Kwa pamoja tunaweza: Ratiba ya mechi za kususia za simba hii hapa,wacheze na majukwaa matupu

Kwa pamoja tunaweza: Ratiba ya mechi za kususia za simba hii hapa,wacheze na majukwaa matupu

njaakalihatari

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2019
Posts
4,081
Reaction score
8,671
Mmeona wenyewe jana hata baada ya poor display na officialy kugeuka kuwa wateja wa utopolo fc kwenye kupokea medali wengine walivyokuwa wanachekacheka kama NDALAKYUYA

Hawana cha kupoteza hao wajinga, jana usiku wamegonga konyagi zao, wamelala na malaya zao huku wengine mnaingia nyumbani kwa kujificha na wengine wanahojiwa kwenye tv na kuangusha michozi kama mataahira mwishowe wanaaibisha familia zao

Mwingine alikuwa busy kutafuta red card akicheza kung fu za hatari wakati huo team inaongoza na alitegesha kabisa dakika za lala salama za kwenda half time ili aipate hiyo red card, alivyoona refa muoga akaamua kufungisha goli la pili

Hawa vichaa siyo wa kuwachekea kabisa na jingine acheni kupewa matumaini hewa ya manzoki, huyo kama kuja atakuja usajili wa december kwa sasa strikers wetu ni Dejan, kiyombo na boko hao ndiyo watatufkisha nusu fainali ya klabu bingwa afrika ,moses phiri hana kiwango atakuwa anakaa jukwaani hata benchi hafai

Sasa ndugu zangu wa Dar es salaam na mbeya hizi mechi hapa zinatosha kuwaonyeshea wachezaji kwamba watu wana shughuli nyingine pia za kufanya zaidi ya kuangalia ujinga wao

HAKUNA KWENDA UWANJANI WACHEZE NA MAJUKWAA MATUPU NA HUKO MBEYA MSIWAPOKEE NA MISAFARA YA BODABODA ACHENI SHOBO HIVI HAMUONAGI MKIWAPOKEA HUWA WANAVYONUNA HATA KUPUNGA MKONO HAWATAKI?

Hizi mechi nne wakicheza na majukwaa matupu labda tutaanza kuheshimiana upya*

17 August 2022


Simba Sc vs Geita Gold (Benjamin Mkapa National Stadium )

20 August 2022

Simba Sc vs Kagera Sugar (Benjamin Mkapa National Stadium )

September 7,2022

Simba Sc vs KMC (Benjamin Mkapa National Stadium )

September 14,2022

Tanzania Prisons vs Simba Sc (Sokoine Stadium,Mbeya )
 
Mkuu pole maana naona unaenda kuchanganyikiwa,.. tafuta hata mtu mshee mawazo mcheke cheke hata kidogo usijifungie humo ndani.

Simba ni yetu tumeichagua wenyewe tutakua nao hata watakapofungwa na timuz zoote tukashuka daraja ila bado tutakua nao.
 
wachezaji wa simba,uongozi na benchi la ufundi ni sawa na toto linalodeka lizembelizembe lazima lifinywe kidogo ili lipate akili.

Bila mashabiki kuwasusia hawa jamaa hata vimechi vi 4 kila siku zile kauli za MPIRA UNA MATOKEO MATATU zitakuwa kama tako la changudoa na shanga kwenye masikio ya mashabiki wa simba
 
Hawa wajinga watueleze nani anahujumu timu miongoni mwao

Kulikuwa na rumors za kwamba Manara alionekana kwenye hoteli waliyo book Simba na picha zilionekana.

I've come to the conclusion Kuna conspiracy za chini chini zinafanyika kwa maslahi ya watu wachache

Kile kikosi cha jana kuna kila possibillity kuwa kilipangwa na Matola. Wachezaji muhimu wamewekaa store afu mechi muhimu

Bado sijaelewa sababu ya Manula kutokaa hata benchi, hii mambo ya kutuambia mpira una matokeo matatu ni kauli ya kipimbi wala haifai kutumika kama comfort unapofungwa na Yanga tena zaidi ya mara moja.
 
