Kwa nini wachaga ni wabaguzi sana katika vyeo- bila kuwa mchaga hupandi cheo

Kwa nini wachaga ni wabaguzi sana katika vyeo- bila kuwa mchaga hupandi cheo

Status
Not open for further replies.
Hii haithibitishi chochote. Ni mtazamo finyu tu. Mbona husemi kwenye elimu darani more than 60% mara nyingi ni wachaga?

Sent using wireless by wire
 
Nakupa like sema tu natumia simu mkuu
Hii haithibitishi chochote. Ni mtazamo finyu tu. Mbona husemi kwenye elimu darani more than 60% mara nyingi ni wachaga?

Sent using wireless by wire
 
Si wabaguzi,ni kwamba wanavigezo vinavyo itajika
angalia cpa zote bongo wachaga ni asilimia ngapi?
 
mimi nimefanya kazi sehemu tano tofauti cha ajabu sijawahi kukutana na m.kwere hata mmoja kwenye maofisi hayo! Hivi wakwere ajira zao ni urais tu?
wapo wengi tu ila huwezi kuwatambua kirahisi kwa kuwa wanajua kiswahili tofauti na nyie mnaongea kama mna banja.
 
Hata Kama Mtoa mada kashambuliwa Na wachaga huo ndo ukweli wachaga wabinafsi sanaa
 
Wewe unafanya kazi ofisi ya takwimu nchini?????
Na.hizi takwimu umezipata wapi
 
Mleta mada wewe ndiyo mbaguzi...
Unajaribu kuhamasisha chuki dhidi ya wachaga
Umeweka habari isiyo na data za kutosha, mfano majina
ya hao ma-RPC wachaga, mameneja wa CRDB wachaga na
sifa gani zilizosababisha kupata nafasi walizo nazo, je wamebebwa
na kabila lao tuuu au kuna sifa nyingine zilizo wabeba?? Ni kwanini hujasema
kuhusu maprofesa wengi wa vyuo vikuu ni wachaga, madaktari wa binadamu
na wa Phd wengi ni wachaga, wataalamu wengi wa kilimo,elimu,sheria, kompyuta,na wengineo
ni wachaga. Wasiwasi wangu ni kuhusu upeo wako wa kufikiri...Ukianza kuwabagua wachaga
baadaye utawabagua Wanyakyusa, wahaya, Wakurya, Wakwere..na wengineo kwa sababu
tofauti. Jambo la muhimu ni kuwahimiza watu wa maeneo mengine waende KLM kujifunza
utamaduni wa wachaga ulivyo wasaidia kusonga mbele kimaendeleo na wala sio kuwa-victimize
wachaga wote waliopo makazini na ambao wanastahili kupata vyeo kutokana na elimu, ujuzi na
ufanisi wao kazini wasipandishwe vyeo kwakuwa wao ni wachaga na itaonekana wanapendelewa
au wamekuwa wengi mno hivyo zifanyike juhudi za kuwapunguza...hilo likitokea taifa hili litaangamia!!!
 
Sio kweli, inaweza kuonekana ni Ubaguzi, lakini sababu kubwa hasa ya hao unaowaita Wachaga kuchukua nafasi nyingi kubwa, ni kwamba Mkoa wa KLM ndio unaoongoza kwa Elimu TZ na imekuwa hivyo kwa sababu za kihistoria, Hakuna Mkoa ambao unatilia mkazo Elimu kama KLM, na hakuna Mkoa wenye shule nyingi kama KLM, na imekuwa hivyo kwa karibu miaka 100, hivyo haishangazi popote unapoenda TZ au nje ya TZ utakuta watu wa KLM ndio wana kazi nzuri!

Hata ukienda kwenye Vyuo Vikuu, vitengo vingi vinaongozwa na watu waliosoma KLM, ukienda Nairobi Kenya UN, ukiwa na mawazo kama yako utasema pia kuna Ubaguzi kwa maana karibu kila mfanyakazi Mtanzania utakayemuona amesomea mkoa wa KLM, sasa UN wanajua nini kuhusu huo unaouita Uchaga au sio Uchaga? hivyo sio Ubaguzi bali ni kwamba Mkoa wa KLM umebahatika kutambua umuhimu wa ELIMU tangu zamani sana kwa sababu za kihistoria!


