Mizania
JF-Expert Member
- May 17, 2023
- 3,812
- 3,277
Utasema yoyote ila ukweli utabaki kuwa yeye Dr. Samia ndiye Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania! Upende usipende!rais wa mchongo tulipatiwa na mauti.
a product of death.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utasema yoyote ila ukweli utabaki kuwa yeye Dr. Samia ndiye Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania! Upende usipende!rais wa mchongo tulipatiwa na mauti.
a product of death.
Hutendi haki mkuu tusubiri angalau amalize miaka 5 ili tuweze kumlinganisha na Magufuli au amalize miaka 10 ili tuweze kumlinganisha na Mwinyi, Mkapa na Kikwete. Ni mapema mno.Samia kafanya nini kwenye uchumi?
GDP yetu kaikuza kwa kiasi gani?
Kipato cha mwananchi kimeongezeka kwa kiasi gani?
Kaiondoa nchi kwenye utegemezi wa wafadhili?
Sifa zote za kuitwa hivyo anazo, hususan akiweza kuleta katiba mpya. Hakika atastahili kuitwa mama wa taifa!Ilibaki kidogo wampachike cheo cha Mama wa Taifa.
Nyerere alijua kujenga hoja,lakini pia kubomoa. Hoja aliyoijenga kuibomoa ilikuwa shughuliNi watu ambao wamewahi kuandika makala zilizochapishwa na magazeti na majarida mbali mbali duniani. Ni watu ambao wameshaahiriki kwenye mijadala mikubwa ya kimataifa na kutoa, kujenga, na kutetea hoja zao kwa umahiri mkubwa sana huku wakiwa na ‘command ya facts’ isiyo na mashaka.
Ukweli ni kwamba PhD aliyopewa Rais Samia sio feki na wala sio ya mchongo, kapewa na maprofesa kutoka chuo kinacho tambulika, hadharani na mchana kweupee!Sasa mtu form tu hapo alifaulu kibahati huko mbeleni PhD ya class angemudu kweli, muache bhn apewe hiyohiyo ya mchongo/fake ndio size yake!.
Ukweli ni kwamba PhD aliyopewa Rais Samia sio feki wala ya mchongo, kapewa na maprofesa kutoka chuo kinacho tambua, hadharani na mchana kweupee!
Anahongwa ili atoe raslimali bure. Kilaza wahead tarishi aliyefeli form iv. Aliyebahatika kuwa rais WA nchiNaona kama vile kuna watu hapa nchini waonao mtu kupewa ule udaktari wa heshima ni sawa na ule wa kuusomea.
Ukweli ni kwamba, si sawa hata kidogo.
Juzi hapa Rais wenu kapewa tena udaktari wa heshima huko India.
Tayari sasa katika utambulisho wake, watu wameshaanza kumwita eti Dr. Samia Suluhu Hassan.
Naye kwa kupenda ujiko, hata hagomi kuitwa hivyo.
Yupo tu anachekelea na kufurahia.
Now let’s face it. Katika hali ya kawaida, Samia hana uwezo wa kusoma na kufaulu mpaka kiwango cha PhD.
Kuna watu unaona kabisa huyu ana uwezo huo. Mfano Julius Nyerere au Benjamin Mkapa.
Hao ukiwasikiliza tu hata vile waongeavyo kuhusu mada mbali mbali, unauona kabisa uwezo wao.
Ni watu ambao wamewahi kuandika makala zilizochapishwa na magazeti na majarida mbali mbali duniani. Ni watu ambao wameshaahiriki kwenye mijadala mikubwa ya kimataifa na kutoa, kujenga, na kutetea hoja zao kwa umahiri mkubwa sana huku wakiwa na ‘command ya facts’ isiyo na mashaka.
Hao hata wakipewa udaktari wa heshima, mtu unaona kweli wanastahili maana hata wangeamua kupitia mkondo wa elimu, huo udaktari wangeupata tu.
Ila huyu tuliyenaye sasa, hana uwezo wa kupitia mkondo wa elimu na kuipata Phd.
Huo udaktari wake wa kupewa, unatokana na yeye kubahatika tu kuwa Rais.
Hana uwezo wa kuwa PhD wa ukweli…..
Na yule wa awamu ya 4 pia hana huo uwezo. Labda akiamua kupata hizi za mtaani za kughushi kwa kununua.Ila huyu tuliyenaye sasa, hana uwezo wa kupitia mkondo wa elimu na kuipata Phd.
Lakini ni watu wenyewe wanamuita..Maza alitakiwa awe muungwana kwa kukataa kuitwa Dr.
..Wanaoitwa Dr ktk mazingira ya kawaida ni Madaktari wanaouguza hospitalini.
..Wenye shahada za Uzamifu / PhD huitwa Dr wakiwa miongoni mwa wanataaluma wenzao ktk shughuli zao za kitaalamu. Wakiwa ktk shughuli nyingine yoyote ile hawatumii utambulisho huo.
Anna, yeye mwenyewe akiwa discourage watu kumwita hivyo, na wao wataacha.Lakini ni watu wenyewe wanamuita
Hajiiti yeye mwenyewe.
Anyway,hongera kwake.
Anapenda kuitwa ndio maana anakaa kimya.Anna, yeye mwenyewe akiwa discourage watu kumwita hivyo, na wao wataacha.
Nadhani Nyerere na Mkapa walikataa kuitwa watukufu na tokea hapo sikusikia tena wakiitwa watukufu!
"Mkapa alikataa kuitwa Mtukufu" - Dkt Kijo Bisimba | East Africa Television
Aliyewahi kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), Dkt Hellen Kijo Bisimba, amesema kuwa wakati wa uongozi wake Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu Marehemu Benjamin William Mkapa alikataa kabisa kuitwa jina la mtukufu.www.eatv.tv
Ila watu mna chuki..Sasa ndio nini hii umeandika..yeye ndiye rais wako..unafikiri hiyo nafasi ameipata kwa upendeleo...acha chuki..pambana na Hali yako..Naona kama vile kuna watu hapa nchini waonao mtu kupewa ule udaktari wa heshima ni sawa na ule wa kuusomea.
Ukweli ni kwamba, si sawa hata kidogo.
Juzi hapa Rais wenu kapewa tena udaktari wa heshima huko India.
Tayari sasa katika utambulisho wake, watu wameshaanza kumwita eti Dr. Samia Suluhu Hassan.
Naye kwa kupenda ujiko, hata hagomi kuitwa hivyo.
Yupo tu anachekelea na kufurahia.
Now let’s face it. Katika hali ya kawaida, Samia hana uwezo wa kusoma na kufaulu mpaka kiwango cha PhD.
Kuna watu unaona kabisa huyu ana uwezo huo. Mfano Julius Nyerere au Benjamin Mkapa.
Hao ukiwasikiliza tu hata vile waongeavyo kuhusu mada mbali mbali, unauona kabisa uwezo wao.
Ni watu ambao wamewahi kuandika makala zilizochapishwa na magazeti na majarida mbali mbali duniani. Ni watu ambao wameshaahiriki kwenye mijadala mikubwa ya kimataifa na kutoa, kujenga, na kutetea hoja zao kwa umahiri mkubwa sana huku wakiwa na ‘command ya facts’ isiyo na mashaka.
Hao hata wakipewa udaktari wa heshima, mtu unaona kweli wanastahili maana hata wangeamua kupitia mkondo wa elimu, huo udaktari wangeupata tu.
Ila huyu tuliyenaye sasa, hana uwezo wa kupitia mkondo wa elimu na kuipata Phd.
Huo udaktari wake wa kupewa, unatokana na yeye kubahatika tu kuwa Rais.
Hana uwezo wa kuwa PhD wa ukweli…..
