Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Daah maneno kama haya ndiyo yanasababisha wasio na akili kuvaa mabomu na kuua watu wasio na hatia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una uhakika,au umesikiasikia tu ukadaka!?Muhammed mwenyewe alisema hajui watu wake wanakwenda wapi?
USSR
Sent from my Infinix X6511G using JamiiForums mobile app
Kuamini unaruhusiwa, hiyo ni haki yako ya msingi, ya kikatiba, ni haki ya utu ambayo ipo kwenye Universal Declaration of Human Rights tangu December 10 1948.Kiranga Niache bwana, mimi ni kati ya walioamini.
mambo ya dini yameelezwa kwa namna ambayo mtu unaona kabisa hapa napigwa kamba ni vitu vya kufikirika sasa mtu anabadilika rangi mara elfu moja anakuaje mtu huyo sio mtu tena huyo ni kiumbe kingine..!Ndugu zetu waislamu wameahidiwa makubwa pindi watakapofika peponi, na mimi naanza kujitafakari.
View attachment 2860064
View attachment 2860063
Hapa ndo umetumia critical thinking!?..Kuna kuumwa peponi na magonjwabya zinaa!?..unajua hata unachozungumzia!?..huko motoni watu watakua wakibadilishwa ngozi baada ya kuungua Sana ili waendelee kupata maumivu,hawafi...unaona huko Kuna maisha haya ya kuita fire na mseto wa malaria!?..uwe unatafakari au uliza wajuaoUtapeli wa kidini. Yaani wewe na akili Yako timamu unajua mtu akifa anafufuka. Siyo kweli kabisa. Halafu kusema watapewa mabikra 70 ni mawazo ya kimalaya na wakati dini inapinga uzinzi. Je wenye ukimwi na magonjwa mengine ya kuambikiza itakuwaje. Tuwe na critical thinking na siyo kufuata mkumbo tu
Tupende kujifunza binadamu, dini inasema binadamu kuna vitu unakuwa tofauti na ulivyokuwa hapa Duniani yaani kuna vitu umewekewa hapa duniani hili kutimiza dhumuni la kuwepo duniani.Propaganda za kidini , sidhani kama kuna uhalisia wa hivyo, ikiwa hio pepo ipo basi ipo nje ya vionjo vya kibinadamu.
[emoji23][emoji23][emoji23]Njema 14 kila mmoja
Kama yule bibi Faiza watakuwa wanamgawana
Qur'an inasema usiue Wala usijiue,anaevaa bomu anajua mwenyewe anavaa kwa sababu ganiDaah maneno kama haya ndiyo yanasababisha wasio na akili kuvaa mabomu na kuua watu wasio na hatia
Kuambiwa pepeni kutakuwa ABC ndio inahitimisha dini ni stori, hili kitu kisiwe stori inabidi kiweje ungeambiwa peponi ni viboko kwako ndio isingekuwa stori.Hizi dini ni stories tu watu wanapigana kamba tu.
Huyo ni mental case,ana ulimbukeni na umagharibi,kaona dini lake halieleweki,mtu huyohuyo Mungu na mwana wa Mungu,Sasa kwenda kuabudu ng'ombe kwa wahindu kashindwa, uislam alishajaziwa chuki na dharau pale mikocheni tangu angali mdogo,ndo kabaki kuwa muhubiri wa kufuru,kila Uzi wa dini hakosi na msitari wake uleuleKiranga Niache bwana, mimi ni kati ya walioamini.
Quran imejaa bishara ya pepo na neema zake, Muhammad aliulizwa akashindwa kujibu nini!?Hahaha yaani wavaa kobasi ni kama ccm na wananchi wake full kuwadanganya mudi mwenyewe aliulizwa akashindwa kujibu ila mkikuta hizo ahadi mniite mbwa nipo pale
Wewe ndiyo Bure kabisa. Yaani unafuata mkumbo wa kitapeli wa kidini za kitumwa. Je wanyama na viumbe vingine vitakuwa wapi. Je Babu na mabibi zako watakuwa wapi. Ujinga tu. Ukifaa ndiyo mwisho wa Kila kitu. Unapokea maandiko bila kutumia fikira sahihiHapa ndo umetumia critical thinking!?..Kuna kuumwa peponi na magonjwabya zinaa!?..unajua hata unachozungumzia!?..huko motoni watu watakua wakibadilishwa ngozi baada ya kuungua Sana ili waendelee kupata maumivu,hawafi...unaona huko Kuna maisha haya ya kuita fire na mseto wa malaria!?..uwe unatafakari au uliza wajuao
Wanawake swafi wacha Mungu wao wamechaguliwa nini huko peponi?Kiranga Niache bwana, mimi ni kati ya walioamini.
Ushahidi upo hajui watu wake wanaenda wapiUna uhakika,au umesikiasikia tu ukadaka!?
KabisaDaah maneno kama haya ndiyo yanasababisha wasio na akili kuvaa mabomu na kuua watu wasio na hatia
Watapata wanaume shababy. Wanaume wanaoweza simamia kucha masaa 24 bila kuchoka. Wanaume wenye nchi 14.Na wanawake watapata raha gani huko peponi? Nataka kujifunza
Yaani jamaa unaongea kana kwamba umetoka jana huko peponi [emoji1787]Hapa ndo umetumia critical thinking!?..Kuna kuumwa peponi na magonjwabya zinaa!?..unajua hata unachozungumzia!?..huko motoni watu watakua wakibadilishwa ngozi baada ya kuungua Sana ili waendelee kupata maumivu,hawafi...unaona huko Kuna maisha haya ya kuita fire na mseto wa malaria!?..uwe unatafakari au uliza wajuao
Mkuu naandika kwa kufunzana, kufanya mapenzi kwa ilivyotakiwa na kuelekezwa ni umalaya mfano nikitaka kuwa na wake wanne na dini inaruhusu ni umalaya, Yes peponi Mungu kakupa mwenyewe wanawake 70 How come unasema umalaya huyohuyo Mungu ndie aliweka miongozo ya mapenzi.Utapeli wa kidini. Yaani wewe na akili Yako timamu unajua mtu akifa anafufuka. Siyo kweli kabisa. Halafu kusema watapewa mabikra 70 ni mawazo ya kimalaya na wakati dini inapinga uzinzi. Je wenye ukimwi na magonjwa mengine ya kuambikiza itakuwaje. Tuwe na critical thinking na siyo kufuata mkumbo tu
Watu wake wepi!?..ushahidi upi!?Ushahidi upo hajui watu wake wanaenda wapi