Kwa raha hizi huko peponi walioahidiwa waislamu na mimi naanza kutafakari

Kwa raha hizi huko peponi walioahidiwa waislamu na mimi naanza kutafakari

Na wanawake watawaongoza na watawapanda vichwani nyie madwalimu Mungu kamuumba mwanamke kunisaidia mwanaume sio awe kiongozi nyie siku hizi mpaka madhabahuni hedhi zinasimama kuwahubiria nyie mna dini dhaifu Sana mpaka Marais wameshika nchi shetani anajua namba ya kumdondosha mwanaume na Mungu tangu kwa Adam alitoa maekelezo straight kabisa mwanamke ni kwaajili ya nini na tunapata madhambi makubwa kua chini ya wanawake tutalalamika Sana Ila Mungu anaondoa baraka zake hata yeye hakushindwa kuleta mitume wanawake
Kijana ujifunze hata kuandika tu achilia mbali kujenga hoja maana kuna wanawake wengi wamekuzidi upeo kwa mbali sana, hatuwezi kuwaacha hao wote tukakuchagua wewe utuongoze eti kisa tu una uume, leadership is all about brain power not reproductive organs
 
Kiongozi wa nchi yako ni mwanaume?
Angalia Mungu alivo agiza tuishi tumesha kengeuka kuruhusu 50/50 hivyo tujilaani wenyewe wanaume kuruhusu shetani kutuhadaa..

kuhusu peponi sisi tutaingia na wake zetu na wataishi kwa kutulia kwakua Mungu sisi Alisha tupa uongozi kwahiio tutakua na mabikra pamoja na wake zetu vilevile huyo ndio Allah akimua kukupa haesabu

Quran

43:70 ingieni peponi nyinyi na wake zenu mtafurahishwa humo
 
Kijana ujifunze hata kuandika tu achilia mbali kujenga hoja maana kuna wanawake wengi wamekuzidi upeo kwa mbali sana, hatuwezi kuwaacha hao wote tukakuchagua wewe utuongoze eti kisa tu una uume, leadership is all about brain power not reproductive organs
Najua naandika tu kufikisha ujumbe kila kitu hapa sijengi hoja nawambia kumbatieni wanawake nyie ni werevu kuliko Mungu na huko nyuma hakukua na wanawake weerevu kuliko dunia ya leo?. Hata Mtume mmoja mwanamke nitajie
 
mambo ya dini yameelezwa kwa namna ambayo mtu unaona kabisa hapa napigwa kamba ni vitu vya kufikirika sasa mtu anabadilika rangi mara elfu moja anakuaje mtu huyo sio mtu tena huyo ni kiumbe kingine..!
Au wale bikra 72 wenye macho makubwa,hapa naona ni kaudikteta fulani hivi kwani wote tunapenda macho makubwa?vipi kuhusu wachina yale macho madogo ni adhabu?
 
Kijana ujifunze hata kuandika tu achilia mbali kujenga hoja maana kuna wanawake wengi wamekuzidi upeo kwa mbali sana, hatuwezi kuwaacha hao wote tukakuchagua wewe utuongoze eti kisa tu una uume, leadership is all about brain power not reproductive organs

Muuliza anamzidi nini mama Samia ama mama Tibaijuka mpaka yeye tumpe uongozi atuongoze Wa Tanzania
 
Ila Waislam bhana imagine

Bibi FaizaFoxy anapigwa mande usiku kucha, Dada zetu mama zetu wanaenda kupigwa Mande
Hakuna atakae mgusa dadaako au mamaako tunagewa kitu mpya ambayo hakijaguswa kabisa na jini Wala binadamu hio imeumbwa peponi na inaishi peponi mpaka muda huu tunaongea
 
Muuliza anamzidi nini mama Samia ama mama Tibaijuka mpaka yeye tumpe uongozi atuongoze Wa Tanzania
Tanzania nzima Kuna tibaijuka na Samia kuliko wanaume wote? Na wamefanya nini mpaka sasa?
 
Najua naandika tu kufikisha ujumbe kila kitu hapa sijengi hoja nawambia kumbatieni wanawake nyie ni werevu kuliko Mungu na huko nyuma hakukua na wanawake weerevu kuliko dunia ya leo?. Hata Mtume mmoja mwanamke nitajie
Kuhusu kutokuwa na mitume wa kike zamani unadhani shida ilikuwa ni Mungu au Jamii za kipindi hiko namna zilivyokuwa zinamchukulia mwanamke, wewe unajuaje je kama Mungu alishatuma mitume wa kike ila hakuna aliyewaamini wala kuwatilia maanani sababu tu walikuwa wanawake, kwahiyo Mungu akaona atende sawa sawa na ujinga wao kwa kuwaletea mitume wa kiume tu
 
Tanzania nzima Kuna tibaijuka na Samia kuliko wanaume wote? Na wamefanya nini mpaka sasa?
Vipi na wanaume walioongoza kwa miaka 60 wamefanya Nini mpaka sasa
 
Kuna watu niwajinga Mungu aliekwambia pombe dhambi huku alafu huko akutengenezee mto, uzinzi gani huo na walivyo wajinga wanaongea kabisa hadhari hawa walibidi wafungwe mirembe maana mpaka baba yao shetani anashangaa mateka wake walivyo wajinga

Jia ya kweli na uzima ni moja tunaijua
Jiwe lililokataliwa na waashi limekuwa jiwe kuu la pembeni
Mpende msipende YESU NI BWANA

Njoo katika wokovu sio kwenda kunywesha vileo na kuabudu masanamu na mashanga mkononi kama mganga wa kienyeji na kunyunyuziwa tumaji na huyo papa sasa sijui maana neno papa kwa kiswahili linamaana nyingi [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Anyway povu ruska
Mimi sitakunywa tena mzao huu wa mzabibu hapa ulimwenguni mpaka nitakapo kunywa tena mpya huko Mbinguni!.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Tanzania nzima Kuna tibaijuka na Samia kuliko wanaume wote? Na wamefanya nini mpaka sasa?

Hapo hujajibu swali. Bali umeuliza swa jipya ?

Nakujibu swali lako jipya kisha na wewe ukajibu swali langu kwamba umemzidi kitu gani Mama Samia ama Mama Tibaijuka ?

Jibu la swali lako Samia ana mchango mkubwa kwa taifa letu wote. Maana ndie anaetuongoza. Ndie anaejenga bwawa la umeme kwa niaba yetu wa Tanzania wote.

Ndie. Ana custody ya kusimamia kila kitu kinachotuhusu wa Tanzania. Huo ni mchango wake ambao unatugusa wote. Sema sasa wewe unamzidi nini ?

Mama Tibaijuka na yeye amefundisha wa Tanzania kama Professa wa chuo kikuu miaka kibao. Amewapa vijana maarifa.

Amekuwa waziri wa wizara mbali mbali hivyo amehudumia mamilioni ya wa Tanzania.

Ametoa ajira kwa mamia ya wa Tanzania katika shule yake anayomiliki ya Babro Johansen

Haya sema na wewe tena unamzidi nini mama Tibaijuka ?
 
Sijasema Nataka uongozi Mimi nasimama na Sheria alizotuwekea Mwenyezi Mungu Mwanamke ni msaidzi tu wa mwanaume basi imeisha pinga upi gavyo lakini Mungu hakosei kaa chini tafakari.
 
Hakuna atakae mgusa dadaako au mamaako tunagewa kitu mpya ambayo hakijaguswa kabisa na jini Wala binadamu hio imeumbwa peponi na inaishi peponi mpaka muda huu tunaongea
Kwa hiyo mbiguni wote ni wacheza porn?
 
Hapo ndio nakataa kabisa kuwa Mungu wao na Mungu wa izrael ni Mungu mmoja. Wa kwao asisisitiza ngono ya kufa mtu Mbinguni, yaani Mungu akiwa ANAFANYA doria zake kwenyen mabustani Kila kichaka anakutana na bwana midevu na ma hawara 72 anawashughulikia. ? Huku kwingine tunabiwa hakuna njaa, hakuna kuoa Wala kuolewa
Lakini Bibiharusi yupo tayari na bwana harusi anamsubiri![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hapo hujajibu swali. Bali umeuliza swa jipya ?

Nakujibu swali lako jipya kisha na wewe ukajibu swali langu kwamba umemzidi kitu gani Mama Samia ama Mama Tibaijuka ?

Jibu la swali lako Samia ana mchango mkubwa kwa taifa letu wote. Maana ndie anaetuongoza. Ndie anaejenga bwawa la umeme kwa niaba yetu wa Tanzania wote.

Ndie. Ana custody ya kusimamia kila kitu kinachotuhusu wa Tanzania. Huo ni mchango wake ambao unatugusa wote. Sema sasa wewe unamzidi nini ?
Mimi na Samia tuko dini moja na Allah anapima waja wake kwa uchamungu kwahio sijuia level yake ya uchamungu siwezi sema nimemzidi kwani sijui kimatendo ya kiimani Hilo ni la Mungu, tukija kisharia yeye hawezi kusimama kwenye hadhara ya dini ya wanaume wa kiislam akahutubia lazima akae chini Mimi ntasimama kama mwanaume kwakua Hilo daraja Allah ameshatupendelea iko hivyo mpaka kiama.

Tayari mbele ya Mwenyezi Mungu kwenye dini yake kisharia mimi Niko juu ya Samia hata kuswalisha ataswalisha wanawake wenzie na hatasimama mbele yao watapanga safu moja na sauti haitafika nje ya eneo anali swalishia
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Aaaah kmk...so we starehe yako ni tungi na ngono ila wanawake urembo tu...ndo maana hawafanyi mapenzi na kunywa pombe bac...[emoji1787]hizi dini zitawafanya vichaa
[emoji23][emoji23][emoji23] Muhimbili wanafanya upasuaji kuongezea makalio,vipi wewe unaweza kwenda kuongezea?.
Mwanamke na urembo ni chanda na pete na ndiyo kapewa.
 
Back
Top Bottom