Kwa njia za kawaida, uwezo huo hauna. Ila kiheshima, eti unao….

Samia kafanya nini kwenye uchumi?

GDP yetu kaikuza kwa kiasi gani?

Kipato cha mwananchi kimeongezeka kwa kiasi gani?

Kaiondoa nchi kwenye utegemezi wa wafadhili?
Hutendi haki mkuu tusubiri angalau amalize miaka 5 ili tuweze kumlinganisha na Magufuli au amalize miaka 10 ili tuweze kumlinganisha na Mwinyi, Mkapa na Kikwete. Ni mapema mno.
 
Nyerere alijua kujenga hoja,lakini pia kubomoa. Hoja aliyoijenga kuibomoa ilikuwa shughuli
Mfano, alikuwa mmoja wa viongozi 6 Duniani walioaminiwa kushughulikia suala la ''Disarmament' wakati wa cold war
Nyerere akachaguliwa kuwa mwenyekiti wa south south commission
Vitu hivi tu viwili vinaonyesha Dunia ilijua kuna mtu inayoweza kumtumia, Udaktari wala haukuhitaji kusoma tena

Mkapa: Alijenga hoja kuhusu Wakimbizi wa Rwanda na Burundi na namna ya kutatua tatizo, Dunia ikamsikiliza
Mkapa alisimama peke yake katika common wealth na kuitetea Zimbabwe kama msemaji wa Afrika. Peke yake

Niishie hapo tu
 
Sasa mtu form tu hapo alifaulu kibahati huko mbeleni PhD ya class angemudu kweli, muache bhn apewe hiyohiyo ya mchongo/fake ndio size yake!.
Ukweli ni kwamba PhD aliyopewa Rais Samia sio feki na wala sio ya mchongo, kapewa na maprofesa kutoka chuo kinacho tambulika, hadharani na mchana kweupee!
 
Ukweli ni kwamba PhD aliyopewa Rais Samia sio feki wala ya mchongo, kapewa na maprofesa kutoka chuo kinacho tambua, hadharani na mchana kweupee!

..mtoa mada anadai aliyepewa ndio feki, hana uwezo wa kupata PhD kwa kuisomea.

..je, wewe unaamini Maza ana uwezo wa kielimu na kitaalum kupata PhD?

..Maza amewahi kuandika makala yoyote ktk maarifa ya kitaalam?

..Maza amewahi kuandika kitabu chochote kudhihirisha usomi wake?

..Maza amewahi kualikwa popote na wasomi kutoa mhadhara na kuulizwa maswali kutokana na mada aliyowasilisha?
 
Anahongwa ili atoe raslimali bure. Kilaza wahead tarishi aliyefeli form iv. Aliyebahatika kuwa rais WA nchi
 
Ila huyu tuliyenaye sasa, hana uwezo wa kupitia mkondo wa elimu na kuipata Phd.
Na yule wa awamu ya 4 pia hana huo uwezo. Labda akiamua kupata hizi za mtaani za kughushi kwa kununua.
Ila yule mtaalamu wa kemia yeye uwezo alikuwa nao 100%. Anaungana na akina Nyerere na Che-Nkapa.
 
Lakini ni watu wenyewe wanamuita
Hajiiti yeye mwenyewe.

Anyway,hongera kwake.
 
Lakini ni watu wenyewe wanamuita
Hajiiti yeye mwenyewe.

Anyway,hongera kwake.
Anna, yeye mwenyewe akiwa discourage watu kumwita hivyo, na wao wataacha.

Nadhani Nyerere na Mkapa walikataa kuitwa watukufu na tokea hapo sikusikia tena wakiitwa watukufu!

 
Anapenda kuitwa ndio maana anakaa kimya.

Toka wampe ile UD,ghafla wakaanza kumuita Dr...
Naye hata hashtuki😆
 
"PhD ya heshima ni bora kuliko PhD ya darasani" Profesa Palamagamba John Kabudi
 
Ila watu mna chuki..Sasa ndio nini hii umeandika..yeye ndiye rais wako..unafikiri hiyo nafasi ameipata kwa upendeleo...acha chuki..pambana na Hali yako..
 
Ahsante umempa vidonge vyake.. Watanzania tupendane na tumuunge mkono rais wetu...hakuna mwenye hati miliki ya nchi hii..nchi hii ni yetu sote na tuipende na kuilinda..tuwakatae kwa nguvu zetu zote watu wote wanaotaka kupanda mbegu za chuki za kikabila, kidini, kirangi,kikanda na hata kijinsia..Shime Watanzania tupendane na kuvumiliana kwa misingi ya tofauti zetu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…