Ni kweli kwamba KLM kuna shule nyingi sana na nyingine zilijengwa kwa hela za umma mlizokwapua. Hata hivyo kwa sasa siyo wote wanaoteuliwa kwenye sehemu nyeti ni matokeo ya perfomance, bali ni ukabila. Kwa kuthibitisha hilo, jiulize ni kwa nini huku mjini kuna vyama vingi sana vya wachaga kuanzia vyuoni hadi mtaani ilhali Kabila ni moja? Hapo ni dhahiri kuwa wanatengeneza mtandao uliompana zaidi. Ubaguzi huu kwa sasa umeenea hadi kwenye biashara ya bia, sukari na hardware. Bila ya kuwa mchaga huwezi kuwa supplier au agent. Na hata ukifuruku wakijua kuwa we si mchaga watakupiga vita mpaka ufunge au ufirisike.
 
jaribu kufikiri ni wachaga %ngapi wana sifa(kiwango cha elimu na uzoefu) zilizowapa hizo ajiri and then compare na hayo makabila mengine ktk uwiano wa %.

nini mtizamo wako, ulitaka kabila gani lihozi hizo position na kwa nini? je population yake ipo vip na elimu yao je?
unaonaje ukisisitiza ktk elimu juu ya hilo kabila unalotaka lihozi hizo nafasi alafu ukashauri wachaga wasipeleke watoto wao shule wawasubirini nanyie mpeleke wenu kwanza.
mtizamo wako haukujikita kuangalia namba ya idadi ya watu, kiwango cha elimu na juhudi binafsi za wahusika
vile vile sijui haya majina makubwa tunayoyasikia ya wanyakyusa ,wahaya na wamasai nao niwachaga? au
 
Hivi zinazoitwa sababu za kihistoria ndo zipi vile.....??.MAANA TUKIJUA HIZO SABABU ZA KIHISTORIA MAANA YAKE ITAKUWA VICEVERSA KWA WAIO WACHAGHA

Mleta mada wanaosapoti wote ni wakabila sana, ukweli ndio huo kwamba wachaga wameenda shule zaidi, lakini pia kuna makabila kama kama ya wahaya na wanyakusa wamejikuta wakiitwa wakabila sababu za woa kushika vitengo mbalimbali.Sababu za kihistoria ni pamoja wamishionari ambao ndio waleta shule kwa winngi walianza kuingia na kuanzisha shule kilimanjaro.Sababu hizohizo ndio zilizofanya mkoa wa Kilimanjjaro hususani uchagani kuwa na wakristo wengi kuliko watu wa dini nyingine. Kwahiyo, kwakuwa na wasomi wengi nafasi yao ya kuwa na watu walioshika vitengo vikubwa inaongezeka.Kudhihirisha haya mambo hayahusiani na ukabila, angalia vyeo kama RPC ambavyo niuteuzi wa raisi ambaye sio mchaga, lakini amewateua.
 
Sasa ndugu yangu shule ulifeli,unataka uajiriwe ukafanye kazi TRA itakuja kweli? %75 ya wananchi wa kilimanjaro wana huduma ya umeme na maji.shule zilizopo kilimanjaro ni %100,acha kulalamika nenda shule bro!
 
Ni kweli kwamba KLM kuna shule nyingi sana na nyingine zilijengwa kwa hela za umma mlizokwapua. Hata hivyo kwa sasa siyo wote wanaoteuliwa kwenye sehemu nyeti ni matokeo ya perfomance, bali ni ukabila. Kwa kuthibitisha hilo, jiulize ni kwa nini huku mjini kuna vyama vingi sana vya wachaga kuanzia vyuoni hadi mtaani ilhali Kabila ni moja? Hapo ni dhahiri kuwa wanatengeneza mtandao uliompana zaidi. Ubaguzi huu kwa sasa umeenea hadi kwenye biashara ya bia, sukari na hardware. Bila ya kuwa mchaga huwezi kuwa supplier au agent. Na hata ukifuruku wakijua kuwa we si mchaga watakupiga vita mpaka ufunge au ufirisike.
Acheni uzushi hamsikii mnayoambiwa na rais: hakuna ubaguzi. na kama sera za serikali zisingekinzana na maendeleo ya wachagga na kucounter juhudi zao baada ya uhuru wangekuwa mbali hii ni excerpt toka The Times magazine issue ya 1958 inaonesha hali ya wachagga wakati huo.

"Look What We Can Do!"Author: /time Magazine | Title: A Letter From The Publisher, Aug. 25, 1958 | 8/25/1958 |-See Source

ON the lower slopes of the Mount Kilimanjaro that Hemingway celebrated lives a tribe almost unique in Africa-Christian, prosperous (with a $6.000,000-to-$8,000.000 annual coffee crop), and ruled by a British-educated chief known as King Tom. the Seat of God to the-Chagga-tribesmen who live upon its lower slopes.Chagga-legend has it that the great god Ruwa liberated mankind by smashing a vessel in which the first humans were imprisoned and scattering them over the mountainside. Actually, the 360,000 people of-Chagga-land are a mixture of many tribes who for some five centuries have dwelt among Kilimanjaro'

The-Chagga-saga began in 1932 when, with the permission of the British, African coffee ... the largest purely native commercial enterprise in colonial Africa, has boosted the-Chagga-from a tribe barely subsisting to a well-fed people with cash in their pockets. Each year, through their union, the-Chagga-market a $6,000,000 to $8,000,000 coffee crop ... biweekly newspaper, run their own schools and hospitals.

Most important: the-Chagga-are their own masters. In their land, the whites work for the blacks-and both accomplish a lot. The KNCU's five-story headquarters in the town of Moshi is in itself a symbol of the-Chagga's progress. Built around a flowering courtyard of bougainvillaea and poinsettia, it not only houses offices and auction rooms, but also one of Tanganyika's few public libraries. Soon KNCU hopes to build a $15,000 community center for plays, concerts, art and agricultural exhibits.

Kama hawa mabwana wamewekeza katika elimu na kujikita ktk business namna pekee ya kuwachallenge ni kukazana na uwekezaji ktk elimu na biashara. ona mkinga alipo sasa kibiashara hapo napo utasema kuna upendeleo
 
tuuze lile shamba tumcheze mtoto ngoma hivi mnategemea nini hapo
 
wachagga again looh tumeanza kujadili makabila sasa....
 
Wachaga kwao elimuni assert na ni among common needs kwa binadamu baba heri afe maskini asomeshe wanae.wengine elimu ni liability hahahahwacheni wivu elimu ndio inakupandinsha cheo sio majungu na uchagga
 
Ni kweli kwamba KLM kuna shule nyingi sana na nyingine zilijengwa kwa hela za umma mlizokwapua. Hata hivyo kwa sasa siyo wote wanaoteuliwa kwenye sehemu nyeti ni matokeo ya perfomance, bali ni ukabila. Kwa kuthibitisha hilo, jiulize ni kwa nini huku mjini kuna vyama vingi sana vya wachaga kuanzia vyuoni hadi mtaani ilhali Kabila ni moja? Hapo ni dhahiri kuwa wanatengeneza mtandao uliompana zaidi. Ubaguzi huu kwa sasa umeenea hadi kwenye biashara ya bia, sukari na hardware. Bila ya kuwa mchaga huwezi kuwa supplier au agent. Na hata ukifuruku wakijua kuwa we si mchaga watakupiga vita mpaka ufunge au ufirisike.

kama huna mtaji utakuwaje na hardware? Huna wateja utasurvive vipi?bona biashara ya IT imeshikwa na wahindi hamuongei? mitanzania bana kulalamaaa badala ya kupeleka watoto shule! Mfano mi nipewa posn yangu ya sasa na mchanganyiko wa wahaya(9), mhehe(2), mzaramo(1), mkinga( 3) ,mchaga (2) , na wote waliridhia nipate wadhifa huu simply niliweka strategy tu being SMART kwa kazi zangu na kutobagua yeyoteee, hapa ukija hata huwezi jua nani ni nani! so mtoa mada huna hoja tafuta why chaggas zaidi? wakati nchi waala haiongozwi na wachagga! fanya research vyema
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom