Kwa Ofa zifuatazo kwa Mayele mnapoteza muda Kumlamba Miguu yake ili abakie Yanga SC

We w Ni mbuzi kweli
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji4] mashudu na pumba

Alfu eti anakuwa mshindi wa tuzo za michezo aliyempa Nina mashaka na uwezo wao wa kufikiri

Mtu kila siku anaandika mashudu na pumba alfu anapewa tuzo dah inasikitisha
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji4] mashudu na pumba

Alfu eti anakuwa mshindi wa tuzo za michezo aliyempa Nina mashaka na uwezo wao wa kufikiri

Mtu kila siku anaandika mashudu na pumba alfu anapewa tuzo dah inasikitisha
Na nitashinda sana tu labda Shindano liswepo.
 
Mkuu labda mtoa mada ni mke wa Mayele mume wake kamwambia details zote hizo. Usimdharau mtu usie mjua mkuu sisi tunamdharau mtoa mada kumbe huenda ni mke wa star wa soka la bongo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] eti mke wa mayele nyie siyo poa

Kweli uwenda Ni mke wa mayele
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…