Kwa pamoja tunaweza: Ratiba ya mechi za kususia za simba hii hapa,wacheze na majukwaa matupu

Kwa pamoja tunaweza: Ratiba ya mechi za kususia za simba hii hapa,wacheze na majukwaa matupu

wnaopinga hapa ni washabiki wa utopolo wanajua hiki kikifanyika watu wataamka, wanapenda sana uzoba wetu wao hawanaga kuremba, Yikpe alikiona cha moto, youth rostande alkiona cha moto hata kocha wao Eymael alizomewa sana kwenye subs zake leo tukitaka kuleta mgomo wa kuyaamsha majinga wanapinga
Soon tunamshusha Manzoki asaidiane na Boko pale mbele,Changanya na Okra aiseee hawa Yanga watakoma,hakuna haja ya kususia mechi timu ni yetu🤣🤣🤣🤣
 
Susieni tu hizo game nyingine ila game yetu na nyinyi mkisusa kudadeki tunawafata popote pale mlipo tunawakamata na kuwaingiza uwanjani kwa lazima, ole wenu msuse kuingia siku hiyo ndio mtatueleza kwanini mlichagua team dhaifu siku ya tamasha lenu. Eboo
🤣🤣🤣🤣🤣🤣kwamba tutawaingiza uwanjani kwa nguvu
 
Mmeona wenyewe jana hata baada ya poor display na officialy kugeuka kuwa wateja wa utopolo fc kwenye kupokea medali wengine walivyokuwa wanachekacheka kama NDALAKYUYA

Hawana cha kupoteza hao wajinga, jana usiku wamegonga konyagi zao, wamelala na malaya zao huku wengine mnaingia nyumbani kwa kujificha na wengine wanahojiwa kwenye tv na kuangusha michozi kama mataahira mwishowe wanaaibisha familia zao

Mwingine alikuwa busy kutafuta red card akicheza kung fu za hatari wakati huo team inaongoza na alitegesha kabisa dakika za lala salama za kwenda half time ili aipate hiyo red card, alivyoona refa muoga akaamua kufungisha goli la pili

Hawa vichaa siyo wa kuwachekea kabisa na jingine acheni kupewa matumaini hewa ya manzoki, huyo kama kuja atakuja usajili wa december kwa sasa strikers wetu ni Dejan, kiyombo na boko hao ndiyo watatufkisha nusu fainali ya klabu bingwa afrika ,moses phiri hana kiwango atakuwa anakaa jukwaani hata benchi hafai

Sasa ndugu zangu wa Dar es salaam na mbeya hizi mechi hapa zinatosha kuwaonyeshea wachezaji kwamba watu wana shughuli nyingine pia za kufanya zaidi ya kuangalia ujinga wao

HAKUNA KWENDA UWANJANI WACHEZE NA MAJUKWAA MATUPU NA HUKO MBEYA MSIWAPOKEE NA MISAFARA YA BODABODA ACHENI SHOBO HIVI HAMUONAGI MKIWAPOKEA HUWA WANAVYONUNA HATA KUPUNGA MKONO HAWATAKI?

Hizi mechi nne wakicheza na majukwaa matupu labda tutaanza kuheshimiana upya*

17 August 2022


Simba Sc vs Geita Gold (Benjamin Mkapa National Stadium )

20 August 2022

Simba Sc vs Kagera Sugar (Benjamin Mkapa National Stadium )

September 7,2022

Simba Sc vs KMC (Benjamin Mkapa National Stadium )

September 14,2022

Tanzania Prisons vs Simba Sc (Sokoine Stadium,Mbeya )
Huo ndio ushabiki maandazi
Ungekua mshabiki wa Man United au Arsenal si ungejinyonga?
UWANJANI TUNAENDA KAMA KAWAIDA
 
Hivi hatuwezi kuwafanya kitu hawa viongozi kwani ndio wanazingua.
Huyo kocha mzungu walimwaminije kumwachia derby?

Kwa nini timu inapata wadhamini inadhindwa kununua striker kwa 400milioni?

Hawataki kuuza kadi kwa vile wana hela kwa nini hawasajili?
Wamejifanya kugomea mkataba wa Azam tv wenzao wamechukua wanasajili wachezaji wa maana
 
Kuna mapandikizi kibao pale yameegesha matumbo yao baada ya kufanikisha kuddanganya umma kuwa wao ni Simba na wana mapenzi na Club.