It's savvy 😆😆Phd ya kuuza bandari
Ahsante umempa vidonge vyake.. Watanzania tupendane na tumuunge mkono rais wetu...hakuna mwenye hati miliki ya nchi hii..nchi hii ni yetu sote na tuipende na kuilinda..tuwakatae kwa nguvu zetu zote watu wote wanaotaka kupanda mbegu za chuki za kikabila, kidini, kirangi,kikanda na hata kijinsia..Shime Watanzania tupendane na kuvumiliana kwa misingi ya tofauti zetu.Wewe mwaka huu utaugua kwa chuki zako kwa mh Rais. Najuwa kinachokutesa sana ni chuki zako binafsi kwa mh Rais,ukabila uliokujaa akilini mwako na ukipofu wako wa akili na mawazo ambao umekufanya ugote na kufika mwisho katika kufikiri.wewe ni wale mliokuwa hamtaki Rais wetu awe Rais.wewe ni wale mliooedelea kukesha usiku na mchana kutaka kuona Rais wetu anashindwa kuongoza Taifa letu.wewe ni wale mliokuwa mkiomba dua mbaya kwa Rais wetu ili asifanikiwe katika mpango wa aina yoyote ile wa kiuchumi na kimaendeleo kwa Taifa letu.
Sasa baada ya kuona mmeshindwa katika Dua zenu zote,baada ya kuona Rais samia anaendelea kukubalika na kupendwa na watanzania,kukubalika nje ya nchi,kutambulika mchango wake kimataifa katika ustawi wa Taifa letu na kuifanya Tanzania kuwa kimbilio la wengi,baada ya kueleweka na kupongezwa na jumuiya za kimataifa kutokana na utawala bora wenye kuheshimu haki za binadamu na kuzingatia haki na usawa katika kuendesha nchi yetu mmebakia mnaumia sana,mnateseka sana na hamuelewi mfanye nini ,maana mnaona Rais samia akiendelea kuchanja mbuga katika mioyo ya watanzania na kuendelea kupata heshima na uungwaji mkono kutoka kila kona ya dunia.
Kaeni tu kwa kutulia maana Rais samia ni mpango wa Mungu na ameimulika na Mungu na siyo na mkono wa mwanadamu na hivyo hawezi kushushwa na mwanadamu aina yako mwemye chuki binafsi na ubaguzi wa kijinga.watanzania Tupo bega kwa bega na Rais wetu na tunaendelea kumuunga mkono usiku na mchana,maana kupitia yeye tumepata matumaini ya kila mtu kutimiza ndoto zake.
Watanzania tunajionea kwa macho yetu namna uchumi wetu unavyokua kwa kasi na namna kila mmoja wetu anavyoguswa na ukuaji huo wa uchumi, tunashuhudia namna huduma za kijamii zinavyoboreshwa na kusogezwa jirani ya watanzania.
Wenye akili wametambua uwezo wa Rais samia na mchango wake katika ustawi wa watu,sasa wewe na umbumbumbu wako ni nani ubishane na wenye akili? Una akili gani hapo ulipo? Kipi ulichokifanya kwa Taifa letu cha kumzidi Rais wetu? Zaidi ya kupiga soko lako la kibaguzi ni nini cha mafanikio chenye kugusa maisha ya watu ulichokifanya na unachoweza kukionyesha kwa watanzania?
Tuondolee mikosi na nuksi zako hapa.Tuachie Rais wetu na uwe na adabu kwa Rais wetu.wewe endelea kuhangaika huko huko nje ya nchi wakati sisi tunaendelea kulijenga Taifa letu kwa mikono yetu kwa kushirikiana na Rais wetu aliye mstari wa mbele katika kulitumikia Taifa letu kwa uzalendo uliotukuka.
Acha chuki wewe..Anahongwa ili atoe raslimali bure. Kilaza wahead tarishi aliyefeli form iv. Aliyebahatika kuwa rais WA nchi