Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yup haziji ivyo.... sema napenda c's unaeza kuibadlisha vyovyote vile na kufika popote pale[emoji3] [emoji3] [emoji3] ...
Jeep Wrangler sio?
Jeep ni gari kwa ajili ya off-road...Yup haziji ivyo.... sema napenda c's unaeza kuibadlisha vyovyote vile na kufika popote pale![]()
Mkuu Ahsante kwa nondo nzuri.Ukiangalia reviews nyingi za magari mwaka huu... G-wagon imescore marks ndogo sana.
Wakati huo huo Range Rover imechukua marks nyingi kiasi cha kupewa "Editors Choice" kuanzia Top Gear,Car Connection na Car and the Driver.
Hii ni kwa kuwa Range Rover imekua stable On and Off-road... Na lile tatizo la kuwa eti Range Rover haidumu bila kwenda Garage limeshachimbiwa kaburi.
Tatizo pekee sasa la Range Rover ni sky high price... Bei yake kweli ni nondo.
G-wagon imekuwa stable off-road but sio stable on-road pia imekuwa na fuel economy mbaya zaidi yani inakula mafuta sio mchezo.
Pia comfort na handling ya gari ni nzuri sana kwenye Range Rover kuliko G-wagon.
So Range Rover ndio mshindi hapo.
Hilo neno!!!!Wengi wanapenda range rover coz wananunua body botswana huko mil.10 then wanakuja kupachika injini ya discovery 3 Td5 bei chee tu.....wakimaliza wanaenda sinza kununua card ya range lililopata ajali then wanapachika namba maisha yanaenda
Hata Mimi ni muumini mzuri sana wa Manual transmissionManual transmission yoyote ipo kibabe zaidi, mimi ni muumini mwenzio wa manual gear.
hao wa kuvaa makobazi ni namna walivopata hela zao msharti magumu bro hela ambazo sio halali ndo mateso yake mwngne ana jumba kubwa vitanda vya bei ghali lkn hawalali vitandani ...Mi nataka Rav4.hujaona kuna watu wana pesa chafu lakini wanatembelea Escudo.hujawahi ona?ni sawa na mwingine ana pesa lakini anavaaga makobazi hayana shepu,mwingine masikini lakini anapiga ngwasuma ya laki na20
Mbona sijawahi shuhudia mtu anashuka kwenye ndinga kali, afu yuko peku!! Hizo huwa ni fununu tuhao wa kuvaa makobazi ni namna walivopata hela zao msharti magumu bro hela ambazo sio halali ndo mateso yake mwngne ana jumba kubwa vitanda vya bei ghali lkn hawalali vitandani ...
maisha haya.....
mwingine ana V8 lakini yuko peku mda wote ukimuuliza anakwambia nataka nisikie joto halisi la ardhi yangu....ha ha ha tusidanganyane jamani
Hiyo ni land cruiser v8 mkuu wamefanya minor tweaks kwenye body na ndani pia wakaweka logo ya lexus.
Mbona umewaza kimaskini....sana au unaCopy kwa mtakatifu kila mwenye Hela kwake ni AduiGari za wauza madawa ya kulevya bongo
changanua akili we nyerere umewahi muona live?? akakwambia kuhusu alivo?? mbna unaweza kaa ukamuelezea alivyo ....sio kila kitu ushuhudie kwa macho na kwa akili ya kawaida sijasema watu wenye v8 ...bali kuna mtu hata me sijamshuhudia ila alikiri mwenyeweMbona sijawahi shuhudia mtu anashuka kwenye ndinga kali, afu yuko peku!! Hizo huwa ni fununu tu
Huwa nazikubari sana hizi, zinaitwaje kweli?![]()
Gari zetu wenye vipato vya ngada.