Kwa pamoja tunaweza: Ratiba ya mechi za kususia za simba hii hapa,wacheze na majukwaa matupu

Kwa pamoja tunaweza: Ratiba ya mechi za kususia za simba hii hapa,wacheze na majukwaa matupu

Sio simba tu pia kwa tanzania hii hakuna
Sitashangaaa kama hata uongozi umekataa kuzuia watu kuhudhuria mazoezi kule bunju sijui ile milioni 150 ya ukuta wameila sembuse haya ya kususia, ilapoa tu itakuja automatic october siyo mbali
Nawashauri viongozi huo ukuta wasijenge ni ushamba, watu waendelee kuhudhuria na kurekodi kwa sana, kenge hasikii hadi atoke damu soon watu watachukua hatua wenyewe tena zitakuwa hatua mbaya sana
 
Tangu nianze kushabikia/kufuatilia mpira sijwahi kuwa na maamuz ya kijinga namna hii lakini we tapika nyongo uponye maumivu
Mie jana simba kafungwa na man utd wamefungwa nimejitahidi sana kujuzuia nilienda kijiweni nikatapika nyongo wee mwili na akili vikatulia now niko byeeee

#NGUVUMOJA
 
Tangu nianze kushabikia/kufuatilia mpira sijwahi kuwa na maamuz ya kijinga namna hii lakini we tapika nyongo uponye maumivu
Mie jana simba kafungwa na man utd wamefungwa nimejitahidi sana kujuzuia nilienda kijiweni nikatapika nyongo wee mwili na akili vikatulia now niko byeeee

#NGUVUMOJA
Na hiyo ndiyo shida simba taratibu inaanza kuwa man utd hali inafanana, angalau kwa wenzetu fans wanaongelea suala la ku boycott matches na kununua merchandise hapa unaambiwa ile bullshit ya mpira una matokeo matatu
Nakuapia hao maboya bila kuwazomea na kuwasusuia hawataelewa kitu they are so spoilt wanadeka mnoo na uwezo wao ni duni na hapa tunakaa tunajidanganya dejan, kiyombo na boko ni strikers wa kutupeleka nusu fainali afrika
 
Weka hisia kando nenda kitaalam
utaalamu kwa sasa ni kwamba kesho na keshokutwa niwakaribishe geita gold kwenye mazoezi yetu ya wazi pale bunju wanaruhusiwa pia kurekodi kwa simu sisi hatuna noma ni wazungu wa roho sana
 
Ni wangapi hakuchunguza mazoezi ya Simba na wakagawana point na Simba ?
si ndiyo maana nimewasifia uongozi wa simba kwa kuendesha team kisasa, nitalaumu yoote lakini hapo lazima niwapongeze wamewaweka karibu mashabiki na wapenda soka wote kushuhudia mazoezi, wala siyo big deal sana
 
Yanga inawatia watu uchizi[emoji23][emoji23][emoji23]

Wewe mleta mada ndio uliongoza kwa thread za kuijungua klabu kubwa na kaka yako sasa umefyata akili zinaanza kuwakaa sawa. Nawasalimu
IMG_20220814_203047_486.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mmeona wenyewe jana hata baada ya poor display na officialy kugeuka kuwa wateja wa utopolo fc kwenye kupokea medali wengine walivyokuwa wanachekacheka kama NDALAKYUYA

Hawana cha kupoteza hao wajinga, jana usiku wamegonga konyagi zao, wamelala na malaya zao huku wengine mnaingia nyumbani kwa kujificha na wengine wanahojiwa kwenye tv na kuangusha michozi kama mataahira mwishowe wanaaibisha familia zao

Mwingine alikuwa busy kutafuta red card akicheza kung fu za hatari wakati huo team inaongoza na alitegesha kabisa dakika za lala salama za kwenda half time ili aipate hiyo red card, alivyoona refa muoga akaamua kufungisha goli la pili

Hawa vichaa siyo wa kuwachekea kabisa na jingine acheni kupewa matumaini hewa ya manzoki, huyo kama kuja atakuja usajili wa december kwa sasa strikers wetu ni Dejan, kiyombo na boko hao ndiyo watatufkisha nusu fainali ya klabu bingwa afrika ,moses phiri hana kiwango atakuwa anakaa jukwaani hata benchi hafai

Sasa ndugu zangu wa Dar es salaam na mbeya hizi mechi hapa zinatosha kuwaonyeshea wachezaji kwamba watu wana shughuli nyingine pia za kufanya zaidi ya kuangalia ujinga wao

HAKUNA KWENDA UWANJANI WACHEZE NA MAJUKWAA MATUPU NA HUKO MBEYA MSIWAPOKEE NA MISAFARA YA BODABODA ACHENI SHOBO HIVI HAMUONAGI MKIWAPOKEA HUWA WANAVYONUNA HATA KUPUNGA MKONO HAWATAKI?

Hizi mechi nne wakicheza na majukwaa matupu labda tutaanza kuheshimiana upya*

17 August 2022


Simba Sc vs Geita Gold (Benjamin Mkapa National Stadium )

20 August 2022

Simba Sc vs Kagera Sugar (Benjamin Mkapa National Stadium )

September 7,2022

Simba Sc vs KMC (Benjamin Mkapa National Stadium )

September 14,2022

Tanzania Prisons vs Simba Sc (Sokoine Stadium,Mbeya )
wazungu wanasema kuna "fans" na supoters" sasa waafrika wengi sio suportes, united wametandikwa mechi 2 mfululizo ila mechi ijayo utawaona wamejaa Old traford kuishangilia timu yao
 
Mmeona wenyewe jana hata baada ya poor display na officialy kugeuka kuwa wateja wa utopolo fc kwenye kupokea medali wengine walivyokuwa wanachekacheka kama NDALAKYUYA

Hawana cha kupoteza hao wajinga, jana usiku wamegonga konyagi zao, wamelala na malaya zao huku wengine mnaingia nyumbani kwa kujificha na wengine wanahojiwa kwenye tv na kuangusha michozi kama mataahira mwishowe wanaaibisha familia zao

Mwingine alikuwa busy kutafuta red card akicheza kung fu za hatari wakati huo team inaongoza na alitegesha kabisa dakika za lala salama za kwenda half time ili aipate hiyo red card, alivyoona refa muoga akaamua kufungisha goli la pili

Hawa vichaa siyo wa kuwachekea kabisa na jingine acheni kupewa matumaini hewa ya manzoki, huyo kama kuja atakuja usajili wa december kwa sasa strikers wetu ni Dejan, kiyombo na boko hao ndiyo watatufkisha nusu fainali ya klabu bingwa afrika ,moses phiri hana kiwango atakuwa anakaa jukwaani hata benchi hafai

Sasa ndugu zangu wa Dar es salaam na mbeya hizi mechi hapa zinatosha kuwaonyeshea wachezaji kwamba watu wana shughuli nyingine pia za kufanya zaidi ya kuangalia ujinga wao

HAKUNA KWENDA UWANJANI WACHEZE NA MAJUKWAA MATUPU NA HUKO MBEYA MSIWAPOKEE NA MISAFARA YA BODABODA ACHENI SHOBO HIVI HAMUONAGI MKIWAPOKEA HUWA WANAVYONUNA HATA KUPUNGA MKONO HAWATAKI?

Hizi mechi nne wakicheza na majukwaa matupu labda tutaanza kuheshimiana upya*

17 August 2022


Simba Sc vs Geita Gold (Benjamin Mkapa National Stadium )

20 August 2022

Simba Sc vs Kagera Sugar (Benjamin Mkapa National Stadium )

September 7,2022

Simba Sc vs KMC (Benjamin Mkapa National Stadium )

September 14,2022

Tanzania Prisons vs Simba Sc (Sokoine Stadium,Mbeya )
Hivi hatuwezi kuwafanya kitu hawa viongozi kwani ndio wanazingua.
Huyo kocha mzungu walimwaminije kumwachia derby?

Kwa nini timu inapata wadhamini inadhindwa kununua striker kwa 400milioni?

Hawataki kuuza kadi kwa vile wana hela kwa nini hawasajili?
 
Hawa wajinga watueleze nani anahujumu timu miongoni mwao

Kulikuwa na rumors za kwamba Manara alionekana kwenye hoteli waliyo book Simba na picha zilionekana.

I've come to the conclusion Kuna conspiracy za chini chini zinafanyika kwa maslahi ya watu wachache

Kile kikosi cha jana kuna kila possibillity kuwa kilipangwa na Matola. Wachezaji muhimu wamewekaa store afu mechi muhimu

Bado sijaelewa sababu ya Manula kutokaa hata benchi, hii mambo ya kutuambia mpira una matokeo matatu ni kauli ya kipimbi wala haifai kutumika kama comfort unapofungwa na Yanga tena zaidi ya mara moja.
Too low for you Bro.
 
