Soon tunamshusha Manzoki asaidiane na Boko pale mbele,Changanya na Okra aiseee hawa Yanga watakoma,hakuna haja ya kususia mechi timu ni yetu🤣🤣🤣🤣wnaopinga hapa ni washabiki wa utopolo wanajua hiki kikifanyika watu wataamka, wanapenda sana uzoba wetu wao hawanaga kuremba, Yikpe alikiona cha moto, youth rostande alkiona cha moto hata kocha wao Eymael alizomewa sana kwenye subs zake leo tukitaka kuleta mgomo wa kuyaamsha majinga wanapinga
Hadi raha🤣🤣🤣Yani mkiwa mnagombana hvyo sie burudani kabisa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
🤣🤣🤣🤣🤣🤣kwamba tutawaingiza uwanjani kwa nguvuSusieni tu hizo game nyingine ila game yetu na nyinyi mkisusa kudadeki tunawafata popote pale mlipo tunawakamata na kuwaingiza uwanjani kwa lazima, ole wenu msuse kuingia siku hiyo ndio mtatueleza kwanini mlichagua team dhaifu siku ya tamasha lenu. Eboo
Huo ndio ushabiki maandaziMmeona wenyewe jana hata baada ya poor display na officialy kugeuka kuwa wateja wa utopolo fc kwenye kupokea medali wengine walivyokuwa wanachekacheka kama NDALAKYUYA
Hawana cha kupoteza hao wajinga, jana usiku wamegonga konyagi zao, wamelala na malaya zao huku wengine mnaingia nyumbani kwa kujificha na wengine wanahojiwa kwenye tv na kuangusha michozi kama mataahira mwishowe wanaaibisha familia zao
Mwingine alikuwa busy kutafuta red card akicheza kung fu za hatari wakati huo team inaongoza na alitegesha kabisa dakika za lala salama za kwenda half time ili aipate hiyo red card, alivyoona refa muoga akaamua kufungisha goli la pili
Hawa vichaa siyo wa kuwachekea kabisa na jingine acheni kupewa matumaini hewa ya manzoki, huyo kama kuja atakuja usajili wa december kwa sasa strikers wetu ni Dejan, kiyombo na boko hao ndiyo watatufkisha nusu fainali ya klabu bingwa afrika ,moses phiri hana kiwango atakuwa anakaa jukwaani hata benchi hafai
Sasa ndugu zangu wa Dar es salaam na mbeya hizi mechi hapa zinatosha kuwaonyeshea wachezaji kwamba watu wana shughuli nyingine pia za kufanya zaidi ya kuangalia ujinga wao
HAKUNA KWENDA UWANJANI WACHEZE NA MAJUKWAA MATUPU NA HUKO MBEYA MSIWAPOKEE NA MISAFARA YA BODABODA ACHENI SHOBO HIVI HAMUONAGI MKIWAPOKEA HUWA WANAVYONUNA HATA KUPUNGA MKONO HAWATAKI?
Hizi mechi nne wakicheza na majukwaa matupu labda tutaanza kuheshimiana upya*
17 August 2022
Simba Sc vs Geita Gold (Benjamin Mkapa National Stadium )
20 August 2022
Simba Sc vs Kagera Sugar (Benjamin Mkapa National Stadium )
September 7,2022
Simba Sc vs KMC (Benjamin Mkapa National Stadium )
September 14,2022
Tanzania Prisons vs Simba Sc (Sokoine Stadium,Mbeya )
Wamejifanya kugomea mkataba wa Azam tv wenzao wamechukua wanasajili wachezaji wa maanaHivi hatuwezi kuwafanya kitu hawa viongozi kwani ndio wanazingua.
Huyo kocha mzungu walimwaminije kumwachia derby?
Kwa nini timu inapata wadhamini inadhindwa kununua striker kwa 400milioni?
Hawataki kuuza kadi kwa vile wana hela kwa nini hawasajili?
Inauma makolo kufungwa na mabingwa wa nchi Dar Young AfricansKuna mapandikizi kibao pale yameegesha matumbo yao baada ya kufanikisha kuddanganya umma kuwa wao ni Simba na wana mapenzi na Club.
Haiwezekani bajeti ya jeshi ni mamilion ya dollar, umenunua silaha kali nzito za kisasa halafu eti siku ya vita unamuona mpizani kabeba war tanks na missile za kutosha, we umeambatana na migambo ukiwa umebeba virungu na manati kwenda uwanja wa vita.
Hawa wehu wanatuchukuliaje sijui? Kunaye yule mkongo na virasta vyake utafikiri mopper ya stoo kinajikuta kinajua sana na mwanya wake kama USB port ya type C
Huyu alibeti huyuu... Kaliwa!Mkuu pole maana naona unaenda kuchanganyikiwa,.. tafuta hata mtu mshee mawazo mcheke cheke hata kidogo usijifungie humo ndani.
Simba ni yetu tumeichagua wenyewe tutakua nao hata watakapofungwa na timuz zoote tukashuka daraja ila bado tutakua nao.
Nakuona Matola on KeyboardSiamini kama kuna shabiki wa simba anaweza kufuata ushauri wa mtoa mada. Yaani hela ya kwangu, halafu unipangie matumizi!
Hakika utakuwa ni umbumbumbu wa hali ya juu sana. Kwanza sababu zake zote hazina mashiko.
limeonekana na leo vs kmc, hawana haraka, hawataki kukaba sijui hawalipwi mishahara kwa wakati? haya sasa wanasimba wanaanzisha vurugu na kutaka kususia matches nilionya kwenye uzi huu last month nikatukanwa ni shabiki maandaziHili la spirit ya kupambania timu toka siku nyingi wachezaji wa Simba ni kama mabwanyenye flan hawana presha kila kitu kwao kawaida tu tofauti na Yanga wanapambania timu unawaona kabisa,mfano mzuri ile ya kirumba erasto nyoni alivyotolewa akavue hereni tena anatafunz na banzoka unabaki unajiuliza hivi hawa wapo kwenye maonyesho au ni wachezaji walioacha familia zinazohitaji ugali toka kwao
Nilitukanwa kabisa wakiamini kwamba washabiki wa simba ni watu wa kuitikia hewala bwana...niliandika vile kuonyesha frustrations na kuonya...haswa suala la kiungo mkabaji na namba 9, anyway acha tunyamaze kimya na wachezaji wakiendelea na u faza wao kuna siku lile bus litapasuliwa viooMleta mada nenda nao taratibu, watakuelewa tu. Yamkini hawatakuelewa leo, ila kesho watakuelewa.
TOO LOW ni wachezaji wanaocheza kibepari kuna siku watawasabisha washabiki wa simba kufikishwa mahakamani kwa kufanya vurugu pale uwanjani na kupasua vitu,tukionya tunaonenakana maandazi, sasa kuliko kupata matatizo yote hayo si ni bora kuwaachia uwanja mweupe wacheze wenyewe.Too low for you Bro.