jitombashisho
JF-Expert Member
- Jun 11, 2020
- 667
- 2,245
Ukweli ni kwamba pamoja na kukatika umeme kwa nyakati fulani wakati wa uongozi wa Magufuli lakini kero hiyo imezidi na kushamiri mno kipindi hiki cha miezi 6 baada ya kifo cha JPM.
Sielewi tatizo ni nini!
Sielewi tatizo ni nini!