Kwa nini wachaga ni wabaguzi sana katika vyeo- bila kuwa mchaga hupandi cheo

Kwa nini wachaga ni wabaguzi sana katika vyeo- bila kuwa mchaga hupandi cheo

Status
Not open for further replies.
mlitakaje!?mi silioni labda ningekuwa sio mchaga.... mlitaka wajichukie wenyewe....chuki binafsi...
 
Nenda najina lako la mwarubaini kama utapata kazi Tra au Crdb hawa jamaa ni zaidi ya sumu.Akitokea Rais mchaga Mungu wangu ikulu itahamishiwa Moshi
 
nasifia panapostahili. Ni kweli wachaga ni wachapa kazi sana, wana bidii na uthubutu. Na pia wengi wamesoma, tofauti na makabila mengine. Hata wale ambao hawana elimu sana ya darasani, wana bidii sana ya kazi na ubunifu, utawakuta wanashona hata viatu, wanauza mitumba, wanauza nyamachoma kitimoto na supu za makongoro... yaani ni wachakarikaji. Ni haki kabisa kuwasifia kwa hayo. LAKINI NI WABAGUZI SANA. Nenda kwao Moshi kama si mchaga usikie watakuitaje. Kama ni mwanamke olewa kwao utajua ninachosema, unless maisha yenu ni ya mjini tu hivi, lakini hizo siku chache utakazokutana na wengione zaidi ya mumeo na watoto utauona huo ubaguzi. Kaoe kwao, utanielewa ninachosema. Na bora wangeishia kubagua makabila mengine tu. Wanabaguana pia wao kwa wao vibaya sana. Mtu akijitambulisha ni mchaga wanamuuliza kwanza "wa wapi"? Jibu atakalotoa litaamua kiwango cha heshima atakayopata. Yani wana ubaguzi mbaya sana wenye dharau.[/QUOTE]

Kwa maana nyingine hawajiamini? Ni impossible (wala siyo kwamba ni vigumu) kumdharau mtu ambaye haja-misbehave kwako. Haya mengine sasa tuseme labda watu mnaanza kuchapia!
 
mimi nimwsoma vyuo zaidi ya vitano hapa nchini na kila chuo wachaga walikuwa wengi kuliko makabila mengine wakifuatiwa na wahaya.
sasa naomba uniambie hawa wakimaliza shule unaqtaka wakwere wawe wengi maofosini?
mimi si mchaga ila napenda jinsi wanavyosrago na maisha acheni kuwaonea.

yani umeongea vizuri sana mkuu
uchagani hakuna kuchezwa ngoma wazee,,ni kitabu tu
Mkubali mkatae ukweli ni sababu ya Elimu,
Mapinduzi si kuwaondoa wachaga kwenye hizo nafasi bali kupigania Elimu kwa vizazi vijavyo kwa hao wenye mawazo hayo.
 
Jamani suala la wachaga kuwahi kusoma limekuwa kisingizio kikubwa cha ukabila unaofanywa waziwazi na wachaga wenye vyeo vikubwa kama vile Charles Kimei (CEO, CRDB), Kitilya (CEO, TRA) na kwingineko. Pia wakati Ephraem Mrema akiwa CEO wa TANROADS, managers wengi wa mikoa na kanda walikuwa ni wachaga. Jamani tuache visingizio vya kuwahi kusoma, hivi sasa hata sisi wasukuma tumesoma mno mno na tuko wengi tu kwahiyo hicho kisingizio cha wachaga kuwahi kusoma siyo sahihi.

acheni majungu muone mtakavyopanda vyeo, maisha ni kuchakarika na si kupiga umbea na majungu fb, twiter, jf bila kuisahau utube! mara wanapanda , leo wameshuka mtaishia hivyo hivyo na chuki zenu! kumbuka kuelimika au uchapaji kazi ni vitendo na si kujitangaza kwenye majukwaa na kutafuta huruma ya kubebwa!
 
wahenga walisema "kizuri kula na nduguyo" sa kama hamkuwaelewa shauri yenu!kuna makabila hapa tz hawapendi wenzao watoke ili aliyenacho aonekane mungu mtu kwao!
kama makabila Ya morogoro ....Lyumba pekee yake yeye ndo alikuwa tofauti
 
Mfano:
Jeshi la police: 80% ya RPC NI WACHAGA
CRDB: 75% YA BRANCH MANAGER'S TANZANIA NI WACHANGA

ONGEZEA!!!!!!!!!!!!!!!!


Mimi nilisoma zamani kidogo. Kwenye darasa letu zaidi ya 85% ya wanafunzi walikuwa Wachaga. Hao leo hii wakiwa ni mameneja sitashangaa.
 
Hivi mbona hampendi kusoma history jamani? CHAGGA was among the first civilized society sinc ukoloni.. Wachagga wanaijua lami, wanaujua umeme, maji ya bomba since ukoloni.. mashule mengi na mahospitali yalipatikana uchaggani,.. wachagga wengi walikuwa wa kwanza kwenda abroad kusoma etc..
 
Mimi nilisoma zamani kidogo. Kwenye darasa letu zaidi ya 85% ya wanafunzi walikuwa Wachaga. Hao leo hii wakiwa ni mameneja sitashangaa.

Na wewe unakuwa (una) cheo gani???
 
