu waziri mkuu unakuja na ngojera kwamba elimi ni nothing.
Kweli African kuna tatizo. Bora wazungu warudi kutuwala tu.
Hebu angalia kauki ya juzi ya pm eti wenye digrii waende VETA. Kwa nchi ambaso ziko serious angefurushwa uwaziri mkuu palepale au kujiudhuru mwnyewe.
Waziri mkuu unayesimamoa serikali unasema kwamba elimu tanzania kwamba haifai tena ni bora mbumbumbu tu kuliko degree na bado uko ofisini kweli.
Watu wanakeaha wanasoma ili kuhangaikia kupata div one halafu waziri mkuu unakuja na ngojera kwamba elimi ni nothing.
Kweli African kuna tatizo. Bora wazungu warudi kutuwala tu.