Kwa njia za kawaida, uwezo huo hauna. Ila kiheshima, eti unao….

Kwa njia za kawaida, uwezo huo hauna. Ila kiheshima, eti unao….

Sasa mtu form tu hapo alifaulu kibahati huko mbeleni PhD ya class angemudu kweli, muache bhn apewe hiyohiyo ya mchongo/fake ndio size yake!.
 
Wanapewa kwa sababu wanaowapa wanajipendekeza tu, huyo bimdashi ana mchango mkubwa? Upi?
Wahindi wamepata taarifa za kiintelijensia kuwa Bibi anapenda sana sifa na nchini kwake ana vikundi vya kumsifia maarufu Chawa;Wazee wa kazi wa India wakapendekeza kwa PM Modi kuwa akija mpeni PhD ya mchongo ili waendelee kula mema ya nchi ya Tanzania.
 
Rais anaweza kuitumia bully pulpit yake ku - discourage huo utambulisho anaopewa.

Hafanyi hivyo. Tafsiri hapo ni anapenda sifa za uongo uongo.

Hivi JWTZ nao wakiamua kumpa ujenerali wa heshima au ufield marshall wa heshima, napo ataanza kutambulishwa kama Jenerali au Field Marshall Samia Suluhu Hassan?
Muacheni Mama Abdul jamani!🤣🤣🤣🤣
 
Naona kama vile kuna watu hapa nchini waonao mtu kupewa ule udaktati wa heshima ni sawa na ule wa kuusomea.

Ukweli ni kwamba, si sawa hata kidogo.

Juzi hapa Rais wenu kapewa tena udaktari wa heshima huko India.

Tayari sasa katika utambulisho wake, watu wameshaanza kumwita eti Dr. Samia Suluhu Hassan.

Naye kwa kupenda ujiko, hata hagomi kuitwa hivyo.

Yupo tu anachekelea na kufurahia.

Now let’s face it. Katika hali ya kawaida, Samia hana uwezo wa kusoma na kufaulu mpaka kiwango cha PhD.

Kuna watu unaona kabisa huyu ana uwezo huo. Mfano Julius Nyerere au Benjamin Mkapa.

Hao ukiwasikiliza tu hata vile waongeavyo kuhusu mada mbali mbali, unauona kabisa uwezo wao.

Ni watu ambao wamewahi kuandika makala zilizochapishwa na magazeti na majarida mbali mbali duniani. Ni watu ambao wameshaahiriki kwenye mijadala mikubwa ya kimataifa na kutoa, kujenga, na kutetea hoja zao kwa umahiri mkubwa sana huku wakiwa na ‘command ya facts’ isiyo na mashaka.

Hao hata wakipewa udaktari wa heshima, mtu unaona kweli wanastahili maana hata wangeamua kupitia mkondo wa elimu, huo udaktari wangeupata tu.

Ila huyu tuliyenaye sasa, hana uwezo wa kupitia mkondo wa elimu na kuipata Phd.

Huo udaktari wake wa kupewa, unatokana na yeye kubahatika tu kuwa Rais.

Hana uwezo wa kuwa PhD wa ukweli…..
Kuna mtu alipata PhD ya mafuta ya korosho! Waliojaribu kuhoji juu ya hiyo PhD walipotea mpaka leo familia zao hazijui wako wapi.

Normal people like you think PhD is something.....but anyone can get it.
 
Naona kama vile kuna watu hapa nchini waonao mtu kupewa ule udaktati wa heshima ni sawa na ule wa kuusomea.

Ukweli ni kwamba, si sawa hata kidogo.

Juzi hapa Rais wenu kapewa tena udaktari wa heshima huko India.

Tayari sasa katika utambulisho wake, watu wameshaanza kumwita eti Dr. Samia Suluhu Hassan.

Naye kwa kupenda ujiko, hata hagomi kuitwa hivyo.

Yupo tu anachekelea na kufurahia.

Now let’s face it. Katika hali ya kawaida, Samia hana uwezo wa kusoma na kufaulu mpaka kiwango cha PhD.

Kuna watu unaona kabisa huyu ana uwezo huo. Mfano Julius Nyerere au Benjamin Mkapa.

Hao ukiwasikiliza tu hata vile waongeavyo kuhusu mada mbali mbali, unauona kabisa uwezo wao.

