Kwa Ofa zifuatazo kwa Mayele mnapoteza muda Kumlamba Miguu yake ili abakie Yanga SC

Kwa Ofa zifuatazo kwa Mayele mnapoteza muda Kumlamba Miguu yake ili abakie Yanga SC

Mtu kashachezea Ban ndicho mlichokitafuta wewe Dr upo unazurura tu wangepita na wewe pia!!!
 
Huyu jamaa huwa anafurahisha sana page ya kwanza mazungumzo yanakwenda vizuri page nyingine zote hata ziwe 10 ni matusi tu uzi unapoteza maana kabisa.
 
Klabu ya Misri iko tayari kuipa Yanga SC Billioni 2 na Kumpa Mshahara wa Tsh Milioni 85 za Kitanzania kwa Mwezi.

Klabu nyingine huko Saudi Arabia iko tayari kuipa Yanga SC Billioni 1.5 na Mshahara wa Tsh Milioni 70 kwa Mwezi.

Ni Mwendawazimu tu pekee ndiyo ataziacha hizi Ofa ili abakie Tanzania kwakuwa anapendwa na kufanywa Mfalme huku akilambwa Miguu ili abakie Ligi Kuu ya NBC.
kama hiyo ofa ipo ni bora tumruhusu ngoja nimpigie simu arafat sasa hivi

Sent from my CPH2371 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom