polokwane
JF-Expert Member
- Dec 16, 2018
- 3,361
- 5,842
Kiholela vip tena mzee? we kama hutaki umeme ukatike achana na Tanesco tumia jua mzee, eti Tanesco wasifanye marekebisho ya miundo mbinu yao ya nguzo za zaman zilizo chakaa na kuoza kwa vile ni za mti eti kwa vile kuna wajinga wachache wanalinganisha ukatikaji wa umeme wakati wa Magufuli na Samia !!? Huo ni ujinga wa head.Afadhali mgao wa kimyakimya kuliko ukatikaji holela
Kuna marekebisho makubwa yanafanyika kwenye vituo vikuu vya umeme juzi tu msamvu pale paliwaka sasa we hutaki umeme ukatwe ili warekebishe?
Haya kuna kampeni ya kutoa nguzo za mti na kuweka nguzo za zege sijui unalijua hilo ? Na mpango umeanzia Dar ,sasa unataka wabadili nguzo huku umeme unawaka?
Mnajua kulalamika na sio kutafiti hivi unadhani mtu anajisikia tu kuzima switch halafu anapiga story sio.!?