Kwa nini wachaga ni wabaguzi sana katika vyeo- bila kuwa mchaga hupandi cheo

Status
Not open for further replies.
Mfano:
Jeshi la police: 80% ya RPC NI WACHAGA
CRDB: 75% YA BRANCH MANAGER'S TANZANIA NI WACHANGA

ONGEZEA!!!!!!!!!!!!!!!!

Utaelezeaje wafanyabiashara wachagga?!? Nao wamependelewa?!?

Sent from my BlackBerry 9810 using JamiiForums
 
waulize wahaya kwanza, wakikupa jibu ndo jibu la wachaga.
 
Basi kumbe hukustahili kuchangia maana hujui machungu ya kusoma ukawa na elimu na ujuzi sawa ama kuwazidi wengine lakini cheo wanapandishwa wengine ambao wakianza kufanya kazi wanakutumia wewe kukuuliza hapa tufanyeje nk. Inauma sana....


Inawezekana kabisa mkuu wako wa kazi ana ujuzi mdogo kupita wewe au umesoma zaidi kuliko yeye. Nilichosema mimi ni kuwa idadi ya wasomi wengi Tanzania ni Wachaga kwa hiyo sitashangaa kama nitaona hao ndiyo wenye vyeo vya juu huko makazini. Vinginevyo, nitashangaa imekuwaje?
 

Hebu chukua scenario hii.... Kuna nafasi ya kazi ilitaka watu wenye ujuzi na elimu ya Masters na CPA. Tukapata watu wawili mimi na mchagga. Lakini huyo mchagga hakuwa na masters wala CPA bali alikuwa na B.COM. Tukariport kazini pamoja lakini yeye akawa ndo boss wangu!!!! Yaani akawa incharge!!!!! Therefore, hoja yako ya uwingi wa wachagga hai-apply hapa maana tulikuwa wawili tu na elimu inayotakiwa ili uwe incharge mimi nilikuwa nayo yeye hakuwa nayo lakini akapewa u-incharge yeye!!!! Tatizo ndo liko hapo.........
 
Utaelezeaje wafanyabiashara wachagga?!? Nao wamependelewa?!?

Sent from my BlackBerry 9810 using JamiiForums

Acha kuchafua hoja wewe.... Mada iliyopo ni katika ajira za kuajiriwa wewe unachomeka kitu kingine kabisa. Wewe vipi?
 
Aaa usimkatishe tamaa mwenzako ye yuko tayari mwanae alelewe uchagani kwa bibi kwa hiyo hatakataliwa.halafu mwenzio ana pesa ya kumtunza bibi mtoto na mzazi mtarajiwa.just joke
 
Ndio walivyo angalia kwenye chadema wanavyojipendelea.hawataki watu wenye uwezo wanaokubalika kama zitto na shibuda wasije wakaziba nafasi zao
 

good point nitafute hapa 0765164434 nitaku2mia buku ya bando.
 
Huyu jamaa atakuwa ------!wewe unataka upande cheo wakati muda wote uko facebook na youtube?

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

Malizia tu muda wote unacomment JF unapanda cheo kipi?
 

haaa haaa
 
- 75% walioshika nyadhifa za juu CHADEMA ni wachaga
- 80% ruzuku inayoingia CHADEMA inatumika mkoani Kilimanjaro

mbona kipind kile cuf wapo juu hatukusema % kubwa ya viongoz wanatoka zanzibar nenda shule kama cc alafu omba kaz utapata.
 

sasa kama ana kigezo cha kupandishwa cheo asipandishwe kwa kuwa yeye mchaga?? Nenda shule ndugu majungu hayatakusaidia!
 

umesoma mpaka form 4 unasema umesoma?? Toa umbulula hapa kumbuka mchaga cku hiz ukisema una degree moja wenzako watakudharau cku hz 2nafkiria phd mbuz wewe
 
umesoma mpaka form 4 unasema umesoma?? Toa umbulula hapa kumbuka mchaga cku hiz ukisema una degree moja wenzako watakudharau cku hz 2nafkiria phd mbuz wewe

Tehetehetehetehetehetehetehe, lol! Haya bwana wewe mwenye Phd ya mdomo mchafu!
 
umesoma mpaka form 4
unasema umesoma?? Toa umbulula hapa kumbuka mchaga cku hiz ukisema una
degree moja wenzako watakudharau cku hz 2nafkiria phd mbuz wewe

Wee kweli mbulula! siku hizi kila kabila watu wamekanyaga vyuo vikuu,tatizo nyie mi mangi mnabana nafasi hata jitu likifikia kustaafu linatafuta mbinu ya kuongezwa mkataba! Michaga bana! sie twende wapi!?
 

acha nikwambie kama hujui. Pale ccp wanachukua kuanzia form4 mpaka hata masterz sawa?? Sasa kama hao wenye degree na masterz ni wachaga unataka yule mkuria na mkisiwani wa drs la 7 akafoji cheti cha form 4 ndo awe Rpc au Ocd?? Nenda shule acha majungu,
 
Hii ndio tabia ya wabongo kulalamika tu! na malalamishi yanawachukulia muda na nishati nyingi sana badala ya kufikiria mambo makubwa ya kimaendeleo.

Nyie endeleni kulalamika tu, federation ya EAC inakuja
 
mbona kipind kile cuf wapo juu hatukusema % kubwa ya viongoz wanatoka zanzibar nenda shule kama cc alafu omba kaz utapata.
Afu mwambie kazi ziko nyingi tu ambazo hazihitaji kwenda shule. Wivu wa kike utaujua tu

 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…