Hawa wajinga watueleze nani anahujumu timu miongoni mwao

Kulikuwa na rumors za kwamba Manara alionekana kwenye hoteli waliyo book Simba na picha zilionekana....
manula alijigonga kichwani kwenye post mechi ya stars na somalia nafikiri alipata concussion wnachukua tahadhari.

kuhusu kapombe nilishangaa sana , ila huyu kocha kaja na msaidizi wake matola ni watatu kwa cheo na huyu mzungu alpiokuwa misri alisema kwa sasa kupangwa haangalii historia ya mtu anaangalia perfomance ya mazoezini

Angalia vizuri kikosi kilichoanza jana ndicho kilichofeli na st george kipindi cha kwanza kasoro chama tu kwa kifupi hiyo ndiyo first 11 ya mzungu
 
Kuna mapandikizi kibao pale yameegesha matumbo yao baada ya kufanikisha kuddanganya umma kuwa wao ni Simba na wana mapenzi na Club.

Haiwezekani bajeti ya jeshi ni mamilion ya dollar, umenunua silaha kali nzito za kisasa halafu eti siku ya vita unamuona mpizani kabeba war tanks na missile za kutosha, we umeambatana na migambo ukiwa umebeba virungu na manati kwenda uwanja wa vita.

Hawa wehu wanatuchukuliaje sijui? Kunaye yule mkongo na virasta vyake utafikiri mopper ya stoo kinajikuta kinajua sana na mwanya wake kama USB port ya type C
 
Kuna mapandikizi kibao pale yameegesha matumbo yao baada ya kufanikisha kuddanganya umma kuwa wao ni Simba na wana mapenzi na Club.

Haiwezekani bajeti ya jeshi ni mamilion ya dollar, umenunua silaha kali nzito za kisasa halafu eti siku ya vita unabeba virungu na manati kwenda uwanja wa vita.

Hawa wehu wanatuchukuliaje sijui? Kunaye yule mkongo na virasta vyake utafikiri mopper ya stoo kinajikuta kinajua sana na mwanya wake kama USB port ya type C
Nashangaa tukilalamika tunaitwa hatujui mpira mshabiki mandazi kuna shida kubwa sana simba inaanza kuwa kama man utd,we sajili wachezaji, badili makocha ila kuna kitu tu
Ni wakati wa ku fix tatizo haraka na kuambiana ukweli na silaha kubwa waliyonayo mashabiki ni kususa kwenda uwanjani tuyaone hayo matapeli yanayokula mshahara bure yatajisikiaje kususiwa
 
manula alijigonga kichwani kwenye post mechi ya stars na somalia nafikiri alipata concussion wnachukua tahadhari.

kuhusu kapombe nilishangaa sana , ila huyu kocha kaja na msaidizi wake matola ni watatu kwa cheo na huyu mzungu alpiokuwa misri alisema kwa sasa kupangwa haangalii historia ya mtu anaangalia perfomance ya mazoezini

Angalia vizuri kikosi kilichoanza jana ndicho kilichofeli na st george kipindi cha kwanza kasoro chama tu kwa kifupi hiyo ndiyo first 11 ya mzungu
Sa mbona kwenye Simba day alidaka? Mi nilijua kapona

Bado naona kama kocha mzungu kumpa lawama na kumuacha Matola ni unfair

Sitaki kuamini kwenye mazoezi kyombo akawa na performance kumzidi phiri kiasi hata bechi asiwepo

Hapo kuna dhana ya uzoefu na derby ndio iliyoangaliwa na kipengele hicho ndicho naona wazi kabisa Matola alihusika.

Kikosi cha kwanza naweza sema ni Ottara tu ndio alikuwa mgeni, ila kyombo aliwekwa kwa dhana ya experience ya kuwahi kucheza na Yanga hivyo anaweza fanya lolote kupitia uzoefu huo

Wakasahau kuwa ndio hao hao wachezaji waliofungwa kule mwanza.
 
Sa mbona kwenye Simba day alidaka? Mi nilijua kapona

Bado naona kama kocha mzungu kumpa lawama na kumuacha Matola ni unfair

Sitaki kuamini kwenye mazoezi kyombo akawa na performance kumzidi phiri kiasi hata bechi asiwepo

Hapo kuna dhana ya uzoefu na derby ndio iliyoangaliwa na kipengele hicho ndicho naona wazi kabisa Matola alihusika.