Ni watu ambao wamewahi kuandika makala zilizochapishwa na magazeti na majarida mbali mbali duniani. Ni watu ambao wameshaahiriki kwenye mijadala mikubwa ya kimataifa na kutoa, kujenga, na kutetea hoja zao kwa umahiri mkubwa sana huku wakiwa na ‘command ya facts’ isiyo na mashaka.

Hao hata wakipewa udaktari wa heshima, mtu unaona kweli wanastahili maana hata wangeamua kupitia mkondo wa elimu, huo udaktari wangeupata tu.

Ila huyu tuliyenaye sasa, hana uwezo wa kupitia mkondo wa elimu na kuipata Phd.

Huo udaktari wake wa kupewa, unatokana na yeye kubahatika tu kuwa Rais.

Hana uwezo wa kuwa PhD wa ukweli…..
Kwa sababu hii PhD ni ya pili, chawa wa mama watanza kumwita kwa zote mbili yaani Mheshimiwa Dr, Dr....
 
Naona kama vile kuna watu hapa nchini waonao mtu kupewa ule udaktati wa heshima ni sawa na ule wa kuusomea.

Ukweli ni kwamba, si sawa hata kidogo.

Juzi hapa Rais wenu kapewa tena udaktari wa heshima huko India.

Tayari sasa katika utambulisho wake, watu wameshaanza kumwita eti Dr. Samia Suluhu Hassan.

Naye kwa kupenda ujiko, hata hagomi kuitwa hivyo.

Yupo tu anachekelea na kufurahia.

Now let’s face it. Katika hali ya kawaida, Samia hana uwezo wa kusoma na kufaulu mpaka kiwango cha PhD.

Kuna watu unaona kabisa huyu ana uwezo huo. Mfano Julius Nyerere au Benjamin Mkapa.

Hao ukiwasikiliza tu hata vile waongeavyo kuhusu mada mbali mbali, unauona kabisa uwezo wao.

Ni watu ambao wamewahi kuandika makala zilizochapishwa na magazeti na majarida mbali mbali duniani. Ni watu ambao wameshaahiriki kwenye mijadala mikubwa ya kimataifa na kutoa, kujenga, na kutetea hoja zao kwa umahiri mkubwa sana huku wakiwa na ‘command ya facts’ isiyo na mashaka.

Hao hata wakipewa udaktari wa heshima, mtu unaona kweli wanastahili maana hata wangeamua kupitia mkondo wa elimu, huo udaktari wangeupata tu.

Ila huyu tuliyenaye sasa, hana uwezo wa kupitia mkondo wa elimu na kuipata Phd.

Huo udaktari wake wa kupewa, unatokana na yeye kubahatika tu kuwa Rais.

Hana uwezo wa kuwa PhD wa ukweli…..
Chiizi wa chatttle mbona alikuwa 'na elimu ya magumashi,

Ww mbbwa piga kelele,lakini samia ndo rais hadi 2040 inshallah,baada ya katiba mpya anapiga tena miaka kumi,waziri mkuu atakuwa Januari makamba,makamu kinana .
 
Alafu Machawa wake hawajui ata masharti ya matumizi ya Honoris causa degrees.Hurusiwi kuitumia katika utambulisho wako kama wale Academician waliopata darasani na ndiyo maana ata kwenye CV Honoris causa degree aiwekwi kwenye list ya Academic Background ila inawekwa kwenye list ya AWARDS!
Eti Dr Samia Suluhu Hasan!!!🤣🤣🤣
Dr Dr Samia Suluhu Hassan. Hapo vipi?
 
Naona kama vile kuna watu hapa nchini waonao mtu kupewa ule udaktati wa heshima ni sawa na ule wa kuusomea.

Ukweli ni kwamba, si sawa hata kidogo.

Juzi hapa Rais wenu kapewa tena udaktari wa heshima huko India.

Tayari sasa katika utambulisho wake, watu wameshaanza kumwita eti Dr. Samia Suluhu Hassan.

Naye kwa kupenda ujiko, hata hagomi kuitwa hivyo.

Yupo tu anachekelea na kufurahia.

Now let’s face it. Katika hali ya kawaida, Samia hana uwezo wa kusoma na kufaulu mpaka kiwango cha PhD.

Kuna watu unaona kabisa huyu ana uwezo huo. Mfano Julius Nyerere au Benjamin Mkapa.

Hao ukiwasikiliza tu hata vile waongeavyo kuhusu mada mbali mbali, unauona kabisa uwezo wao.