Ilianzia kwa ubara,ikaja kwa ukristo,ikaenda kwa ukaskazini?sasa imehamia kwa uchaga na ugaidi!nakemea roho hii chafu!
 
pondeni tu but nadhan mpaka sa hv kuna wachaga wapya wamepandishwa vyeo tujiulize why technically na sio majungu oh wanapandishana vyeo wale wanajiendeleza na hawakati tamaa kama baadhi ya watu humu led by the author of the thread na huyo Malyenge hadi hajui nini anachokiandika tuwe wachapakazi jaman
 
Mimi sina cheo chochote cha maana. Kazi yangu ni kama ya kujitolea.

Basi kumbe hukustahili kuchangia maana hujui machungu ya kusoma ukawa na elimu na ujuzi sawa ama kuwazidi wengine lakini cheo wanapandishwa wengine ambao wakianza kufanya kazi wanakutumia wewe kukuuliza hapa tufanyeje nk. Inauma sana....
 
Daa CCM bado hamchoki kuubiri ukabila?
Sijui hii nchi inaelekea wapi sasa Daa.
Acheni ujinga jamani.

Wakwere je? Niwabaguzi katika lipi?
 
Mpaka muda huu wanakaribia kuacha kuchangia mada hii lakini hakuna hata mmoja ameielewa. Mtoa mada katika uzi wake ametaja mambo makuu mawili.
1. Ubaguzi wa kikabila katika vyeo
2. Upandishwaji wa vyeo
Tulitegemea katika kuifanya hoja ya mtoa mada kuwa imepatiwa majibu ilipaswa majibu yalenge kwenye kujibu ubaguzi na upandishanaji wa vyeo.
Mfano kwenye namba 1 majibu yangekuwa hivi: Hakuna ubaguzi katika vyeo unaofanywa na wachagga. Katika kuthibitisha hilo ikachukuliwa taasisi moja ambapo kuna wachagga wengi kisha kanusho likathibitisha kwamba kuna baadhi ya watu wenye vyeo ambao si WACHAGGA wakatajwa majina yao. Chukua taasisi kama vile CRDB ukaanza kutaja mameneja wasio wachagga kisha ukalinganisha na wachagga tukapata hata asilimia angalau 30 wakapatikana mameneja ambao si wachagga:
Kisha kwenye namba 2 hapo juu majibu yakazungumzia ni nani anayehusika na upandishaji vyeo katika taasisi mbalimbali ili tuone anayepandisha vyeo watu hahusiki mojakwamoja kuwa aliwapendelea baadhi ya wachagga.

Lakini hili haliwezi kufanyika kwa sababu likifanyika ukweli utadhihirika. Sasa ili mkwepe ukweli kisayansi hebu jaribuni kufanya kama nilivyopendekeza mimi hapo juu ama zaidi ya hapo. Kisha majibu yake kila mtu ataamua kama mada hii ni ya uongo ama ni ukweli.
 
Aise napenda sana wachagga yaani. ujue hadi nina resolution katika maisha lazima nipate mtoto na mchaga kabla mungu hajanichukua-- kwa sharti mtoto akitoka tu akakulie kwa bibi yake moshi.... i love these people so much!

Karibu Kibosho chalii angu
 
-Ee Mungu utuokoe, khaa Tanzania kamwe hatuachi kujadili aliyopo chini apande juu bali aliopo juu ashuke chini,
Mifano ni mingi sana.
-Halafu naona hii mechi ya ukabila haikisha kumbe? udini unakuwa mgumu sasa unarudi ukabila tena,
-Labda kwa mimi wa Namiungo ningependa kusema kwamba hapa duniani hakuna maendeleo ama kutoka kunaposababishwa na watu wa kabila fulani ama wa eneo fulani ni mind set tuu ndio tofauti kuu, kuna nafasi za kujiajiri,kuhakikisha siku zote unafaulu kiwango cha juu, uadilifu vyote hivi havizuiwi na ukabila , kwa hiyo basi pambana ni si kusema kwamba hujawa manager crdb,
 
Karibu Kibosho chalii angu
.

Unaona?! Ushahidi huu hapa. Nilikuambia Wachaga watu fresh sana. Watu hawaelewi tu!

Siku moja zamani nilikuwa naenda safari Kenya. Nauli ikawa imeniishia Moshi Mjini. Nilikuwa kamtu kadogo sana wakati ule. Nilikuwa nimebeba kisanduku kidooogo cha makaratasi ya Fomaika. Zamani hizo zilikuwapo sanduku za karatasi ya Fomaika kwa nje. Ikawa njaa inauma sana asubuhi ile pale Moshi stendi. Lini hapo? 1974. Nilikuwa nimetoka zangu Mbeya. Yaani nilikuwa kamtu kadogo kwelikweli.

Alitokea kijana fulani wa Kichaga. Kapita mara ya kwanza kanikuta kwenye lile benchi--nadhani ilikuwa kama saa mbili hivi asubuhi. Kapita tena saa tano hivi. Bado niko palepale. Saa Saba! Bado niko pale. Mmh! Kaniangalia?! Kaja kukaa karibu yangu. Nilipomsimulia stori yangu kaingia kwenye mgahawa uliokuwapo pale stendi, kanunua mkate na maharage, na chai. Kula mdogo wangu, kasema. Baadae kanipeleka Ustawi wa Jamii ambako nilipewa Warrant ya Serikali niendelee na safari yangu kwenda Kenya. Tanzania ya wakati ule ilikuwa nzuri sana. Hiyo ndo picha ya Wachaga ninaowajua mimi! Ipo nyingine sikuambii labda ukini PM! Na hiyo ni moto zaidi kuliko hata hii. I love these people. I do.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom