Mfano:
Jeshi la police: 80% ya RPC NI WACHAGA
CRDB: 75% YA BRANCH MANAGER'S TANZANIA NI WACHANGA
ONGEZEA!!!!!!!!!!!!!!!!
Utaelezeaje wafanyabiashara wachagga?!? Nao wamependelewa?!?
Sent from my BlackBerry 9810 using JamiiForums
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mfano:
Jeshi la police: 80% ya RPC NI WACHAGA
CRDB: 75% YA BRANCH MANAGER'S TANZANIA NI WACHANGA
ONGEZEA!!!!!!!!!!!!!!!!
Basi kumbe hukustahili kuchangia maana hujui machungu ya kusoma ukawa na elimu na ujuzi sawa ama kuwazidi wengine lakini cheo wanapandishwa wengine ambao wakianza kufanya kazi wanakutumia wewe kukuuliza hapa tufanyeje nk. Inauma sana....
Inawezekana kabisa mkuu wako wa kazi ana ujuzi mdogo kupita wewe au umesoma zaidi kuliko yeye. Nilichosema mimi ni kuwa idadi ya wasomi wengi Tanzania ni Wachaga kwa hiyo sitashangaa kama nitaona hao ndiyo wenye vyeo vya juu huko makazini. Vinginevyo, nitashangaa imekuwaje?
Utaelezeaje wafanyabiashara wachagga?!? Nao wamependelewa?!?
Sent from my BlackBerry 9810 using JamiiForums
mimi nimwsoma vyuo zaidi ya vitano hapa nchini na kila chuo wachaga walikuwa wengi kuliko makabila mengine wakifuatiwa na wahaya.
sasa naomba uniambie hawa wakimaliza shule unaqtaka wakwere wawe wengi maofosini?
mimi si mchaga ila napenda jinsi wanavyosrago na maisha acheni kuwaonea.
wagogo vipi?
Huyu jamaa atakuwa ------!wewe unataka upande cheo wakati muda wote uko facebook na youtube?
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Makanisani pia. Asilimia 75 ya Paroko wote Tanzania ni Wachaga. Kumbe kanisani nako kuna ubaguzi sikujua. Sijui hata mbinguni itakuwa hivyo? Nahamishia wanangu Kilimanjaro wakasome huko.
Je, na sisi Wahaya mtasema nini? Maana baada ya wachaga kila mahali ni Wahaya.
- 75% walioshika nyadhifa za juu CHADEMA ni wachaga
- 80% ruzuku inayoingia CHADEMA inatumika mkoani Kilimanjaro
UMETOKA NJE YA MADA...... Mtoa mada amezungumzia Tanzania.... Na siyo UN, Kenya ama pengine ulipopataja wewe. Muwe mnaelewa mada vizuri kabla ya kukurupuka kujitetea. Nije kwenye utetezi wako potofu....; kwani kuwa na shule nyingi katika mkoa kunasababisha watu kupanda vyeo watu wa mkoa huo??? Mimi ningekusapoti kama mtoa mada angesema wachagga ni wengi kwenye maofisi hapo hoja yako ingekuwa na mashiko.
Mtoa mada amesema ubaguzi wa wachagga kupendeleana katika kupandishwa vyeo......Wewe vipi? Hata kama unadai wachagga wamesoma sana kwani makabila mengine hawajasoma? Mbona makabila mengine yanafanya kazi katika kampuni ama ajira mbalimbali pamoja na wachagga lakini wakati wa kupandishwa vyeo wanakuwa ni wachagga tu??? Kwani wao wamesomea shule za mbinguni???? Jiulize sana na zingatia mada iliyopo mezani badala ya kutumia nguvu nyingi kujitetea kumbe uko off point. Vinginevyo utakuwa unajua ukweli ndio maana unatumia nguvu nyingi kujitetea.
Jamani suala la wachaga kuwahi kusoma limekuwa kisingizio kikubwa cha ukabila unaofanywa waziwazi na wachaga wenye vyeo vikubwa kama vile Charles Kimei (CEO, CRDB), Kitilya (CEO, TRA) na kwingineko. Pia wakati Ephraem Mrema akiwa CEO wa TANROADS, managers wengi wa mikoa na kanda walikuwa ni wachaga. Jamani tuache visingizio vya kuwahi kusoma, hivi sasa hata sisi wasukuma tumesoma mno mno na tuko wengi tu kwahiyo hicho kisingizio cha wachaga kuwahi kusoma siyo sahihi.
umesoma mpaka form 4 unasema umesoma?? Toa umbulula hapa kumbuka mchaga cku hiz ukisema una degree moja wenzako watakudharau cku hz 2nafkiria phd mbuz wewe
umesoma mpaka form 4
unasema umesoma?? Toa umbulula hapa kumbuka mchaga cku hiz ukisema una
degree moja wenzako watakudharau cku hz 2nafkiria phd mbuz wewe
Acha upuuzi wako wewe,wachaga kuwa wengi haimanishi eti wote washike nyadhifa za juu.Kwa hiyo unamaanisha kila intake ya CCP pale Moshi wachaga nao wanakuwa wengi kuliko makabila mengine ndo maana kuna maRPC wengi wa kichaga.In short this country is still suffering from tribalism and nepotism wewe huoni hata Philemon Luhanjo alivokuwa waziri kiongozi alijitahidi sana kuwachomeka Wabena kila sehemu nyeti ya serikali ya Tanzania kwa hiyo hilo la wachaga nalo liko sahihi
Afu mwambie kazi ziko nyingi tu ambazo hazihitaji kwenda shule. Wivu wa kike utaujua tumbona kipind kile cuf wapo juu hatukusema % kubwa ya viongoz wanatoka zanzibar nenda shule kama cc alafu omba kaz utapata.
Unatumia hii makitu nikutumie?? Inasaidia sana kuzibua ubongo uliojaa maji.Ndio walivyo angalia kwenye chadema wanavyojipendelea.hawataki watu wenye uwezo wanaokubalika kama zitto na shibuda wasije wakaziba nafasi zao