Kikosi cha kwanza naweza sema ni Ottara tu ndio alikuwa mgeni, ila kyombo aliwekwa kwa dhana ya experience ya kuwahi kucheza na Yanga hivyo anaweza fanya lolote kupitia uzoefu huo

Wakasahau kuwa ndio hao hao wachezaji waliofungwa kule mwanza.
hakudaka manula kikosi cha jana kipindi cha kwanza nicho kilichoanza simba day kasoro chama tu KWA KIFUPI KIKOSI CHA KWANZA CHA MZUNGU NI KILE CHA JANA KIPINDI CHA KWANZA
 
Una kadi ya uanachama? Unachangia chochote kwenye klabu?
nachangia ku raise awareness wewe idiot, mbona mnaogopa sana nguvu ya umma, wanahitaji watu wachangie nini tena si kuna mabilioni ya Mbet? hayo mabilioni yatawashangilia kwenye hizo mechi wanazokimbiza mapumbu yao arround bila mpangilio maalumu
 
Mmeona wenyewe jana hata baada ya poor display na officialy kugeuka kuwa wateja wa utopolo fc kwenye kupokea medali wengine walivyokuwa wanachekacheka kama NDALAKYUYA

Hawana cha kupoteza hao wajinga, jana usiku wamegonga konyagi zao, wamelala na malaya zao huku wengine mnaingia nyumbani kwa kujificha na wengine wanahojiwa kwenye tv na kuangusha michozi kama mataahira mwishowe wanaaibisha familia zao

Mwingine alikuwa busy kutafuta red card akicheza kung fu za hatari wakati huo team inaongoza na alitegesha kabisa dakika za lala salama za kwenda half time ili aipate hiyo red card, alivyoona refa muoga akaamua kufungisha goli la pili

Hawa vichaa siyo wa kuwachekea kabisa na jingine acheni kupewa matumaini hewa ya manzoki, huyo kama kuja atakuja usajili wa december kwa sasa strikers wetu ni Dejan, kiyombo na boko hao ndiyo watatufkisha nusu fainali ya klabu bingwa afrika ,moses phiri hana kiwango atakuwa anakaa jukwaani hata benchi hafai

Sasa ndugu zangu wa Dar es salaam na mbeya hizi mechi hapa zinatosha kuwaonyeshea wachezaji kwamba watu wana shughuli nyingine pia za kufanya zaidi ya kuangalia ujinga wao

HAKUNA KWENDA UWANJANI WACHEZE NA MAJUKWAA MATUPU NA HUKO MBEYA MSIWAPOKEE NA MISAFARA YA BODABODA ACHENI SHOBO HIVI HAMUONAGI MKIWAPOKEA HUWA WANAVYONUNA HATA KUPUNGA MKONO HAWATAKI?

Hizi mechi nne wakicheza na majukwaa matupu labda tutaanza kuheshimiana upya*

17 August 2022


Simba Sc vs Geita Gold (Benjamin Mkapa National Stadium )

20 August 2022

Simba Sc vs Kagera Sugar (Benjamin Mkapa National Stadium )

September 7,2022

Simba Sc vs KMC (Benjamin Mkapa National Stadium )

September 14,2022

Tanzania Prisons vs Simba Sc (Sokoine Stadium,Mbeya )
Kuna mda ufikilie umefungwa na timu gani? Simba na Yanga sasa hivi zina quality sawa mengine ni matokeo ya uwanjani tu basi nothing else
 
Kuna mda ufikilie umefungwa na timu gani? Simba na Yanga sasa hivi zina quality sawa mengine ni matokeo ya uwanjani tu basi nothing else
Motivation binafsi ya wachezaji simba kuamini kile wanachokipambania hamna kabisa tofauti na wa yanga nakuapia hawa wakicheza mechi 5 bila mashabiki au wakifika mikoani wanapokewa kwa kuzomewa akili itawakaa sawa

Inonga siku ile anatetemeka kule orlando kwa kukosa penalty alidhani labda yuko kweye team ambayo ukikosea watu wanashuka na wewe jumlajumla lakini keshagundua ana deal na majinga yanyoshoboka tu hawezi kurudia tena kuwa na ile spirit kwa sasa ni mwendo wa ma kung fu tu kutafuta red card akiwa keshakunja chake mapema
 
Mmeona wenyewe jana hata baada ya poor display na officialy kugeuka kuwa wateja wa utopolo fc kwenye kupokea medali wengine walivyokuwa wanachekacheka kama NDALAKYUYA

Hawana cha kupoteza hao wajinga, jana usiku wamegonga konyagi zao, wamelala na malaya zao huku wengine mnaingia nyumbani kwa kujificha na wengine wanahojiwa kwenye tv na kuangusha michozi kama mataahira mwishowe wanaaibisha familia zao

Mwingine alikuwa busy kutafuta red card akicheza kung fu za hatari wakati huo team inaongoza na alitegesha kabisa dakika za lala salama za kwenda half time ili aipate hiyo red card, alivyoona refa muoga akaamua kufungisha goli la pili

Hawa vichaa siyo wa kuwachekea kabisa na jingine acheni kupewa matumaini hewa ya manzoki, huyo kama kuja atakuja usajili wa december kwa sasa strikers wetu ni Dejan, kiyombo na boko hao ndiyo watatufkisha nusu fainali ya klabu bingwa afrika ,moses phiri hana kiwango atakuwa anakaa jukwaani hata benchi hafai

Sasa ndugu zangu wa Dar es salaam na mbeya hizi mechi hapa zinatosha kuwaonyeshea wachezaji kwamba watu wana shughuli nyingine pia za kufanya zaidi ya kuangalia ujinga wao

HAKUNA KWENDA UWANJANI WACHEZE NA MAJUKWAA MATUPU NA HUKO MBEYA MSIWAPOKEE NA MISAFARA YA BODABODA ACHENI SHOBO HIVI HAMUONAGI MKIWAPOKEA HUWA WANAVYONUNA HATA KUPUNGA MKONO HAWATAKI?

Hizi mechi nne wakicheza na majukwaa matupu labda tutaanza kuheshimiana upya*

17 August 2022


Simba Sc vs Geita Gold (Benjamin Mkapa National Stadium )

20 August 2022

Simba Sc vs Kagera Sugar (Benjamin Mkapa National Stadium )

September 7,2022

Simba Sc vs KMC (Benjamin Mkapa National Stadium )

September 14,2022

Tanzania Prisons vs Simba Sc (Sokoine Stadium,Mbeya )

Kweli tuwagomee. Wanatuangusha sana
 
Siamini kama kuna shabiki wa simba anaweza kufuata ushauri wa mtoa mada. Yaani hela ya kwangu, halafu unipangie matumizi!

Hakika utakuwa ni umbumbumbu wa hali ya juu sana. Kwanza sababu zake zote hazina mashiko.
lazima utopolo mpinge sababu mnajua njia pekee ya kuyaamsha yale machezaji yanayodeka ni kususia mechi zao uwanjani, mnalijua hilo sana saana tu na hakuna washabiki wasiorembaga kama wa yanga, msuva alikionaga cha moto enzi akifanya maujinga ya Dennis kibu, Yikpe alizomewa kwenye bus
Leo mnatuambia tukaushe tu mambo yaendelee business as usual jana tu wacheaji wa simba wakishangilia goli mliwarushia vyupa
 
Kweli tuwagomee. Wanatuangusha sana
wnaopinga hapa ni washabiki wa utopolo wanajua hiki kikifanyika watu wataamka, wanapenda sana uzoba wetu wao hawanaga kuremba, Yikpe alikiona cha moto, youth rostande alkiona cha moto hata kocha wao Eymael alizomewa sana kwenye subs zake leo tukitaka kuleta mgomo wa kuyaamsha majinga wanapinga
 
Siamini kama kuna shabiki wa simba anaweza kufuata ushauri wa mtoa mada. Yaani hela ya kwangu, halafu unipangie matumizi!

Hakika utakuwa ni umbumbumbu wa hali ya juu sana. Kwanza sababu zake zote hazina mashiko.
Sio simba tu pia kwa tanzania hii hakuna
 
Back
Top Bottom