dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 10,466
- 18,206
We w Ni mbuzi kweliKlabu ya Misri iko tayari kuipa Yanga SC Billioni 2 na Kumpa Mshahara wa Tsh Milioni 85 za Kitanzania kwa Mwezi.
Klabu nyingine huko Saudi Arabia iko tayari kuipa Yanga SC Billioni 1.5 na Mshahara wa Tsh Milioni 70 kwa Mwezi.
Ni Mwendawazimu tu pekee ndiyo ataziacha hizi Ofa ili abakie Tanzania kwakuwa anapendwa na kufanywa Mfalme huku akilambwa Miguu ili abakie Ligi Kuu ya NBC.