Haiwezekani bajeti ya jeshi ni mamilion ya dollar, umenunua silaha kali nzito za kisasa halafu eti siku ya vita unamuona mpizani kabeba war tanks na missile za kutosha, we umeambatana na migambo ukiwa umebeba virungu na manati kwenda uwanja wa vita.

Hawa wehu wanatuchukuliaje sijui? Kunaye yule mkongo na virasta vyake utafikiri mopper ya stoo kinajikuta kinajua sana na mwanya wake kama USB port ya type C
Inauma makolo kufungwa na mabingwa wa nchi Dar Young Africans

But inauma zaidi kufungwa na predator Fiston Kalala Mayele then akatetema mbele yako

Naimani na wewe ulitetema kimoyo moyo kuunga mkono staili ya kibingwa ya kushangilia!
 
Ujumbe huu usambazwe haraka facebook, twitter na instagram.
 
Mkuu pole maana naona unaenda kuchanganyikiwa,.. tafuta hata mtu mshee mawazo mcheke cheke hata kidogo usijifungie humo ndani.

Simba ni yetu tumeichagua wenyewe tutakua nao hata watakapofungwa na timuz zoote tukashuka daraja ila bado tutakua nao.
Huyu alibeti huyuu... Kaliwa!
 
Siamini kama kuna shabiki wa simba anaweza kufuata ushauri wa mtoa mada. Yaani hela ya kwangu, halafu unipangie matumizi!

Hakika utakuwa ni umbumbumbu wa hali ya juu sana. Kwanza sababu zake zote hazina mashiko.
Nakuona Matola on Keyboard

Na tutaendelea kuwapiga mpaka mkitaje kilichomtoa nyoka pangoni mwake (kwa sauti ya mtoto wa chekechea)
 
Gomeni mechi zote ila sio kkoo Derby tutawaingiza uwanjan hata kwa viboko, tutaendelea kuwapasua ⁰mpaka mtuoneshe ushahidi GSM alimgawia nani bahasha msimu uliopita?

Wakati yanga wanachukua pesa za azam nyie bi chaunabe na mme wake gabacholi wakaausia ,saiv yanga tunasajili wachezaj wa maana na kulipa mishahara ya maana nyie mnaokota okota wachezaji wa mafungu!!! Mlikua mnasema yanga haina uwezo wa kumlipa mshahara aziz ki wakati yanga ina mapato kibao

Na bado huu ni mwanzo tu
 
Hili la spirit ya kupambania timu toka siku nyingi wachezaji wa Simba ni kama mabwanyenye flan hawana presha kila kitu kwao kawaida tu tofauti na Yanga wanapambania timu unawaona kabisa,mfano mzuri ile ya kirumba erasto nyoni alivyotolewa akavue hereni tena anatafunz na banzoka unabaki unajiuliza hivi hawa wapo kwenye maonyesho au ni wachezaji walioacha familia zinazohitaji ugali toka kwao
limeonekana na leo vs kmc, hawana haraka, hawataki kukaba sijui hawalipwi mishahara kwa wakati? haya sasa wanasimba wanaanzisha vurugu na kutaka kususia matches nilionya kwenye uzi huu last month nikatukanwa ni shabiki maandazi
 
Mleta mada nenda nao taratibu, watakuelewa tu. Yamkini hawatakuelewa leo, ila kesho watakuelewa.
 
Mleta mada nenda nao taratibu, watakuelewa tu. Yamkini hawatakuelewa leo, ila kesho watakuelewa.
Nilitukanwa kabisa wakiamini kwamba washabiki wa simba ni watu wa kuitikia hewala bwana...niliandika vile kuonyesha frustrations na kuonya...haswa suala la kiungo mkabaji na namba 9, anyway acha tunyamaze kimya na wachezaji wakiendelea na u faza wao kuna siku lile bus litapasuliwa vioo
 
Too low for you Bro.
TOO LOW ni wachezaji wanaocheza kibepari kuna siku watawasabisha washabiki wa simba kufikishwa mahakamani kwa kufanya vurugu pale uwanjani na kupasua vitu,tukionya tunaonenakana maandazi, sasa kuliko kupata matatizo yote hayo si ni bora kuwaachia uwanja mweupe wacheze wenyewe.
Utadhani wamelazimishwa kucheza au hawalipwi mishahara?
 
Back
Top Bottom