Kwa pamoja tunaweza: Ratiba ya mechi za kususia za simba hii hapa,wacheze na majukwaa matupu

Soon tunamshusha Manzoki asaidiane na Boko pale mbele,Changanya na Okra aiseee hawa Yanga watakoma,hakuna haja ya kususia mechi timu ni yetu🤣🤣🤣🤣
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣kwamba tutawaingiza uwanjani kwa nguvu
 
Huo ndio ushabiki maandazi
Ungekua mshabiki wa Man United au Arsenal si ungejinyonga?
UWANJANI TUNAENDA KAMA KAWAIDA
 
Wamejifanya kugomea mkataba wa Azam tv wenzao wamechukua wanasajili wachezaji wa maana
 
Inauma makolo kufungwa na mabingwa wa nchi Dar Young Africans

But inauma zaidi kufungwa na predator Fiston Kalala Mayele then akatetema mbele yako

Naimani na wewe ulitetema kimoyo moyo kuunga mkono staili ya kibingwa ya kushangilia!
 
Ujumbe huu usambazwe haraka facebook, twitter na instagram.
 
Mkuu pole maana naona unaenda kuchanganyikiwa,.. tafuta hata mtu mshee mawazo mcheke cheke hata kidogo usijifungie humo ndani.

Simba ni yetu tumeichagua wenyewe tutakua nao hata watakapofungwa na timuz zoote tukashuka daraja ila bado tutakua nao.
Huyu alibeti huyuu... Kaliwa!
 
Siamini kama kuna shabiki wa simba anaweza kufuata ushauri wa mtoa mada. Yaani hela ya kwangu, halafu unipangie matumizi!

Hakika utakuwa ni umbumbumbu wa hali ya juu sana. Kwanza sababu zake zote hazina mashiko.
Nakuona Matola on Keyboard

Na tutaendelea kuwapiga mpaka mkitaje kilichomtoa nyoka pangoni mwake (kwa sauti ya mtoto wa chekechea)
 
Gomeni mechi zote ila sio kkoo Derby tutawaingiza uwanjan hata kwa viboko, tutaendelea kuwapasua ⁰mpaka mtuoneshe ushahidi GSM alimgawia nani bahasha msimu uliopita?

Wakati yanga wanachukua pesa za azam nyie bi chaunabe na mme wake gabacholi wakaausia ,saiv yanga tunasajili wachezaj wa maana na kulipa mishahara ya maana nyie mnaokota okota wachezaji wa mafungu!!! Mlikua mnasema yanga haina uwezo wa kumlipa mshahara aziz ki wakati yanga ina mapato kibao

Na bado huu ni mwanzo tu
 
limeonekana na leo vs kmc, hawana haraka, hawataki kukaba sijui hawalipwi mishahara kwa wakati? haya sasa wanasimba wanaanzisha vurugu na kutaka kususia matches nilionya kwenye uzi huu last month nikatukanwa ni shabiki maandazi
 
Mleta mada nenda nao taratibu, watakuelewa tu. Yamkini hawatakuelewa leo, ila kesho watakuelewa.
 
Mleta mada nenda nao taratibu, watakuelewa tu. Yamkini hawatakuelewa leo, ila kesho watakuelewa.
Nilitukanwa kabisa wakiamini kwamba washabiki wa simba ni watu wa kuitikia hewala bwana...niliandika vile kuonyesha frustrations na kuonya...haswa suala la kiungo mkabaji na namba 9, anyway acha tunyamaze kimya na wachezaji wakiendelea na u faza wao kuna siku lile bus litapasuliwa vioo
 
Too low for you Bro.
TOO LOW ni wachezaji wanaocheza kibepari kuna siku watawasabisha washabiki wa simba kufikishwa mahakamani kwa kufanya vurugu pale uwanjani na kupasua vitu,tukionya tunaonenakana maandazi, sasa kuliko kupata matatizo yote hayo si ni bora kuwaachia uwanja mweupe wacheze wenyewe.
Utadhani wamelazimishwa kucheza au hawalipwi mishahara?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…