Motivation binafsi ya wachezaji simba kuamini kile wanachokipambania hamna kabisa tofauti na wa yanga nakuapia hawa wakicheza mechi 5 bila mashabiki au wakifika mikoani wanapokewa kwa kuzomewa akili itawakaa sawa

Inonga siku ile anatetemeka kule orlando kwa kukosa penalty alidhani labda yuko kweye team ambayo ukikosea watu wanashuka na wewe jumlajumla lakini keshagundua ana deal na majinga yanyoshoboka tu hawezi kurudia tena kuwa na ile spirit kwa sasa ni mwendo wa ma kung fu tu kutafuta red card akiwa keshakunja chake mapema
Hili la spirit ya kupambania timu toka siku nyingi wachezaji wa Simba ni kama mabwanyenye flan hawana presha kila kitu kwao kawaida tu tofauti na Yanga wanapambania timu unawaona kabisa,mfano mzuri ile ya kirumba erasto nyoni alivyotolewa akavue hereni tena anatafunz na banzoka unabaki unajiuliza hivi hawa wapo kwenye maonyesho au ni wachezaji walioacha familia zinazohitaji ugali toka kwao
 
Pole kwa Barbara Gonzalez sababu soon atageukwa hata na wanaomsifia bora sisi tunaomuambia ukweli mapema, oktoba yanga wanatugonga tena...na hiyo ndoto kufika nusu fainali ya klabu bingwa labda iwe ya mashindano ya kula mayai ila siyo soka
Hahaaaaa umechefukwaaa
 
Hili la spirit ya kupambania timu toka siku nyingi wachezaji wa Simba ni kama mabwanyenye flan hawana presha kila kitu kwao kawaida tu tofauti na Yanga wanapambania timu unawaona kabisa,mfano mzuri ile ya kirumba erasto nyoni alivyotolewa akavue hereni tena anatafunz na banzoka unabaki unajiuliza hivi hawa wapo kwenye maonyesho au ni wachezaji walioacha familia zinazohitaji ugali toka kwao
Haswaa hilo ndilo tatizo lilipo na mashabiki wa simba kuna uzoba fulani upo kwamba mpira una matokeo matatu,kwanini watu wanapinga wasisusiwe mwezi mzima kuangaliwa? mishahara si inaingia bwana
Pesa za M bet si zipo? wakacheze na majukwaa matupu sasa
 
wachezaji wa simba,uongozi na benchi la ufundi ni sawa na toto linalodeka lizembelizembe lazima lifinywe kidogo ili lipate akili.

Bila mashabiki kuwasusia hawa jamaa hata vimechi vi 4 kila siku zile kauli za MPIRA UNA MATOKEO MATATU zitakuwa kama tako la changudoa na shanga kwenye masikio ya mashabiki wa simba
Bwashee ukisusa wengine twala, una mawazo ya kike kike sana weye, yaani kukosa hicho kigao ndio tuisusie timu yetu?

Acha utoto kijana, tunaipenda simba na kama wewe hupendi susa tu.
 
Bwashee ukisusa wengine twala, una mawazo ya kike kike sana weye, yaani kukosa hicho kigao ndio tuisusie timu yetu?

Acha utoto kijana, tunaipenda simba na kama wewe hupendi susa tu.
Endelea kuzodoa tu kwani october mbali utopolo anatonesha kidonda NAKUAPIA KUNA SIKU HAIKO MBALI LILE BASI LItaPASULIWA VIOO PALE TAIFA NA ITATOKEA VURUGU KUBWA SANA NA MABOMU YATAPIGWA
Mtakuja kukumbuka kwamba ni bora watu hizo hasira wangehamishia kwa kususa kwenda uwanjani,mimi nishaanza countdown yangu tuombe uhai, there is a recipe for disaster inayochangiwa na arrogance ya hali ya juu toka kwa viongozi, benchi la ufundi, na mashabiki wenyewe, KUMEOZA
 
Susieni tu hizo game nyingine ila game yetu na nyinyi mkisusa kudadeki tunawafata popote pale mlipo tunawakamata na kuwaingiza uwanjani kwa lazima, ole wenu msuse kuingia siku hiyo ndio mtatueleza kwanini mlichagua team dhaifu siku ya tamasha lenu. Eboo
 
Back
Top Bottom