Ni watu ambao wamewahi kuandika makala zilizochapishwa na magazeti na majarida mbali mbali duniani. Ni watu ambao wameshaahiriki kwenye mijadala mikubwa ya kimataifa na kutoa, kujenga, na kutetea hoja zao kwa umahiri mkubwa sana huku wakiwa na ‘command ya facts’ isiyo na mashaka.

Hao hata wakipewa udaktari wa heshima, mtu unaona kweli wanastahili maana hata wangeamua kupitia mkondo wa elimu, huo udaktari wangeupata tu.

Ila huyu tuliyenaye sasa, hana uwezo wa kupitia mkondo wa elimu na kuipata Phd.

Huo udaktari wake wa kupewa, unatokana na yeye kubahatika tu kuwa Rais.

Hana uwezo wa kuwa PhD wa ukweli…..
Tatizo kubwa la nchi Sasa hivi ni:

  • Uchawa
  • Kuwa na viongozi wanaoabudu pesa, na uwezo mdogo vichwani.
 

Attachments

  • Polish_20230127_174111622.jpg
    Polish_20230127_174111622.jpg
    127 KB · Views: 1
Naona kama vile kuna watu hapa nchini waonao mtu kupewa ule udaktati wa heshima ni sawa na ule wa kuusomea.

Ukweli ni kwamba, si sawa hata kidogo.

Juzi hapa Rais wenu kapewa tena udaktari wa heshima huko India.

Tayari sasa katika utambulisho wake, watu wameshaanza kumwita eti Dr. Samia Suluhu Hassan.

Naye kwa kupenda ujiko, hata hagomi kuitwa hivyo.

Yupo tu anachekelea na kufurahia.

Now let’s face it. Katika hali ya kawaida, Samia hana uwezo wa kusoma na kufaulu mpaka kiwango cha PhD.

Kuna watu unaona kabisa huyu ana uwezo huo. Mfano Julius Nyerere au Benjamin Mkapa.

Hao ukiwasikiliza tu hata vile waongeavyo kuhusu mada mbali mbali, unauona kabisa uwezo wao.

Ni watu ambao wamewahi kuandika makala zilizochapishwa na magazeti na majarida mbali mbali duniani. Ni watu ambao wameshaahiriki kwenye mijadala mikubwa ya kimataifa na kutoa, kujenga, na kutetea hoja zao kwa umahiri mkubwa sana huku wakiwa na ‘command ya facts’ isiyo na mashaka.

Hao hata wakipewa udaktari wa heshima, mtu unaona kweli wanastahili maana hata wangeamua kupitia mkondo wa elimu, huo udaktari wangeupata tu.

Ila huyu tuliyenaye sasa, hana uwezo wa kupitia mkondo wa elimu na kuipata Phd.

Huo udaktari wake wa kupewa, unatokana na yeye kubahatika tu kuwa Rais.

Hana uwezo wa kuwa PhD wa ukweli…..
Una hoja japo nyuma ya pazia....Wasukuma mmegoma kumkubali Samia kabisa🤣🤣🤣🤣
 
Now let’s face it. Katika hali ya kawaida, Samia hana uwezo wa kusoma na kufaulu mpaka kiwango cha PhD.
I'd like to differ, PhD za kusomea ziko za aina mbili, by thesis, and course work and dissertation.

PhD nazo pia ni relative zinafuata principles za relativity, sisi Tanzania na vyuo vingi duniani vina PhD za academic, lakini sasa dunia imebadilika, kuna PhD za lobbying and advocacy, kuna PhD za negotiation wahitimu wanaitwa the negotiators, kuna PhD za interior decorators, kuna PhD za hair stylish, kuna PhD hadi za comedy!, India kuna hadi PhD za magic, kuna PhD za public speaking, kuna PhD za strategic thinking, kuna PhD za peace and reconciliation, etc etc.

Kwa Samia anayoyafanya kwenye eneo la kuliponya taifa letu kwa yale tuliyopitia kipindi cha yule Homeboy wetu, maridhiano, kuunda kikosi kazi, anakwenda kubadili sheria ya uchaguzi na kutuundia Tume Huru ya Uchaguzi, mwisho anatuletea katiba mpya, tungekuwa na vyuo vikuu vyenye study hiyo, Samia angeweza kabisa kupata PhD ya thesis.
P
 
Back
Top Bottom