inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Nina yakini na akheraYaani jamaa unaongea kana kwamba umetoka jana huko peponi [emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nina yakini na akheraYaani jamaa unaongea kana kwamba umetoka jana huko peponi [emoji1787]
Kabisa ukifa ndo imeisha hiyo ndo maana mifupa ya Karne ya kwanza inaweza fukuliwa au zinafufuka roho tu miili mipya,,,Wewe ndiyo Bure kabisa. Yaani unafuata mkumbo wa kitapeli wa kidini za kitumwa. Je wanyama na viumbe vingine vitakuwa wapi. Je Babu na mabibi zako watakuwa wapi. Ujinga tu. Ukifaa ndiyo mwisho wa Kila kitu. Unapokea maandiko bila kutumia fikira sahihi
Na wewe Utapewa mashababi wangapi ..... Wanaume watapewa bikra 72 na wakike mtapewa Nini !?? Au ndio kushonwa tu....😂😂😂Kiranga Niache bwana, mimi ni kati ya walioamini.
Kwa hiyo mnaenda kufanya uzinzi mbinguni kwa Mungu baba kweli?Ndugu zetu waislamu wameahidiwa makubwa pindi watakapofika peponi, na mimi naanza kujitafakari.
View attachment 2860064
View attachment 2860063
Mkuu, tuanze kwa kujifunza weqe dini gani je dini yako invalidity nini huko munapoamini munaenda baada ya kifo kama malipo ya kuamini na kufuata hio dini??Hahaha yaani wavaa kobasi ni kama ccm na wananchi wake full kuwadanganya mudi mwenyewe aliulizwa akashindwa kujibu ila mkikuta hizo ahadi mniite mbwa nipo pale
Mkuu mke na mume wakifanya mapenzi ni wanafanya uzinzi, naomba jibu.Kwa hiyo mnaenda kufanya uzinzi mbinguni kwa Mungu baba kweli?
Wanawake watapewa Nini kiongozi!?? Au Kazi yaon ni kukamiwa tu huko....Tupende kujifunza binadamu, dini inasema binadamu kuna vitu unakuwa tofauti na ulivyokuwa hapa Duniani yaani kuna vitu umewekewa hapa duniani hili kutimiza dhumuni la kuwepo duniani.
Vitu kama vinyongo, chuki, hasira nk huko peponi vitaondolewa vyote pia ujue vitu kama LIBIDO hamu ya tendo na nguvu za kiume pia zitakuwa juu sio kwa ratio za duniani.
Tatizo ya sisi binadamu tumejawa na chuki za kidini na kutopenda kujifunza na ndio maana vitu ambavyo vizuri tu tunafosi Vionekane kwa sura mbaya sasa kitu kama kufanya mapenzi ni kitu kizuri na kila binadamu anakifurahia iweje kikiahidiwa kupata kesho ambapo ni sehemu ya malipo uone kuna ubaya...WHAT THINKING...kwamba ulitaka uhaidiwe peponi kuna viboko na kupigwa mangumi.
Ushauri wangu tujifunze haya mambo jamani na tuepuke uchochezi wa kidini.
Roho ndiyo nini. Hakuna kitu kitafufuka na kuwa na uhai kama mwanzo. Vitabu vya dini viliandikwa na watu wa mashariki ya mbali na siyo afrika na je waafrika walikuwa wanafuata dini gani. Je kabla ya binadamu kujua kusoma na kuandika walikuwa wanaamini nini. Tuwe na mawazo deepKabisa ukifa ndo imeisha hiyo ndo maana mifupa ya Karne ya kwanza inaweza fukuliwa au zinafufuka roho tu miili mipya,,,
Ukifa ni end of story.
Ukimwi wao unabaki kwenye mwili huku duniani!Utapeli wa kidini. Yaani wewe na akili Yako timamu unajua mtu akifa anafufuka. Siyo kweli kabisa. Halafu kusema watapewa mabikra 70 ni mawazo ya kimalaya na wakati dini inapinga uzinzi. Je wenye ukimwi na magonjwa mengine ya kuambikiza itakuwaje. Tuwe na critical thinking na siyo kufuata mkumbo tu
Ooh kwa hiyo ni wake 70+ mtapewa wadogo wadogo wenye chuchu saa 6? Na wanawake Wenye matendo safi duniani, mbinguni watapewa nini sasa?Mkuu mke na mume wakifanya mapenzi ni wanafanya uzinzi, naomba jibu.
Wanawake 70 ni moja tu ya agadir kati ya ahadi nyingi...agadir hii ni katika sector ya mapenzi tu bado kuna ahadi na prize nyingi sana ambazo mwanamke nae atapata hapa kwenye Base ya mapenzi sina eliminate sana Mungu mjuzi anajua zaidi.Wanawake watapewa Nini kiongozi!?? Au Kazi yaon ni kukamiwa tu huko....
allah anawapiga kamba.Hahaha yaani wavaa kobasi ni kama ccm na wananchi wake full kuwadanganya mudi mwenyewe aliulizwa akashindwa kujibu ila mkikuta hizo ahadi mniite mbwa nipo pale
Na iwapo kama ni kwenda kufanya mapenzi na wanawake 72 na huoni kama itakuwa ni uchafuu mkubwa Kwa sababu Toka Dunia ianze watu wangapi wamekufa sababu utakuwa unafanya mapenzi na ndugu zako. Tuwe na fikira deep ni hizi diniUkimwi wao unabaki kwenye mwili huku duniani!
Ili kitu kiwe na maana lazima kiwe na ukomo.
Haya umeandika kwa mwili tuliopewa duniani, peponi hakuna msamiati unaitwa KUCHOKA, misamiati yoote inayowakilisha matatizo na shida pepeni haitakuwepo up uwezo atakupa Mungu mwenyewe...Technically kilasiku utakuwa kama unamwaga bad siku ya kwanza to make it simple.Unahangaika tu na mabrika milele? Utachoka haraka sana, labda;
Allah atoe utashi wako, uwe kama robot, unachojua ni kuzagamuana tu.
Eleweni muktadha wakuu, 'milele' haina mwisho.
Hata duniani mapenzi yapo kama unayo pesaWanawake 70 ni moja tu ya agadir kati ya ahadi nyingi...agadir hii ni katika sector ya mapenzi tu bado kuna ahadi na prize nyingi sana ambazo mwanamke nae atapata hapa kwenye Base ya mapenzi sina eliminate sana Mungu mjuzi anajua zaidi.
Watu wanaopenda uchochezi wa kidini wanapenda sana kutumia hii sehemu ya mabikra 70 kuleta uchochezi kujenga picha kama kitu kibaya bila mantiki yoyote...Swali ni je mapenzi ni kitu kibaya??
Hivi na wadada wa kiislamu ambao watapata fursa ya kuiona pepo wao watapewa zawadi gani itakayowafanya na wao waenjoy?Ni vyema kufahamu hivyo hatovipata kila aliyekuwa Muislam, bali Muislam swafi mwenye kutenda mema na kufanya ibada kikamilifu.
Mwenye kuzingatia yale yote yaliyokatazwa, sio rahisi Sheikh!
Hapa tu umeshaanza kutamani hizo ahadi, mitihani mingine utaivuka?
Lakini, karibu katika Uislam.