Kwa Ofa zifuatazo kwa Mayele mnapoteza muda Kumlamba Miguu yake ili abakie Yanga SC

Kwa Ofa zifuatazo kwa Mayele mnapoteza muda Kumlamba Miguu yake ili abakie Yanga SC

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Klabu ya Misri iko tayari kuipa Yanga SC Billioni 2 na Kumpa Mshahara wa Tsh Milioni 85 za Kitanzania kwa Mwezi.

Klabu nyingine huko Saudi Arabia iko tayari kuipa Yanga SC Billioni 1.5 na Mshahara wa Tsh Milioni 70 kwa Mwezi.

Ni Mwendawazimu tu pekee ndiyo ataziacha hizi Ofa ili abakie Tanzania kwakuwa anapendwa na kufanywa Mfalme huku akilambwa Miguu ili abakie Ligi Kuu ya NBC.
 
Unajisikiaje kuandika kitu AMBACHO huna uhakika nacho...

Shida unapenda sana story za vijiwe vya kahawa.

Katika WATU wanaotudhalilisha mashabiki WA Simba hapa JF upo????

Baada ya kushinikiza usajili WA MAANA ndani ya kllabu yako UNAHANGAIKA na mayele.

Simba Hadi sasa hakunakiungo 6..
Hakuna beki no 5 akiumia Inonga au malone

Hata kugawana mazoezini ni mtihani maana Wana Mabeki 3 tu.
MSIMU uliopita walikuwa na Mabeki WA kati 5 na 6 kitaka Nyoni.

FIKICHA AKILI
 
P
Klabu ya Misri iko tayari kuipa Yanga SC Billioni 2 na Kumpa Mshahara wa Tsh Milioni 85 za Kitanzania kwa Mwezi.

Klabu nyingine huko Saudi Arabia iko tayari kuipa Yanga SC Billioni 1.5 na Mshahara wa Tsh Milioni 70 kwa Mwezi.

Ni Mwendawazimu tu pekee ndiyo ataziacha hizi Ofa ili abakie Tanzania kwakuwa anapendwa na kufanywa Mfalme huku akilambwa Miguu ili abakie Ligi Kuu ya NBC.
Pamban na.simba yako.mamb ya yanga tuachie wenyewe tuyamalize
 
Mkuu labda mtoa mada ni mke wa Mayele mume wake kamwambia details zote hizo. Usimdharau mtu usie mjua mkuu sisi tunamdharau mtoa mada kumbe huenda ni mke wa star wa soka la bongo

Huyu jamaa anazidi kujishusha heshima yake kwa Kasi sana hapa Jamii Forum.


Huwa anaokota sana Story VIJIWENI na bila ku DIGEST anapitiliza nazo hapa JF.

Nadhani tuungane kumshauri AJISAHIHISHE.
 
Unajisikiaje kuandika kitu AMBACHO huna uhakika nacho...

Shida unapenda sana story za vijiwe vya kahawa.

Katika WATU wanaotudhalilisha mashabiki WA Simba hapa JF upo????

Baada ya kushinikiza usajili WA MAANA ndani ya kllabu yako UNAHANGAIKA na mayele.

Simba Hadi sasa hakunakiungo 6..
Hakuna beki no 5 akiumia Inonga au malone

Hata kugawana mazoezini ni mtihani maana Wana Mabeki 3 tu.
MSIMU uliopita walikuwa na Mabeki WA kati 5 na 6 kitaka Nyoni.

FIKICHA AKILI
Sasa mkuu, unataka afanyaje?atoe hela ya usajili? Hili jukumu unalotaka alifanye Mo mwenyewe nasikia katweet huko mambo ya transformation. Wanasimba tunamwangalia tu.
 
Popoma amechokwa na wanasimba wenzanke, hii inajulisha kuwa wanasimba wamevurugwa na hawana furaha
 
Klabu ya Misri iko tayari kuipa Yanga SC Billioni 2 na Kumpa Mshahara wa Tsh Milioni 85 za Kitanzania kwa Mwezi.

Klabu nyingine huko Saudi Arabia iko tayari kuipa Yanga SC Billioni 1.5 na Mshahara wa Tsh Milioni 70 kwa Mwezi.

Ni Mwendawazimu tu pekee ndiyo ataziacha hizi Ofa ili abakie Tanzania kwakuwa anapendwa na kufanywa Mfalme huku akilambwa Miguu ili abakie Ligi Kuu ya NBC.
Ndio alivyosema MO? MO kasema atakata tamaa na Simba
 
Huyu si wa kumtukana ni wakumuonea huruma,yaani sometimes hajui hata alicho kiongea dk 5 zilizopita.Hili tatizo alilokuwa nalo ndio siku hizi wanaliita "tatizo la afya ya akili ".

Mwanangu mtafute mtu wa Saikolojia akusaidie.

NB:Ikiwezekana Moderator kuna baadhi ya member wawawekee idadi ya thread kwa mwezi,mfano kama huyu Gent anatakiwa atume thread tatu tu kwa mwezi,manake anaandika mashudu na pumba tupu.
 
Unajisikiaje kuandika kitu AMBACHO huna uhakika nacho...

Shida unapenda sana story za vijiwe vya kahawa.

Katika WATU wanaotudhalilisha mashabiki WA Simba hapa JF upo????

Baada ya kushinikiza usajili WA MAANA ndani ya kllabu yako UNAHANGAIKA na mayele.

Simba Hadi sasa hakunakiungo 6..
Hakuna beki no 5 akiumia Inonga au malone

Hata kugawana mazoezini ni mtihani maana Wana Mabeki 3 tu.
MSIMU uliopita walikuwa na Mabeki WA kati 5 na 6 kitaka Nyoni.

FIKICHA AKILI
We ni mmoja wapo wa wanaoidharirisha Simba, usajili haujaisha we unakuja na ngonjera za kumponda Simba mwenako, nimeona kila muda story yako ni hiyo hiyo...
 
We ni mmoja wapo wa wanaoidharirisha Simba, usajili haujaisha we unakuja na ngonjera za kumponda Simba mwenako, nimeona kila muda story yako ni hiyo hiyo...
Na wewe brother unazngua, kwani namba 6 si hatuna kweli.
 
Huyu jamaa anazidi kujishusha heshima yake kwa Kasi sana hapa Jamii Forum.


Huwa anaokota sana Story VIJIWENI na bila ku DIGEST anapitiliza nazo hapa JF.

Nadhani tuungane kumshauri AJISAHIHISHE.
Yaani Mwendawazimu Wewe unisahihishe 'Brainiac' Mimi GENTAMIYCINE kweli? Hivi hujishtukii tu?
 
Huyu si wa kumtukana ni wakumuonea huruma,yaani sometimes hajui hata alicho kiongea dk 5 zilizopita.Hili tatizo alilokuwa nalo ndio siku hizi wanaliita "tatizo la afya ya akili ".

Mwanangu mtafute mtu wa Saikolojia akusaidie.

NB:Ikiwezekana Moderator kuna baadhi ya member wawawekee idadi ya thread kwa mwezi,mfano kama huyu Gent anatakiwa atume thread tatu tu kwa mwezi,manake anaandika mashudu na pumba tupu.
Anayekupa Mimba zisizo na Mpango kila mwaka nae si wa Kumuonea Huruma pia?

Idiot.
 
We ni mmoja wapo wa wanaoidharirisha Simba, usajili haujaisha we unakuja na ngonjera za kumponda Simba mwenako, nimeona kila muda story yako ni hiyo hiyo...
Hajawahi Kumiliki Akili huyo Juha hivyo achana nae na kamwe asikupotezee muda wako.
 
Huyu si wa kumtukana ni wakumuonea huruma,yaani sometimes hajui hata alicho kiongea dk 5 zilizopita.Hili tatizo alilokuwa nalo ndio siku hizi wanaliita "tatizo la afya ya akili ".

Mwanangu mtafute mtu wa Saikolojia akusaidie.

NB:Ikiwezekana Moderator kuna baadhi ya member wawawekee idadi ya thread kwa mwezi,mfano kama huyu Gent anatakiwa atume thread tatu tu kwa mwezi,manake anaandika mashudu na pumba tupu.
Nakazia
 
Huyu jamaa anazidi kujishusha heshima yake kwa Kasi sana hapa Jamii Forum.


Huwa anaokota sana Story VIJIWENI na bila ku DIGEST anapitiliza nazo hapa JF.

Nadhani tuungane kumshauri AJISAHIHISHE.
Nakazia
 
Unajisikiaje kuandika kitu AMBACHO huna uhakika nacho...

Shida unapenda sana story za vijiwe vya kahawa.

Katika WATU wanaotudhalilisha mashabiki WA Simba hapa JF upo????

Baada ya kushinikiza usajili WA MAANA ndani ya kllabu yako UNAHANGAIKA na mayele.

Simba Hadi sasa hakunakiungo 6..
Hakuna beki no 5 akiumia Inonga au malone

Hata kugawana mazoezini ni mtihani maana Wana Mabeki 3 tu.
MSIMU uliopita walikuwa na Mabeki WA kati 5 na 6 kitaka Nyoni.

FIKICHA AKILI
Yaani huwa nafikiri huyu bwana popoma aliwexaje pata tuzo hapa jf Kama huyu ndio think tank la musoma ,mara
 
Back
Top Bottom